Mbunge Chaurembo ataka kupitiwa upya uamuzi wa Jiji la Dar kuvunjwa bila vikao vya madiwani

Paf

JF-Expert Member
May 25, 2021
1,703
3,304
Katika kipindi cha maswali na majibu leo bungeni Mh Chaurembo amehoji kwanini tamisemi isipitie upya uamuzi wa jiji la Dar es Salaam kuvunjwa bila vikao vya madiwani.

Pia amehoji mgawo wa mali za jiji na fedha za mikopo kuwa hazikupata baraka kwenye vikao halali.

Majibu ya naibu waziri Tamisemi.

Jambo hili ni gumu tutalipitia
 
Katika kipindi cha maswali na majibu leo bungeni Mh Chaurembo amehoji kwanini tamisemi isipitie upya uamuzi wa jiji la Dar es Salaam kuvunjwa bila vikao vya madiwani.

Pia amehoji mgawo wa mali za jiji na fedha za mikopo kuwa hazikupata baraka kwenye vikao halali.

Majibu ya naibu waziri Tamisemi.

Jambo hili ni gumu tutalipitia
Huyu atakuwa atakuwa na matatizo ya akili au hajui nguvu na mamlaka ya Rais
 
Katika kipindi cha maswali na majibu leo bungeni Mh Chaurembo amehoji kwanini tamisemi isipitie upya uamuzi wa jiji la Dar es Salaam kuvunjwa bila vikao vya madiwani.

Pia amehoji mgawo wa mali za jiji na fedha za mikopo kuwa hazikupata baraka kwenye vikao halali.

Majibu ya naibu waziri Tamisemi.

Jambo hili ni gumu tutalipitia
Nila katiba ya wananchi siku zote haya mambo yatajirudia tu
 
Back
Top Bottom