Makamba: Kurekebisha alichofanya Hayati Magufuli sio usaliti. Dalili nilizoanza kuziona si nzuri

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,779
18,746
Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kifo cha Magufuli kimeleta kipindi cha mpito chenye wasiwasi ila Rais Samia Suluhu ameanza vizuri kuendeleza yale aliyoacha Rais na kufanya marekebisho na mashahihisho pale panapostahili

Makamba ameongea kauli za kutiliana shaka, utengano, kuhukumiana na tuhumiana hazijengi na zinawachanganya wananchi,

Kaendelea kusema pia mazuri aliyofanya rais Magufuli hayatapotea kwa kauli za kubeza lakini pia wanaotoa maoni ya kurekebisha mambo wasionekane ni wasaliti kwani ameanza kuona dalili ambazo sio nzuri

Zaidi msikilize hapa

 
Wale wezi wana taka Mama aendelee kuwafunga watu, kuwaibia watu, kuwapa watu kesi za kugushi. Maana walisha kula mbwa wanataka wamlishe na mama.

Tumeona Mama kaagiza kesi zisizonna ushahidi zifutwe, ila mwezi sasa Dpp yuko kimya. Mama kaahiza vyombo vya habari vifunguliwe, kanuni zifuatwr, waziri ana itisha vikao kujadiliana, yani hakuna nidhamu kwenye huu utawala.

Bado wanafikiribMagu yuko hai. Sasa tumuombe Mama awashughulikie hawa wote wanao pandisha mabega.
 
Maneno mazuri sana January kaongea

Kushindana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Magufuli is useless, this man is dead na harudi tena.

Na kushibdana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Samia ni kupoteza muda, kwa sababu Samia keshasoma gemu lote anajua nini maana ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!

Cha msingi ni kuwa turudi kujenga nchi kwa kutumia watu waliotosha kwa vigezo na siyo wanaojua sana kushangilia, kusifu na kujipendekeza.

Samia ana kazi kubwa ya kutengeneza serikali inayoendana na yeye na vision yake kwa nchi, hana budi kuondoa wale wote walioingia kwenye serikali kwa kununuliwa, kujipendekeza, uzandiki na fitna.

Aweke wataalamu huko kwenye kurugenzi za halmashauri na aachane na ukada
 
Maneno mazuri sana January kaongea

Kushindana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Magufuli is useless, this man is dead na harudi tena.

Na kushibdana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Samia ni kupoteza muda, kwa sababu Samia keshasoma gemu lote anajua nini maana ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
Tatizo hapa tuna kundi ambalo wao wanajiona ni kanda bora kuliko kanda zingine.

Hili jambo lazima tulipige vita kabisa ili huo ubaguz wa kikanda ukomeshwe na ukiwauliza wanasema kuwa kanda yao ndiyo inaamua ushindi wa ccm.

Huu ni ujinga mkubwa sana uliojaa vichwani mwa kundi hili na wao wanaamini kuwa rais bora lazima atoke kwenye jamii yao.
 
Hawa walifaa kuwa washauri wa Mama
Wana mapungufu lakini wana utu kiasi
Hawa walioteuliwa juzi kati watata sana
Kujiamini kwa baadhi yao kunazua maswali mengi..
kwa nini viongozi huwa hawasikii vilio vya walio wengi
Kwa nini wanakosa chembe ya huruma
Kwa nini wanawakubali wasiokubalika na jamii
Kwani hawaoni hawasomi hawasikii
Bunge ni kituko
JK unayafurahia
Mungu shuka liokoe hiki Taifa na watu wake

Kwani kuvunja Bunge shida iko wapi?
Waliopo hawawezi kuongoza mbona hamuelewiiii
 
Wale wezi wana taka Mama aendelee kuwafunga watu, kuwaibia watu, kuwapa watu kesi za kugushi. Maana walisha kula mbwa wanataka wamlishe na mama.
Tumeona Mama kaagiza kesi zisizonna ushahidi zifutwe, ila mwezi sasa Dpp yuko kimya. Mama kaahiza vyombo vya habari vifunguliwe, kanuni zifuatwr, waziri ana itisha vikao kujadiliana, yani hakuna nidhamu kwenye huu utawala.
Bado wanafikiribMagu yuko hai.
Sasa tumuombe Mama awashughulikie hawa wote wanao pandisha mabega...

Waziri aliye enda naye Uganda akapiga Kiswahili kwa kujiamini. Ujumbe utakuwa umemfikia Mh.

Makamba naye kaongea kwa nidhamu na tahadhari kubwa. Hayati JPM alisema anaweka viwango vya utumishi kama Rais ili wataokamfuata kuongoza wapitie mumo mumo na hili limejidhihirisha wazi.
 
Tatizo hapa tuna kundi ambalo wao wanajiona ni kanda bora kuliko kanda zingine.

Hili jambo lazima tulipige vita kabisa ili huo ubaguz wa kikanda ukomeshwe na ukiwauliza wanasema kuwa kanda yao ndiyo inaamua ushindi wa ccm.

Huu ni ujinga mkubwa sana uliojaa vichwani mwa kundi hili na wao wanaamini kuwa rais bora lazima atoke kwenye jamii yao.
Hushindi Hushindi,,...........
 
“Ulimi ukipewa nafasi unaweza kufanya mtu mmoja kulishinda jeshi la watu 1000, na ulimi huo huo unaweza mfanya mtu akate kichwa chake ndani ya dakika kwa kumkera mtu mmoja tu” Chinese proverb.

Kukosoa sio tatizo, lakini unapokosoa legacy ambazo zina support ya wengi, bila ya ulazima kwa sababu maamuzi yenyewe yapo hatua za mbali ayawezi geuzwa, halafu unafanya hivyo kwenye kipindi ambacho watu bado wanamuombeleza shujaa wao.

Matatizo mengine ni ya kujitakia, busara ni kuelewa uongee nini kwa wakati gani.
 
Back
Top Bottom