Alisimamishwa uwakiishi na uchaguzi mdogo umitishwa.
Kosa lake ni kuhatarisha maisha ya watu kwa kwenda kwenye makundi ya watu akiwa na onfirmed covid-19 test.
Akiwa anasubiri matokeo ya kipimo, alikwenda Kanisani na kusoma somo. Baadaye alikwenda kwenye kilabu cha pombe. Siku iliyofuata alisafiri kwenda London kwa train ambayo ilikuwa na abiria 183
Alirudi glasow akihofia kutengwa kwenye hotel Londo kwa wiki mbili kama ilivyokuwa utaratibu wa wakwa isolate covid patients
Alikamatwa na kus
hitakiwa kwa kuhatarisha maisha ya watu kizembe. Alipewa adhajumuiya kama adhabu
Kwanini nimeleta kisa hiki? UWAJIBIKAJI. Sakata la bandari ilibidi akina Mbarawa, majaliwa, Feleshi na wengine hata na Rais LABDA wawajibike kwa kujiuzulu lkn bado wame meza pin kama vile hakuna baya walilolifanya.
Kosa lake ni kuhatarisha maisha ya watu kwa kwenda kwenye makundi ya watu akiwa na onfirmed covid-19 test.
Akiwa anasubiri matokeo ya kipimo, alikwenda Kanisani na kusoma somo. Baadaye alikwenda kwenye kilabu cha pombe. Siku iliyofuata alisafiri kwenda London kwa train ambayo ilikuwa na abiria 183
Alirudi glasow akihofia kutengwa kwenye hotel Londo kwa wiki mbili kama ilivyokuwa utaratibu wa wakwa isolate covid patients
Alikamatwa na kus
hitakiwa kwa kuhatarisha maisha ya watu kizembe. Alipewa adhajumuiya kama adhabu
Kwanini nimeleta kisa hiki? UWAJIBIKAJI. Sakata la bandari ilibidi akina Mbarawa, majaliwa, Feleshi na wengine hata na Rais LABDA wawajibike kwa kujiuzulu lkn bado wame meza pin kama vile hakuna baya walilolifanya.