Mfahamu mgombea nafasi ya mjumbe wa Baraza la Kitaifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NACONGO) mkoa wa Dar
ES SALAAM Bi. Jane Magigita, Mwaka 2014 alitunukiwa tuzo ya MARTIN LUTHER KING AWARD kwa kupigania haki za kisheria za Wanawake.
Tuzo hiyo ya haki ya Dk. Martin luther king, Jr hutolewa kila mwaka na Balozi wa marekani nchini Tanzania ikiwa sehemu ya kuenzi maisha na mafanikio ya Dk. Martin luther king.
Bi. Jane Magigita ni kielelezo tosha cha Mwanaharakati mwenye mchango mkubwa katika kutetea haki za Raia nchini hususani Wanawake. Pia Anauzoefu mkubwa katika maswala mazima ya kuendesha Mashirika yasiyo ya Kiserikali.
Bi. Jane Magigita amewahi kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali la WLAC linalotoa Msaada wa kisheria kwa Wanawake na Watoto Tanzania
Pia amewahi kupokea Tuzo ya Mwanamke mwenye Ushawishi, 2018.
#Mashirika Imara, NACONGO IMARA
ES SALAAM Bi. Jane Magigita, Mwaka 2014 alitunukiwa tuzo ya MARTIN LUTHER KING AWARD kwa kupigania haki za kisheria za Wanawake.
Tuzo hiyo ya haki ya Dk. Martin luther king, Jr hutolewa kila mwaka na Balozi wa marekani nchini Tanzania ikiwa sehemu ya kuenzi maisha na mafanikio ya Dk. Martin luther king.
Bi. Jane Magigita ni kielelezo tosha cha Mwanaharakati mwenye mchango mkubwa katika kutetea haki za Raia nchini hususani Wanawake. Pia Anauzoefu mkubwa katika maswala mazima ya kuendesha Mashirika yasiyo ya Kiserikali.
Bi. Jane Magigita amewahi kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali la WLAC linalotoa Msaada wa kisheria kwa Wanawake na Watoto Tanzania
Pia amewahi kupokea Tuzo ya Mwanamke mwenye Ushawishi, 2018.
#Mashirika Imara, NACONGO IMARA