Kuna kila dalili Halima Mdee na wenzake wamekalia kuti kavu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,879
Kwa namna nilivyoisikiliza hotuba ya Rais Samia leo naona ni kama Halima Mdee na wenzake kwa sasa wamekalia kuti kavu.

Ni kwamba Chadema watekeleze matakwa ya demokrasia kwa kusikiliza rufaa za wabunge hao halafu tuone kama Spika Ndugai hatayaheshimu maamuzi yao.

Kazi Iendelee

Ramadhan Kareem!
 
Nionavyo
Kama Chadema itakaa na kukataa rufaa zao, basi Ndugai nae hana tena nguvu. Hapo ni kwaheri Mzee Mdee na kundi lako.
Niliwashauri mapema, leo msiingie kwenye kikao cha Mh. Rais, nendeni Chadema mka pige magoti lakini akili zenu ziko kiunoni. Sasa subirini moto Ndugai hana tena uwezo wa kuwalinda, lazima mtoke. Mtabaki kuwa historia. Siasa bye bye.
 
Matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku njoooniii huku njoooniii huku njoooniii huku njoooniii

Kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa
 
Kwa namna nilivyoisikiliza hotuba ya Rais Samia leo naona ni kama Halima Mdee na wenzake kwa sasa wamekalia kuti kavu.

Ni kwamba Chadema watekeleze matakwa ya demokrasia kwa kusikiliza rufaa za wabunge hao halafu tuone kama Spika Ndugai hatayaheshimu maamuzi yao.

Kazi Iendelee

Ramadhan Kareem!
Kwani hilo hawakuliona muda mrefu.
 
Mshahara hujawai kuwaacha watu salama unakuta mdee mwanae anamsomesha marekani afu aachie tu mpunga upeperuke kirahisi??
 
sijui kwanini lakini nampenda Halima Mdee kupita kiasi naimani figisu itatumika abaki bungeni
 
Hata akikutana anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.

Maana yake baada ya kukutana hatutarajii kuwaona akina Lisu wakiponda Atcl, Sgr, bwawa la Nyerere kuwa ni miradi ya hovyo badala yake wataanza kusema hiyo ni miradi ya watanzania.


Kwa akili za kina Mbowe wanahisi mama ataenda kuwaruhusu kufanya maandamano kila siku.
 
Vyovyote vile itakavyoamuliwa ila ni mjinga pekee atakayeelewa kilichofanyika kwa hao waheshimishwa sana.Mambo mengine yalifanyika kama vile shule hazikua na sababu kuwepo.
 
Mzee si umepigwa na kuvunjwa miguu vp tena huku
Mbona kama vile umelegea ghafla? Mbona km umebadili gia. Shen√| type.
 
Mzee si umepigwa na kuvunjwa miguu vp tena huku
Mbona kama vile umelegea ghafla? Mbona km umebadili gia. Shen√| type.
 
Wataumbuka sana yule mtetezi wao aliezoea kuweka sheria mfukoni hayupo tena, ndio maana Mdee alienda kumuaga Chato kwa huzuni sana.
 
Umeishia darasa la ngapi?
Hata akikutana anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.

Maana yake baada ya kukutana hatutarajii kuwaona akina Lisu wakiponda Atcl, Sgr, bwawa la Nyerere kuwa ni miradi ya hovyo badala yake wataanza kusema hiyo ni miradi ya watanzania.


Kwa akili za kina Mbowe wanahisi mama ataenda kuwaruhusu kufanya maandamano kila siku.
 
Hata akikutana anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.

Maana yake baada ya kukutana hatutarajii kuwaona akina Lisu wakiponda Atcl, Sgr, bwawa la Nyerere kuwa ni miradi ya hovyo badala yake wataanza kusema hiyo ni miradi ya watanzania.


Kwa akili za kina Mbowe wanahisi mama ataenda kuwaruhusu kufanya maandamano kila siku.
Cha hovyo kitaendelea kuwa hovyo tu. Hata wakakutane mbinguni. Kazi ya upinzani siyo kusifia Atcl cjui ulisoma wapi ndugu yangu.
Una akili ndogo mnoo
 
Huu ni utawala wa haki sio wa kimabavu kama enzi za fulani,Napenda kuwaambia watala wa kiisilamu humuogopa Mungu maana wanajua watakwenda kuulizwa waliwaongoza vipi watu wao
 
Kwa namna nilivyoisikiliza hotuba ya Rais Samia leo naona ni kama Halima Mdee na wenzake kwa sasa wamekalia kuti kavu.

Ni kwamba Chadema watekeleze matakwa ya demokrasia kwa kusikiliza rufaa za wabunge hao halafu tuone kama Spika Ndugai hatayaheshimu maamuzi yao.

Kazi Iendelee

Ramadhan Kareem!
Nafikiri Chadema wanamaslahi na ubunge wa kina Mdee kubaki kuwa na utata. Wangeweza kuita Baraza kuu hata kwa mtandao wakawafukuza.
Suala la wao kubaki wabunge sio issue kwa sababu wanaweza wakabaki wabunge wa mahakama kwa muda fulani kama alivokuwa HAMAD RASHID MOHAMED (CUF), au ZITTO ZUBERI KABWE (CHADEMA). Issue hapa ni uma kujua ukweli. Je ni tume ya uchaguzi ilicheza mchezo mchafu au chadema wanatugeuza mafala au wamechakachuana? Ndio tungejua tume walikuwa wanawasiliana na nani ndani ya chadema
Je barua ya uteuz ni fake au halisi?
Kama og iliandikwa na nani?.

Suala hili pia linaleta alarm jinsi sheria na demokrasia inavotekelezwa ndani
 
Back
Top Bottom