BVR 2015
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 227
- 410
Serikali imegundua mtandao wa watu ambao uwakusanya walemavu nchini na kuja kuwatumikisha mjini Dar es salaam kwa ajili ya kujipatia kipato.
Walemavu hao wapatao 25, wamegundulika wakiwa wamehifadhiwa katika gesti moja hapa Dar es salaam maeneo ya Tandare karibu na Manzese.
Timu ya viongozi ikiwa na naibu waziri wa afya na mkuu wa wilaya ya Kinondoni walifanya uvamizi katika hiyo gesti na kuwakuta hao walemavu wakiwa wamehifadhiwa ndani.
Katika ilo tukio naibu waziri aliwaadhibu fimbo 5 kwa kila anaewasaidia hao walemavu kusukuma hizo baiskeli.
Walemavu hao wapatao 25, wamegundulika wakiwa wamehifadhiwa katika gesti moja hapa Dar es salaam maeneo ya Tandare karibu na Manzese.
Timu ya viongozi ikiwa na naibu waziri wa afya na mkuu wa wilaya ya Kinondoni walifanya uvamizi katika hiyo gesti na kuwakuta hao walemavu wakiwa wamehifadhiwa ndani.
Katika ilo tukio naibu waziri aliwaadhibu fimbo 5 kwa kila anaewasaidia hao walemavu kusukuma hizo baiskeli.