Testing for the respiratory illness coronavirus disease 2019 (COVID-19) and the associated SARS-CoV-2 virus can be done by polymerase chain reaction (PCR) testing, nucleic acid tests and ELISA antibody test kits. One study published in February 2020 claims that chest CT scans perform better than PCR tests.
WHO declares that healthy children and teenagers do NOT need covid vaccines
Friday, March 31, 2023
Now that the world is waking up to the dangers and uselessness of Wuhan coronavirus (Covid-19) “vaccines,” the World Health Organization (WHO) is backing off in trying to push them, at least...
Bilionea namba 2 Duniani bwana Elon Musk akijibu swali ama maoni ya mtumiaji wa Twitter aliehoji ni lini watu watajua ukweli kwamba Covid-19 ilikua ni utapeli, Bwana Musk amesema itajulikana hivi karibuni tu.
Kumbuka Bwana Musk alitoa taarifa kwenye mtandao wake wa twitter kwamba hivi karibuni...
Mkesha wa Mwaka Mpya wa Jadi wa China ulifanyika tarehe 21 Januari mwaka huu, ambapo wanafamilia kutoka sehemu mbalimbali walikusanyika pamoja na kukaribisha Mwaka Mpya wa Sungura.
Sikukuu hiyo kwa mwaka huu ilikuwa ni ya kwanza kufanyika baada ya China kutangaza mapema Januari kuwa, inapunguza...
Jumapili, Januari 8, 2023, China ilitangaza kulegeza zaidi hatua za udhibiti wa virusi vya Corona, na kuondoa masharti ya kuweka wasafiri karantini mara wanapowasili nchini China kama ilivyokuwa kipindi cha nyuma.
Tangu mlipuko wa COVID-19 ulipotokea mwishoni mwa mwaka 2019 na kesi ya kwanza...
Kuanzia tarehe 8 mwezi Januari, China imerekebisha hatua zake za kukabiliana na janga la COVID-19 kutoka ngazi A hadi B. Kwa mujibu wa hatua mpya, watu walioambukizwa na virusi vya Corona hawatawekwa karantini tena, na watu wanaoingia nchini China kutoka nchi za nje pia hawatalazimishwa tena...
Tangu mapema mwaka 2020 wakati ugonjwa wa COVID-19 ulipolipuka na kushuhudia watu wengi wakiathirika duniani, juhudi mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa ili kuhakikisha ugonjwa huu unadhibitiwa ama kutokomezwa kabisa. Juhudi hizo ni pamoja na kila nchi kuweka kanuni na zuio la aina mbalimbali, na...
Mtandao wa #Bloomberg umeripoti kuwa maambukizi hayo huenda yamewafikia watu Milioni 248 ambao ni sawa na 18% ya idadi ya watu wote ndani ya siku 20 za Desemba 2022.
Desemba 22, 2022, kampuni ya Airfinity inayohusika na utunzaji Data za #Afya ilikadiria kuwa kuna uwezekano wa Vifo vya kila siku...
Ripoti iliyotolewa wiki hii na kituo cha Yuyuantantian, kinachomilikiwa na shirika kuu la Habari la China (CMG) inaonyesha kuwa Mwitikio wa China wa miaka mitatu wa COVID-19 ni endelevu, wa kimfumo na unaendana na nyakati na pia umeokoa maisha ya watu.
Pamoja na hatua za kuzuia na kudhibiti...
Caroline Nassoro
Hivi karibuni, serikali ya China ililegeza masharti na hatua za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19), na hii inatokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kudhibiti kuenea na vifo vinavyotokana na virusi hivyo. Binafsi, hatua hii imenipa matumaini...
There is no doubt that humanity is waking up to the huge injustice that is being stealthily carried out by a few individuals with the sole aim of completely dominating and enslaving humanity.This injustice is being carried out by the extremely evil and criminal Cabal called the Khazarian Mafia...
Tuesday, November 29, 2022
Natural News
During the covid-19 scandal, Danish Prime Minister, Mette Frederiksen, threatened individual rights, slaughtered animals out of hysteria, and repeatedly violated the country’s constitution. She also worked with the governments of Austria and Israel to...
Mamia ya waandamanaji wanazidi kukabiliana na Polisi kwa kupinga Sheria kali zilizowekwa na Serikali ili kudhibiti hali ya mambukizi mapya yanayorejea tena nchini humo
China bado imeweka Sheria ngumu za kuhakikisha inamaliza kabisa janga la UVIKO-19 ikiwemo vizuizi vya kutoka ndani. Nov 26...
Utafiti wa Taasisi ya Tony Blair umebainisha kuwa kuwekwa kwa lockdown ili kupunguza kasi ya kuenea kwa virusi vya Corona, Wazazi na Walezi hawakuweza kuwapeleka Watoto wao hospitali kwa ratiba za kawaida za chanjo za awali
Kulingana na Shirika la Afya Ulimwenguni, karibu visa 17,500 vya surua...
Watu ambao wameambukizwa COVID-19 zaidi ya mara moja, wana uwezekano mara mbili au tatu zaidi, kuwa na matatizo mengi ya kiafya kuliko wale ambao wameambukizwa mara moja tu, ripoti ya utafiti mkubwa wa kwanza juu ya suala hilo ilisema.
Maambukizi mengi yameongezeka huku janga hilo likiendelea...
Wizara ya afya nchini Kenya imesema watu 127 wamekutwa na maambukizi ya Covid-19 kati ya watu 763 walichukuliwa vipimo ikiwa ni asilimia 16.6
Kwenye visa hivyo, wanaume ni 61 huku wanawake wakiwa 66 na mtu mdogo zaidi ni mtoto wa mwaka mmoja na mkubwa zaidi ana umri wa miaka 87.
Jumla ya watu...
Kwa wale watakao ridhia kwa hiari chanjo ya Covid-19 kuelekea 2 November 2022 kuangalia mechi ya Young Africans vs Club Africain, tiketi 10,000 za bure wametengewa.
Hii ni maalum kuongeza ufahamu dhidi ya magonjwa kama Covid-19 na Ebola kwa kampeni kuwalenga watu wengi kuongeza ufahamu na...
Ugonjwa wa Covid-19 umeibuka tena China kwa speed ya 5G .
Waziri wa afya wajulishe watanzania mapema cha kufanya tusisubiri gharika hadi ije.
Ubalozi wa Tanzania china umepiga kimya ila Hali kule Sio shwari.
The World Economic Forum(WEF )proudly claims that “billions” who obeyed lockdowns and mask mandates will also comply with new globalist “social credit scheme” because they are the stupid lot.
It has finally been revealed and we knew this all along that Covid-19 lockdowns, mask mandates and...
Rais Joe Biden ametangaza kumalizika kwa maambukizi ya UVIKO-19 Nchini Marekani licha ya ripoti kadhaa kudai kuwa kuna Waathirika wapya wa ugonjwa huo wanaongezeka.
Anasema "Maambukizi hakuna na ndio maana hakuna anayevaa barakoa, kila mtu anaonekana kuwa vizuri.”
Pamoja na kauli hiyo mamlaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.