Natambua kuwa TAWA ama Wizara ya Utalii ilizindua utaratibu wa uwindaji na uuzaji wa nyamapori kwenye baadhi ya mikoa kama Katavi, Dodoma na kwingineko.
Naomba kufahamu kama huduma kama hiyo imeanzishwa mkoa wa Dar es Salaam.
Nimechoka nyama za mbuzi, kuku, ng'ombe na kitimoto. Natamani kula...