Natafuta hela kusomesha watoto wasio wangu, na bia nimepunguzaKuna mama niliongea nae, aliniambia ukikutana na traffic ukawaona ni vijana wadogo au daktari hospitali ukamuona ni kama mjukuu wako. Hapo hakuna ubishi wa chumvi uliyoila duniani.
Watoto wa ndugu zangu.Hao watoto uliwapataje?
Natafuta hela kusomesha watoto wasio wangu, na bia nimepunguza
Mie kuna siku mwendokasi inaanza nikapanda kuona likoje. Nimeingia nimekosa siti kuna mtu mzima akanipisha akaniambia kaa mzee. Nilijitathmini njia nzima na ndio ilikuwa mwisho wa kupanda mwendokasi
Watu tuna robo kaline tu ¼ lakin shikamoo kwa madogo zimekua nyingi kwangu mpka kelo!!! ..Nimeanza utaratibu wa kuangalia taarifa za habari kila jioni, nikikuta mda wa habari watu wanaangukia mambo mengine nawauliza hivi ninyi hamtaki kujua ya duniani!!
Hizi ni dalili nzuri za uhenga!