dalili

Dalili is a Persian surname. Notable people with the surname include:

Raz Dalili (born 1959), peace educator in Afghanistan
Raz Mohammed Dalili (born 1959), Governor of Paktia Province in Afghanistan

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania Dalili za Homa ya Uti wa Mgongo

    Homa kali Shingo kukakamaa Maumivu makali ya kichwa Kupatwa na degedege na mwili kukakamaa Kushindwa kuvumilia mwanga na kelele Kwa watoto kuvimba uso
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kuna kila dalili Halima Mdee na wenzake wamekalia kuti kavu

    Kwa namna nilivyoisikiliza hotuba ya Rais Samia leo naona ni kama Halima Mdee na wenzake kwa sasa wamekalia kuti kavu. Ni kwamba Chadema watekeleze matakwa ya demokrasia kwa kusikiliza rufaa za wabunge hao halafu tuone kama Spika Ndugai hatayaheshimu maamuzi yao. Kazi Iendelee Ramadhan Kareem!
  3. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Nape: Kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na si dalili ya udhaifu

    Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa nyaraka za chama hicho tawala, kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na si dalili ya udhaifu. Nape ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 15, 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Makamba: Kurekebisha alichofanya Hayati Magufuli sio usaliti. Dalili nilizoanza kuziona si nzuri

    Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kifo cha Magufuli kimeleta kipindi cha mpito chenye wasiwasi ila Rais Samia Suluhu ameanza vizuri kuendeleza yale aliyoacha Rais na kufanya marekebisho na mashahihisho pale panapostahili Makamba ameongea kauli za kutiliana shaka, utengano, kuhukumiana...
  5. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Dalili gani zinakujulisha kuwa umri umesogea?

    Kuna mama niliongea nae, aliniambia ukikutana na traffic ukawaona ni vijana wadogo au daktari hospitali ukamuona ni kama mjukuu wako. Hapo hakuna ubishi wa chumvi uliyoila duniani.
  6. Nickson Swai

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda

    Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo 1.Anavunja appointment muda wowote 2.Hajali uwepo wako 3.Hakutafuti mpaka wewe umtafute 4.Anacheka kwa dharau 5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake 6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia.
  7. Hainaga ushemeji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dah! Kuna kila dalili huyu binti wa kitanga kashaniloga

    Ni miaka mitatu toka niache haya mambo ya kua kwenye serious relationship(whatever that means) na mtu, hii ni baada ya kuja kijamaa chenye pesa na kumchukua mwanamke niliyodumu nae kwa miaka miwili,mwanamke ambaye nilihisi sitokaa kuja kumsahau, just like that, she got saved up by some dude,got...
Back
Top Bottom