covid-19

Testing for the respiratory illness coronavirus disease 2019 (COVID-19) and the associated SARS-CoV-2 virus can be done by polymerase chain reaction (PCR) testing, nucleic acid tests and ELISA antibody test kits. One study published in February 2020 claims that chest CT scans perform better than PCR tests.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    China yakaribisha nchi nyingine kujiunga nayo kushirikiana na Afrika katika mapambano dhidi ya COVID-19

    Katika mkutano wa wakuu wa China, Ufaransa na Ujerumani uliofanyika hivi karibuni kwa njia ya video, rais Xi Jinping wa China alitoa wito kwa Ulaya kutoa chanjo dhidi ya COVID-19 kwa Afrika, na pia kuisaidia kukabiliana na shinikizo la madeni linalotokana na janga hilo. Juu ya hilo, kuna vyombo...
  2. J

    Mbowe amepambana hadi tumepata Chanjo ya COVID-19; je, na Katiba mpya ataipigania kwa nguvu ile ile?

    Wakati Freeman Mbowe anapambania chanjo ya Corona wengi walimdharau lakini serikali ikamuelewa na chanjo za hiyari zinakuja. Katiba mpya je? Mwamba atatuvusha?!
  3. A

    mtazamo wa watu kwenye trend ya COVID-19

    hivi kwanini kila serekali inapo zungumzia kuhusu COVID-19 aidha idadi ya wagonjwa, au kuhusu chanjo au kuchukua tahadhari, basi watu wanakuja na hoja za "wanaipigia debe COVID-19 ili wapate mikopo sijui nn na nn.. njia gani itumike kuwaelemisha watu juu ya hili suala?
  4. A

    SoC01 Kwanini unatakiwa kusaini makubaliano kabla ya kuchoma chanjo ya COVID-19?

    Rejea picha hapo juu (picha kutoka mtandaoni) Hayo ni makubaliano ambayo unahitajika kusaini kabla ya kupokea chanjo, kwamba uko tayari kwa lolote lile litakalo tokea na serekali haito wajibika. Je, hii ina maana gani? Je, ni kwamba Serekali haina imani na chanjo hiyo? Au wanafahamu wao kwamba...
  5. I

    Wataalamu nisaidieni: Hivi ni sahihi kuanzisha kodi mpya katikati ya janga la Corona?

    Kwanza naomba ku-declare interest. hii serikali siipendi. Baada ya hapo niende kwenye mada moja kwa moja. Baada ya kifo cha kiongozi wetu aliekuwa anazipinga waziwazi conspiracy theories karibu zote zinazohusu corona. Mrithi wake kaja na wazo tofauti. yeye anazikubali pamoja na mambo yake...
  6. N

    SoC01 Uwekezaji duni wa afya ya msingi, ulivyoathiri mapambano dhidi ya COVID-19 nchini

    Uboreshaji Afya ya msingi ni kuhakikisha kunakuwepo na mikakati endelevu wa kuhakikisha huduma za afya hususa ni kuzuia maambukizi mapya (Prevention) Afya ya msingi inayoanzia katika jamii ni muhimu sana na hasa ndio msingi ambao unawagusa wananchi moja kwa moja hususa ni walioko maeneo ya...
  7. Mathanzua

    Ultimate proof: Covid-19 was planned to usher in the New World Order

    1. Medical doctors declare that the pandemic was planned. A group of over 500 medical doctors in Germany called ‘Doctors for Information’ made a shocking statement during a national press conference: (1) ‘The Corona panic is a play. It’s a scam. A swindle. It’s high time we understood that we’re...
  8. funaku

    Chinese companies to supply millions of COVID-19 vaccines to COVAX

    Hatimaye China imeingia mkataba wa kusupply chanjo ya corona kwa mpango wa covax. Kampuni za utengenezaji chanjo za china hatimaye zimeula! KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA! ====== Chinese pharmaceutical companies including Sinopharm and Sinovac signed agreements to supply millions of doses of...
  9. Stevenbee

    Je, COVID-19 ni hadithi tu za hekaya?

