sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Makatibu habari za asubuhi?
Naelewa kuwa CHAKUHAWATA wanatafuta wanachama! Pale ambapo ipo kila Katibu wa wilaya amwandikie DED wake kuhoji kwanini katibu wa CHAKUHAWATA(ngazi husika mf wilaya ya Bukombe), anatumia rasilimali za serikali kwenye shughuli za CHAKUHAWATA yaani muda na mshahara wa serikali!
Kwa sababu ukishakuwa Katibu wa chama cha wafanyakazi unachukua likizo isiyo ma malipo, hao makatibu wanatakiwa kuchukua likizo isiyo na malipo ili watumikie CHAKUHAWATA!
Nawapa siku mbili kote ambapo hao makatibu wapo muaandike barua kwa ma-DED kuhoji hilo! Nakala ya barua hizo wapeni km-or utumishi, km- OR-TAMISEMI, km cwt, ma-RAS na ma-DAS wenu! Barua iwe ya fomart moja nchi nzima!
Nategemea agizo langu ikifika ijumaa mchana barua zote zimefika kwa wahusika! Nawatakia kazi njema
Agizo
wawakilishi wote wa CWT na viongozi wote mlio chini yangu hakikisheni kuwa mnapambana usiku na mchana kuhakikisha walimu hawahami chama, hali imekua mbaya sana, mnatakiwa kutumia kila mbinu kuhakikisha hao mashetani chakuhawata hawafiki kwa walimu.
Walimu wakuu na maafisa kata tumeshawaweka sawa na maafisa utumishi nyie mnashindwaje? Mwakilishi yeyote ambaye shuleni kwake mwalimu atajitoa CWT tutahakikisha uchaguzi ujao hatachaguliwa tena, Mimi ni katibu uwezo wa kumwondoa hata sasa ninao.
Nyie waambieni walimu wakihama watakatwa mara mbili . Tambueni posho zenu, mishahara ya makatibu inatoka kwenye makato sasa wakihama itakuwaje? Walimu wanaelewa , mmeona tulivyowatishia wa kasekese na sibwesa mambo yapo sawa? Wewe unashindwaje?
Narudia tumieni kila mbinu. Pale mtakaposhindwa tuwasiliane haraka, mengine nitaongea kwenye kikao.
Mwl.
Mafuru.
Katibu CWT Tanganyika.
Katavi.
Serikali ichukue hatua dhidi ya vitisho hivi hakuna aliye juu ya Sheria. Wala hakuna mwenye haki ya kutisha raia yeyote.
Naelewa kuwa CHAKUHAWATA wanatafuta wanachama! Pale ambapo ipo kila Katibu wa wilaya amwandikie DED wake kuhoji kwanini katibu wa CHAKUHAWATA(ngazi husika mf wilaya ya Bukombe), anatumia rasilimali za serikali kwenye shughuli za CHAKUHAWATA yaani muda na mshahara wa serikali!
Kwa sababu ukishakuwa Katibu wa chama cha wafanyakazi unachukua likizo isiyo ma malipo, hao makatibu wanatakiwa kuchukua likizo isiyo na malipo ili watumikie CHAKUHAWATA!
Nawapa siku mbili kote ambapo hao makatibu wapo muaandike barua kwa ma-DED kuhoji hilo! Nakala ya barua hizo wapeni km-or utumishi, km- OR-TAMISEMI, km cwt, ma-RAS na ma-DAS wenu! Barua iwe ya fomart moja nchi nzima!
Nategemea agizo langu ikifika ijumaa mchana barua zote zimefika kwa wahusika! Nawatakia kazi njema
Agizo
wawakilishi wote wa CWT na viongozi wote mlio chini yangu hakikisheni kuwa mnapambana usiku na mchana kuhakikisha walimu hawahami chama, hali imekua mbaya sana, mnatakiwa kutumia kila mbinu kuhakikisha hao mashetani chakuhawata hawafiki kwa walimu.
Walimu wakuu na maafisa kata tumeshawaweka sawa na maafisa utumishi nyie mnashindwaje? Mwakilishi yeyote ambaye shuleni kwake mwalimu atajitoa CWT tutahakikisha uchaguzi ujao hatachaguliwa tena, Mimi ni katibu uwezo wa kumwondoa hata sasa ninao.
Nyie waambieni walimu wakihama watakatwa mara mbili . Tambueni posho zenu, mishahara ya makatibu inatoka kwenye makato sasa wakihama itakuwaje? Walimu wanaelewa , mmeona tulivyowatishia wa kasekese na sibwesa mambo yapo sawa? Wewe unashindwaje?
Narudia tumieni kila mbinu. Pale mtakaposhindwa tuwasiliane haraka, mengine nitaongea kwenye kikao.
Mwl.
Mafuru.
Katibu CWT Tanganyika.
Katavi.
Serikali ichukue hatua dhidi ya vitisho hivi hakuna aliye juu ya Sheria. Wala hakuna mwenye haki ya kutisha raia yeyote.