Amaizing Mimi
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 477
- 1,065
Bila shaka mpo salama wanajukwaa.
Hivi karibuni katibu wa Chama cha Walimu wilayani kwetu amezunguka kwenye shule za hapa wilayani.amekuwa akipinga uanzishwaji wa bodi ya walimu, nijuavyo mimi CWT ndio inaongoza kumnyonya mwalimu.
Kuna lipi la muhimu kwa mwalimu hadi cwt ijifanye inamtetea mwalimu ilhali wao ndio wanyonyaji wakubwa? CWT itakuwa na nguvu gani baada ya bodi kuanzishwa?
Bodi watakata elfu hamsini kwa mwaka kwa mwalimu wakati CWT inakata walimu kwa asilimia(kuna walimu wanakatwa hadi laki nne kwa mwaka).
kwanini CWT inapinga uanzishwaji wa bodi ilhali inaonekana kuwa na makato madogo kuliko cwt?Au bodi ikianzishwa cwt itafutwa?
Hivi karibuni katibu wa Chama cha Walimu wilayani kwetu amezunguka kwenye shule za hapa wilayani.amekuwa akipinga uanzishwaji wa bodi ya walimu, nijuavyo mimi CWT ndio inaongoza kumnyonya mwalimu.
Kuna lipi la muhimu kwa mwalimu hadi cwt ijifanye inamtetea mwalimu ilhali wao ndio wanyonyaji wakubwa? CWT itakuwa na nguvu gani baada ya bodi kuanzishwa?
Bodi watakata elfu hamsini kwa mwaka kwa mwalimu wakati CWT inakata walimu kwa asilimia(kuna walimu wanakatwa hadi laki nne kwa mwaka).
kwanini CWT inapinga uanzishwaji wa bodi ilhali inaonekana kuwa na makato madogo kuliko cwt?Au bodi ikianzishwa cwt itafutwa?