cwt

  1. sirluta

    Vitisho vya Chama cha Walimu Tanzania(CWT) dhidi ya walimu nchini

    Makatibu habari za asubuhi? Naelewa kuwa CHAKUHAWATA wanatafuta wanachama! Pale ambapo ipo kila Katibu wa wilaya amwandikie DED wake kuhoji kwanini katibu wa CHAKUHAWATA(ngazi husika mf wilaya ya Bukombe), anatumia rasilimali za serikali kwenye shughuli za CHAKUHAWATA yaani muda na mshahara wa...
  2. Jostamas

    Nawasihi walimu wa Tanzania wasikae kimya kuhusu Chama cha Walimu Tanzania

    Nawasihi walimu wa Tanzania, wasikae kimya kuhusu CWT, sab kwa muonekano wa nje chama ni chao, ila kiundani chama sio chao, kwani wanachama ndio huamua kuhusu chama chao, ila walimu wa Tanzania hawaamui chochote kuhusu chama chao! Hata mapato na matumizi ya kila mwezi ya chama chao hawayajui...
  3. polokwane

    Walimu wanawekwa ndani, wanadhalilishwa sababu ya ujenzi wa madarasa wakati si wakandarasi wala mafundi ujenzi. Nini maoni ya CWT kama chama?

    Kwa hili TAMISEMI kaeni mfikiri upya mzigo mnao watwisha walimu ukiachilia mbali mzigo wa vipindi walio nao si haki na si sawa Na CWT mpo kimya hata hamfuatilii mkaona ni madhila gani walimu walio chini ya chama chenu wana nyanyasika na kusurubishwa kwa kazi ambayo hawakuisomea na wala hawana...
  4. I

    Msaada wa kisheria: Nitawezaje kujitoa kwenye chama cha wafanyakazi CWT?

    Msaada wa kisheria: Nitawezaje kujitoa kwenye chama cha wafanyakaz cwt? Ikumbukwe sijawah hata kujiunga nacho ila nakatwa makato ya 2%?
  5. M

    CWT, TAMISEMI, Hazina na Utumishi husikeni hapa

    Niende moja Kwa moja kwenye hoja. Mh. Rais wa JMT Madame SSH amakuwa akitoa maelekezo Kwa wizara na idara za serikali ya jinsi ya kutatua kero zinazowakabili wafanyakazi wa Serikali. Moja ambalo alishalielekeza na kuliidhinishia fedha za malipo ni like kundi la wafanyakazi waliopanda madaraja...
  6. Analogia Malenga

    Fedha za CWT zilitumika kuangalia mpira Cape Verde

    Mchunguzi Mkuu kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mercy Manyalika ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu alivyochunguza na kubaini fedha za Chama cha Walimu Tanzania,(CWT) zilivyotumika kwenda kuangalia mpira wa kombe la dunia mwaka 2018. Manyalika alieleza hayo...
  7. UkweliUsiosemwa

    Serikali iwe macho na matumizi ya fedha za Chama cha Walimu Tanzania (CWT)

    SERIKALI IWE MACHO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA Nimekua nikifuatilia yanayoendelea katika mitandao ya kijamii, na vikao mbalimbali ya vyama vya wafanyakazi nchini, leo nitajikita kuongelea Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Chama cha walimu Tanzania ni chama wafanyakazi...
  8. N

    Siasa za Uchaguzi wa 2025 zinamng'oa Rais wa CWT kiulaini

    Huyu mama amekuwa na msimamo ambao umemfanya atofautiane na Katibu Mkuu wake Ndugu Seif. Katibu Mkuu wake huyo pamoja na kuwa na kesi ya jinai inayohusu ubadhirifu wa fedha za CWT Mahakamani hajaweza kusimamishwa kazi na ndiye ameendelea kukiongoza Chama kupitia Kamati Tendaji. Amekuwa na...
  9. msovero

    Rais wa Chama cha Walimu (CWT) Bi. Leah Ulaya, asimamishwa kwa tuhuma nzito

    Dodoma. Baraza Kuu la Chama cha Walimu Tanzania (CWT) limemsimamisha rais wa chama hicho, Leah Ulaya kwa madai kuwa ameshindwa kuwaunganisha walimu na kueleza changamoto zinazowakabili. Kwa uamuzi huo, Leah atasubiri hatima yake katika mkutano mkuu wa CWT utakaofanyika mwaka 2022 ili kujua...
  10. peno hasegawa

    Tetesi: Ni nini faida za CWT Kwa wanachama wake ambao ni walimu

    Kama Uzi unavyojieleza. Chama Cha walimu Tanzania (CWT), kimeanzishwa zaidi ya miaka 40 iliyopita. Ninaomba wanachama wa CWT waeleze faida za CWT Kwa wanachama wao ambao ni walimu Pili ninaomba kujua asilimia 2% inayokatwa kutoka Kwa mwalimu ambaye ni mwanachama zinamfaidisha nini mwalimu...
  11. Amaizing Mimi

    CWT kupinga uanzishwaji wa bodi ya kitaalamu ya walimu.

