Wote walioteuliwa aidha wanakaa ama wanatoka Dar es Salaam

Rasterman

JF-Expert Member
Feb 24, 2015
33,905
44,011
Hii inafikirisha sana. Hivi inawezekanaje jambo hili.

Kwamba nchi nzima watu wenye uwezo kuongoza wanatoka au kukaa Dar pekee.

Pia uteuzi umeshindwa kubalance makundi ya kijamii. Tunajua haiwezi kuwa balanced 100% lakini je haya makundi yatawakilishwa na nani maana ndio proportion kubwa ya wananchi mathalani:

1. Walimu
2. Wakulima
3. Wafugaji
4. Wafanyabishara
 
Pili Dar es salaam Ina wakazi wa Aina zote Dar es salaam wanaokaa wengi Origin yao ni Mikoani.

Huku Wamekuja Kufatuta Tuu Fursa!

Hatuna Ukabila, Ndio Maana Kina Masanja, Lymo, Kavenuke, Rwegoshora wapo Dar es salaam wanaishi, Wanafanya Kazi, Ni wafanyabiashara nk na wengine Kusoma!

Tunaweza Kuwateua na Kuwasambazo mikoani lakini si walipotoka,Hatutaki Kumpeleka Lymo Moshi trna Au Rwegoshora kwenda Bukoba hapana Anaweza toka Dar akaenda Iringa,Morogoro nk
 
Kama upo Dar halafu umeteuliwa uje kwetu porini unajichalamila tu🤣
20210620_063328.jpg
 
Kwani mteuaji anakaa wapi?
Tuanzie hapo.
Umteue Dc wa mkoa halafu nani wa kumvusha kwenye Kijazi bridge pale.

Mi sio mjinga kuhamia kwenye vibanda vya mwendokasi, nikitokea Buhigwe
Wasalimie kule Kibwigwa, Kitambuka na kibande.
 
Pili Dar es salaam Ina wakazi wa Aina zote Dar es salaam wanaokaa wengi Origin yao ni Mikoani....
Huku Wamekuja Kufatuta Tuu Fursa!
Hatuna Ukabila,Ndio Maana Kina Masanja,Lymo,Kavenuke,Rwegoshora wapo Dar es salaam wanaishi,Wanafanya Kazi,Ni wafanyabiashara nk na wengine Kusoma!
Tunaweza Kuwateua na Kuwasambazo mikoani lakini si walipotoka,Hatutaki Kumpeleka Lymo Moshi trna Au Rwegoshora kwenda Bukoba hapana Anaweza toka Dar akaenda Iringa,Morogoro nk
Kwahiyo wanaoishi mikoani ni mambumbumbu?
 
Hii inafikirisha sana. Hivi inawezekanaje jambo hili.

kwamba nchi nzima watu wenye uwezo kuongoza wanatoka au kukaa Dar pekee.

Pia uteuzi umeshindwa kubalance makundi ya kijamii. Tunajua haiwezi kuwa balanced 100% lakini je haya makundi yatawakilishwa na nani maana ndio proportion kubwa ya wananchi mathalani

1. Walimu
2. wakulima
3. Wafugaji
4. Wafanyabishara
Hata kama ni dar kikubwa ni kuwajibika kwenye nafasi zao🤔!
 
Hii inafikirisha sana. Hivi inawezekanaje jambo hili.

kwamba nchi nzima watu wenye uwezo kuongoza wanatoka au kukaa Dar pekee.

Pia uteuzi umeshindwa kubalance makundi ya kijamii. Tunajua haiwezi kuwa balanced 100% lakini je haya makundi yatawakilishwa na nani maana ndio proportion kubwa ya wananchi mathalani

1. Walimu
2. wakulima
3. Wafugaji
4. Wafanyabishara
Natamani hizi position za RC na DC nazo ziwe za kupigiwa kura!
Kuna kundi la vijana wenye exposure, wamesoma na sio tu kufuta ujinga! ambao wamezaliwa inborn mentality kuwa viongozi kutokana na jamii walizotoka na niwabunifu ila kwa bahati mbaya sana kundi hili MUHIMU maskini ya rabi limegoma kukaa upande wa CCM! Simlaumu MAMA! Katiba ya chama chake inambana!
 
Natamani hizi position za RC na DC nazo ziwe za kupigiwa kura!
Kuna kundi la vijana wenye exposure, wamesoma na sio tu kufuta ujinga! ambao wamezaliwa inborn mentality kuwa viongozi kutokana na jamii walizotoka na niwabunifu ila kwa bahati mbaya sana kundi hili MUHIMU maskini ya rabi limegoma kukaa upande wa CCM! Simlaumu MAMA! Katiba ya chama chake inambana!
Au zifutwe kabisa maa hata huo ubunge inategemeana na Rais aliyeko madarakani. Bado wengi wenye uwezo wanakosa fursa
 
Nafasi za uteuzi zina ushawishi wa kisiasa,na uzoefu wa mifumo ya kiserikali.

Aidha anayeteua yupo Serikalini,kwenye chama muhimu "Unayeteuliwa uwe umejihusisha na mambo mawili(Serikali au Chama),kama utapata uteuzi kutokea nyanja nyingine,basi itakuwa ni utashi wa anayeteua viongozi.

Mambo ya Serikali ni "Siri kali",yaone hivyo hivyo!,kama haujabahatika kupata uteuzi,jitahidi kupigania mlo wa familia yako hilo ndio muhimu.
Watanzania tunakadiriwa kufikia milioni 60,inabidi wapate wachache,watuwakilishe kwa niaba ya wengi tunaokosa nafasi.

Kama una watoto wadogo waandae kisaikolojia kuwa viongozi na watawala,maana walioongoza taifa hili siku za nyuma bado wanaendelea kupeana nafasi kwa watoto wao.(Tutatawaliwa hadi kizazi cha 3,ndipo tutaondoa hiyo staili ya wastaafu kurithisha watoto wao madaraka kwenye nafasi kubwa za madaraka).
 
Back
Top Bottom