Asha Hincha
Member
- Jul 13, 2021
- 15
- 15
hivi kwanini kila serekali inapo zungumzia kuhusu COVID-19 aidha idadi ya wagonjwa, au kuhusu chanjo au kuchukua tahadhari, basi watu wanakuja na hoja za "wanaipigia debe COVID-19 ili wapate mikopo sijui nn na nn..
njia gani itumike kuwaelemisha watu juu ya hili suala?
njia gani itumike kuwaelemisha watu juu ya hili suala?