dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. C

    JamiiForums Tanzania DOKEZO CMA kanda ya Dar es salaam- ofisi ya pale Akiba kuna muamuzi ni hatari sana dhidi ya haki na matendo yake ni ishara ya rushwa imetawala kwake

    Habari wanajamvi wenzangu. Kuna mgogoro wa kazi ulifunguliwa na ndugu yangu CMA kanda ya Dsm. Mwamuzi amefanya vitendo vya makusudi vya upendeleo kwa mwajiri pia anapoteza muda makusudi mwingi ili kumkatisha tamaa mwajiriwa. Anaacha kabisa kuzingatia ushahidi wa wazi wa mwajiriwa halafu eti...
  2. JamiiForums Tanzania Dar Es Salaam Jiji, linalokua haraka kuliko Mipango yake

    DAR ES SALAAM, JIJI LINALOKUA HARAKA KULIKO MIPANGO YAKE Nianze kwa RAI kuhusu upanuzi wa Barabara za Sam Nujoma na New Bagamoyo kwa kutumia njia zile zile za awali. Kwa maoni yangu, huenda tumeelekeza nguvu yetu katika suluhisho la muda mfupi sana badala ya muda mrefu. Kinachonisikitisha ni...
  3. JamiiForums Tanzania Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam maisha yao ni magumu sana, ukiwaangalia hivi unaweza kuhisi wamepungukiwa maji mwilini

    Kuhusu maisha ya Dar es Salaam. Wakazi wa Dar wanaonekana wamekonda sana . Joto na chache wa hewa ya oxygen kunasababisha watu kutokwa na jasho kila wakati, kiu kali, kizunguzungu pia ni mkoa ambao unaongoza kuwa na wakazi wengi wenye kiwango cha chni cha damu kulingana na mifumo yao mibovu...
  4. JamiiForums Tanzania NIDA yangu imefutika kabisa, personal details zote hazionekani kimebaki ki card blank tu. Je Kuna uwezekano wa kupata on same day?

    Mmeshindaje viongozi? Naomba msaada kujua kama inawezekana kwenda NIDA na card yangu iliyofutika na nikaondoka na NIDA yangu siku hiyo hiyo hata kama nikulipia maana wengine nasikia ukienda unapgwa calendar mpaka unachoka. NIDA yangu niliipata ikiwa imefutika baadhi ya taarifa Sasa siku moja...
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Huenda ikulu ya Dar es Salaam ilijengwa na Wajerumani, kwenye empty space, na baada ya kuharibiwa kabisa kwenye WWI, ikajengwa tena na Waingereza

    Huenda ikulu ya Dar es Salaam ilijengwa na Wajerumani, kwenye empty space, na baada ya kuharibiwa kabisa, kwenye vita ya kwanza ya dunia, ikajengwa tena na Waingereza. Wajerumani walikuwa taifa lenye a protestant majority, na a huge roman catholic minority. Waingereza walikuwa taifa lenye a...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu Ajira Mpya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam tumepewa nusu Fedha za Kujikimu

    Walimu wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam tumelipwa nusu tu ya hela ya kujikimu yaani laki 550,000, tumeajiriwa tangu Februari mosi 2025. Hiyo nusu yenyewe tumepewa baada ya mwaka mzima na ilhali sheria za utumishi wa umma zinasema tupewe ndani ya siku 7, zaidi ya hayo hatujathibitishwa...
  7. JamiiForums Tanzania Mabalozi wa EU wakutana na Waziri Kombo Dar es Salaam

    Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) leo Juni 8, 2026 wamefanya mazungumzo ya kisiasa ya ngazi ya juu na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyopatilana kupitia ukurasa wa X wa Umoja wa Ulaya (EU)...
  8. JamiiForums Tanzania KERO HR vyuo vikuu vya Tumaini Makumira na Tumaini Dar es Salaam (Dartu) kuna tatizo gani? Mnaita watu kwenye interview halafu mnapotea mazima. Kulikoni?

    1. Hivi vyuo vingine hivi ni shida tupu. Niliitwa kwenye interview Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira. Kwa bashasha na matumaini tele nikafunga safari ndefu ya kutoka nyumbani Bukoba mpaka Arusha. Walikuwa disorganized balaa na mazingira yalikuwa very hostile lakini hatimaye interview ilifanyika...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Nimesikiliza hii video hadi nikatamani kulia, humu ndani ameeleza pia project Yao ya kutaka kumiliki dhahabu za maeneo yetu kama ufaransa anavyo fanya kwa yaliyo kuwa makoloni yake.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Offer for sale of prime commercial property located at victoria place - Tanzanite park area, Dar es salaam

    RE: OFFER FOR SALE OF PRIME COMMERCIAL PROPERTY LOCATED AT VICTORIA PLACE - TANZANITE PARK AREA, DAR ES SALAAM I am writing in my capacity as a real estate agent acting on behalf of my client, who is the legal owner of a strategically located property situated at Victoria Place, Tanzanite Park...
  11. M

    JamiiForums Tanzania TUNASAMBAZA MBAO KAVU KWA BEI YA JUMLA KILA WIKI KUTOKA NJOMBE KUJA DAR ES SALAAM & PWANI.