    Bila shaka mpo salama wanajukwaa. Hivi karibuni katibu wa Chama cha Walimu wilayani kwetu amezunguka kwenye shule za hapa wilayani.amekuwa akipinga uanzishwaji wa bodi ya walimu, nijuavyo mimi CWT ndio inaongoza kumnyonya mwalimu. Kuna lipi la muhimu kwa mwalimu hadi cwt ijifanye inamtetea...
  12. R

    TAKUKURU mjikite kwenye Chama cha Walimu (CWT) wilaya, mikoa na Taifa

    Kuna chama kinaitwa Chama Cha Walimu ni ugonjwa sugu unaotafuna walimu ambao wengi wao wamejikatia tamaa. TAKUKURU kama kuna uchunguzi wa kina unatakiwa ufanyike ni katika Chama hiki cha walimu.Kuna biashara zinafanyika ambazo kama Takukuru wataingia, kuna kitu watashangaa. TAKUKURU chunguzeni...
  13. M

    CWT, hakuna tena haja ya T-shirt; Mei Mosi imepita

    CWT walishindwa kutoa T-shirt kwa wanachama wake kwa wakati hivyo hakuna haja ya kuwaletea tena wanachama wake tukio limeshapita hilo.
  14. Jensen salamone

    Kuelekea Mei Mosi, Walimu tunaomba Rais Samia Suluhu uunde tume ya kuichunguza CWT

    Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea kwenye maadhimisho ya siku ya wafanyakazi(mei mosi), walimu tunakuomba mheshimiwa Rais uunde tume ya elimu kukichunguza chama cha walimu (CWT) kwakuwa kimeshindwa kutimiza wajibu wake wa kututetea na kutuhudumia. Mbali na kushindwa kutimiza wajibu wake wa...
  15. T

    Baada ya wadau kuilalamikia CWT kuiba fulana za TLP, sasa waja na muundo mwingine

    Hii ni tshet mpya inayotolewa na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) baada ya ile ya awali kupingwa na wanachama na wadau mbalimbali. Tshet ya hapo mwanzo ilikuwa ni hii hapa
  16. T

    CWT wameishiwa ubunifu, Mei Mosi kuvaa sare inayoendana na ya TLP

    Hawa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) sijui wamekumbwa na nini, mara nyingi sare zao siyo 'unique' kabisa. Je, hawana watu wabunifu wa kuja na sare zenye 'akili'?
  17. Infantry Soldier

    TAFAKURI CWT: Kwani umoja wa walimu hawawezi kumiliki kampuni/kitengo chao cha ujenzi wakawa wanajenga shule zao wenyewe kama wafanyavyo SUMA JKT?

    Habari zenu waheshimiwa wa humu jamiiforums. Eti ndugu zangu; Kwani umoja wa walimu hawawezi kumiliki kampuni/kitengo chao cha ujenzi wakawa wanajenga shule zao wenyewe (Primary & Secondary) kama wafanyavyo SUMA JKT? Kwanini tenda apewe mkandarasi mwingine wakati walimu wanaweza kuunda umoja...
  18. M

    Msaada tafadhari nakatwa makato na Chama cha Walimu Tanzania wakati sio mwanachama wao

    Jamani pesa yenyewe dongo ila CWT tena wananikata wakati mimi nipo chama kingine jamaani tunakufa na huyu cwt msaada ndugu rais utusaidie afisa utumishi wanatunyonya wakishirikiana na ofisi ya cwt
  19. Msingida

    CWT taifa tunaomba ufafanuzi

    Kuna tangazo la nafasi za ukatibu cwt wilaya,mmetoa majina ya walimu walioomba nafasi hizo kwa usaili tarehe 11th Novemba. Kuna walioomba ambao majina yao hayapo kwenye hiyo list yenu. Kuna mchujo ulifanyika kwenye ngazi ya wilaya/Mkoa? Msaada katibu cwt Taifa.
  20. B

    CWT oneni aiibu

    Baada ya serikali yetu pendwa kushusha kodi kwa watumishi wake wakiwemo waalimu na kuanza kufaidi ni mda sasa chama cha waalimu kutekeleza majukumu yake kwa wanachama kushusha makato mpaka 1%. Tunawapa miezi mitatu kuanzia leo mwezi wa nane, bila hivyo tutaitisha maandamano ya kisheria nchi...
Back
Top Bottom