    Habari zenu wapendwa natumaini mpo wazima wa Afya, Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu kuhusiano na ugonjwa wa uviko ulioanza mwanzoni mwa 2020 kwa Tanzania. Kwanza ningependa kufafanua kwanini nimeuliza swali la namna hiyo? Naomba tiririka na Mimi katika kisa hiki kifuatacho...
  10. safwaboe

    Covid-19, Symptoms and type of Group of people who are most dangerous to be affected

    Corona virus is the disease caused by virus known as SARS-COV-2 which was errupted in Wuhan china on december 2019. Corona Virus is the respiratory disease that attacks the respiratory system and causes a person to fail to breath and lastly to die. Corona Virus belongs to the family...
  11. Matanga

    Serikali moja ya Dunia na chanjo ya COVID-19

    TAARIFA KWA UMMA wa na [emoji1621][emoji1241]Dr Lugendo Karibuni, SERIKALI MOJA YA DUNIA NA CHANJO YA COVID-19 Hii ni mada ndogo iliyo katika MADA kubwa isemayo “ KUNA NINI NYUMA YA CORONA ?” ndiyo tunayoendelea nayo. Hebu tutazame kidogo yanayoendelea ulimwenguni. Huko Marekani: “Juni 23...
  12. Shujaa Mwendazake

    Waziri wa Afya: Kuna wagonjwa 26 wa COVID-19 mkoani Dodoma

    Waziri wa Afya nchini Tanzania Dk Dorothy Gwajima, amesema mkoa wa Dodoma hadi sasa una wagonjwa 26 wa COVID-19 na kati ya hao wagonjwa 22 wanapumulia gesi. Dk. Gwajima amewataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya wimbi la tatu la ugonjwa wa COVID 19.
  13. Suley2019

    Dkt. Dorothy Gwajima: Serikali haitatumia nguvu, jilindeni na Covid-19

    PICHA: Dkt. Dorothy Gwajima Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dk Dorothy Gwajima amesema serikali haitatumia nguvu katika kukabilia wimbi la tatu la virusi vya corona, na badala yake watajikita katika utoaji elimu zaidi. Akijibu maswali ya waandishi wa habari jana Dar es...
  14. L

    Huu sio wakati mwafaka kwa Ulaya kulegeza hatua za kupambana na COVID-19

    Wakati baadhi ya nchi zimekuwa zikipambana na wimbi la tatu la maambukizi ya COVID-19, na zikiendelea na juhudi za kutoa chanjo kwa watu wake, baadhi ya serikali zimekuwa zikitafuta kila njia ya kurudisha hali ya kawaida, bila hata kuzingatia tahadhari zinazotolewa na wataalamu wa afya. Hali hii...
  15. Dr Adinan

    Kuingia kwenye wimbi la tatu ni Uamuzi Kama Ilivyo Kutokuingia

    Utakumbuka wakati ule ametangazwa mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 Tanzania, watu wengi walianza kuchukua tahadhari. Lakini kirusi alishaingia Tanzania. Watu baadhi wakaumwa. Kwakuwa tahadhari ilikuwa juu, idadi ya waliokuwa wanaumwa ikaanza kupungua. Virusi hawakuwa wameisha! Walikuwa wachache. Na...
  16. isajorsergio

    Napambana na COVID-19 deadly Delta

    Habari 👋🏾 Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika...
  17. Cannabis

    RC Kigoma: Mkoa una wagonjwa 12 wa Wimbi la tatu la ugonjwa wa COVID-19

    Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye athibitisha mkoa wake kuwa na wagonjwa 12 wa CoVID-19, RC Andengenye amesema kuwa miongoni mwao 6 wanatibiwa hospitalini na wengine wamejitenga nyumbani. ==== Mkoa wa Kigoma umeripotiwa kuwa na wagonjwa 12 wa Corona ambapo wengine wamejitenga...
  18. beth

    Waziri Gwajima: Maambukizi ya COVID-19 yapo, wasiochukua tahadhari waitikie wito

    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Doroth Gwajima amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameshatoa maelekezo kila mtu avae barakoa kwenye mikusanyiko, hivyo watu wachukue tahadhari. “Kasi ya wagonjwa kuendelea kujitokeza na kulazwa kwenye hospitali zetu inaashiria...
  19. Lorenzo Samike

    Corona iko maeneo gani Tanzania?

    Hey, Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania. Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani?? Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi. Kiuhalisia...
  20. beth

    Zanzibar: Serikali yatoa toleo la pili la Muongozo wa Huduma kwa wanaohisiwa kuwa na COVID-19

Back
Top Bottom