    •Unahitaji mbao kwa bei ya jumla na upo Dar ea salaam au pwani? •L & J TIMBER SUPPLIERS tunakuletea mbao kwa bei ya jumla hadi mahali ulipo ndani ya Dar es salaam na Pwani moja kwa moja kutoka Njombe. •Mbao zetu zimekidhi ubora & bei zetu ni nafuu sana. •Kubwa zaidi ni kwamba malipo...
  12. JamiiForums Tanzania Wamasai wameanza kuogopeka jijini Dar es salaam

    Kufuatia tukio liliofanywa na member wa umasaini la kifo cha aliyekuwa mkurugenzi wa kiwanda cha kuchakata unga wa makopo ya plastiki, baadhi ya watu wanapata hofu wanapomuona mtu akiwa kwenye vazi la shuka, hususan kobeto likiwa linaning'inia pembezoni mwa kiuno Twende kwenye tukio halisi...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Waombaji nafasi za kazi tunapata changamoto ya kutopatikana kwa Maafisa wa Ajira Portal katika ofisi za Kivukoni, Dar

    Ninaomba kuwasilisha kilio changu kuhusu kutokuwepo kwa maafisa wa mfumo wa Ajira Portal katika ofisi za Kivukoni, Dar es Salaam, jambo ambalo linasababisha usumbufu mkubwa kwa waombaji wa kazi wanaohitaji msaada wa kushughulikia changamoto mbalimbali zinazojitokeza kwenye mfumo huo. Wiki mbili...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tunasambaza mbao kavu moja kwa moja kutoka Njombe kwa bei ya jumla ndani ya Dar es salaam na Pwani

    KAMA WEWE: •Unauza mbao reja reja kwenye banda lako. •Una hardware pia unauza mbao za ujenzi. •Una workshop kwaajili ya kutengeneza furniture. •Una mradi wa ujenzi na unahitaji mbao za ujenzi kwa bei ya jumla. •Unahitaji mbao kwa matumizi yako mengine kwa bei ya jumla. •Kama upo kwenye...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa Kitanzania afuata ndoto ya Kichina kupitia shindano la lugha jijini Dar es Salaam

    Wakati mtoto wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 10, Ayubu Shaaban, alipopanda jukwaani katika Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, watu wachache tu katika ukumbi uliojaa watu ndio walitarajia mvulana huyo mpole angevutia hadhira kwa lugha fasaha ya Kichina. Akiwa amevalia...
  16. JamiiForums Tanzania TAAZIA: Khadija Said: Mtangazaji wa Sauti ya Dar es Salaam 1955

    https://youtu.be/zONxQNP3D4M?si=Eq8WdIr4a8JXqdTE
  17. B

    JamiiForums Tanzania Mkopo ili gati 10 zaidi kujengwa kupanua bandari ya Dar es salaam 2026

    05 May 2026 Tanzania yapanua miundombinu ya bandari ya Dar es Salaam ili kukabiliana na ongezeko la mizigo Tanzania yapanua bandari ya Dar es Salaam ili kuimarisha biashara ya kikanda kwa kujenga gati 10 mpya https://m.youtube.com/watch?v=5KZlgZiaEhM Upanuzi huo utasaidia bandari kushughulikia...
  18. JamiiForums Tanzania Bandari ya Dar es Salaam yaboreshwa kwa Bilioni 24.08 kuongeza Ufanisi wa Mizigo

    Serikali imeidhinisha Shilingi bilioni 24.08 kupitia mradi wa Dar es Salaam Maritime Gateway Project kwa mwaka wa fedha 2025/26 ili kuboresha miundombinu ya Port of Dar es Salaam na kuongeza ufanisi wa huduma za mizigo pamoja na usalama wa bandari. Hadi Februari 2026, bilioni 11.31 zilikuwa...
  19. JamiiForums Tanzania Lamine Yamal kaonekana Dar es Salaam

    hydroxo adriz de mbusii
  20. JamiiForums Tanzania Foleni Challenge

    Leo amepatikana mshindi wa Foleni challenge Dae es salaam, Je unahisi nini hasa kilichoandikwa ndai kilichoshawishi wizara nzima ya ujenzi ?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…