Testing for the respiratory illness coronavirus disease 2019 (COVID-19) and the associated SARS-CoV-2 virus can be done by polymerase chain reaction (PCR) testing, nucleic acid tests and ELISA antibody test kits. One study published in February 2020 claims that chest CT scans perform better than PCR tests.
Ugonjwa wa Covid-19 umeibuka tena China kwa speed ya 5G .
Waziri wa afya wajulishe watanzania mapema cha kufanya tusisubiri gharika hadi ije.
Ubalozi wa Tanzania china umepiga kimya ila Hali kule Sio shwari.
The World Economic Forum(WEF )proudly claims that “billions” who obeyed lockdowns and mask mandates will also comply with new globalist “social credit scheme” because they are the stupid lot.
It has finally been revealed and we knew this all along that Covid-19 lockdowns, mask mandates and...
Rais Joe Biden ametangaza kumalizika kwa maambukizi ya UVIKO-19 Nchini Marekani licha ya ripoti kadhaa kudai kuwa kuna Waathirika wapya wa ugonjwa huo wanaongezeka.
Anasema "Maambukizi hakuna na ndio maana hakuna anayevaa barakoa, kila mtu anaonekana kuwa vizuri.”
Pamoja na kauli hiyo mamlaka...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limezitaka Nchi mbalimbali kuendelea kuchukua hatua za kupambana na Ugonjwa wa UVIKO19 kwa kuwa takwimu za maambukizi zimeshuka kwa kiwango cha chini kuliko wakati wote tangu Machi 2020.
Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus licha ya kutotaja namba...
Kwa mara ya kwanza duniani, nchi ya China imeidhinisha matumizi ya chanjo ya kupambana na ugonjwa wa COVID-19 inayotolewa kwa njia ya kuvuta kiasi kidogo cha dozi kupitia pua.
Chanjo hiyo iliyopewa jina la CaSino's Ad5-nCoV imetengenezwa kwa kutumia adenovirus, aina ya virusi waliopoozeshwa na...
Covid-19 was not an epidemiological event, it was a money laundering scheme.
“Manufactured pandemics are now mammoth investment opportunities that increase the wealth of billionaires and further consolidate their power.” Part 1
“Put simply, Covid-19 was not an epidemiological event, it was a...
Taarifa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Fumio Kishida imethibitisha kuwa Kiongozi huyo amepima na kukutwa na maambukizi ya COVID-19, ikiwa ni wiki moja kabla ya kuhudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Maendeleo ya Afrika (TICAD) nchini Tunisia.
Licha ya kupata maambukizi, imeelezwa kuwa Kiongozi huyo...
Takwimu za Wizara ya Afya zimeonesha kuwa watu 449,416 sawa na 26% ya watu milioni 1.71 waliotakiwa kurudi Julai 31,2022 kwa ajili ya dozi ya Pfizer hawakurudi, huku wengine 416,869 sawa na 24% waliotakiwa kurudia dozi ya pili ya Pfizer Agosti 14, 2022 hawakurudi
Taarifa hiyo pia imeonesha...
Ikulu ya Marekani imesema Jill Biden, Mke wa Rais wa Marekani Jill Biden amepimwa na kukutwa na maambukizi ya COVID-19.
Taarifa ya Elizabeth Alexander, Mkurugenzi wa Mawasiliano kutoka ofisi ya Mke wa Rais imesema Jill Biden anakabiliwa na home kidogo na ameanza kutumia dawa ya Paxlovid...
Imefahamika kuwa Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un alipata homa wakati wa maambukizi ya Uviko-19, hayo yamesemwa na dada wa kiongozi huyo, Kim Yo-jong.
Kwa kauli hiyo ni wazi anathibitisha Kim Jong alipata maambukizi kama ilivyodaiwa, lakini Yo-jong amelaumu Korea Kusini kwa kudai walirusha...
NEW BIOLOGICAL UPDATE FROM RUSSIA
New briefing from Chief of Radiation, Chemical and Biological Defence Forces, General Igor Kirillov, on military biological activities of the United States in the territory of Ukraine.
The Russian MIL have been studying biological samples from surrendered...
After two years of unprecedented government tyranny in the name of fighting a virus, the prime instigators of this infamy are walking free, writing books, and openly pretending they never said the things they clearly said over and over.
Take Trump’s White House Covid response coordinator...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa linakuja na mpango mbadala wa kutoa chanjo ya kujikinga na COVID-19 kwa kuamua kuweka kipaumbele katika Nchi au maeneo hatarishi ya watu kuambukizwa Ugonjwa huo.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya kushindwa kufikia lengo la chanjo kusambaa kwa 70% katika...
Takriban Watoto Milioni 25 duniani walishindwa kupatiwa kwa wakati Chanjo muhimu zinazowalinda dhidi ya Magonjwa mbalimbali mwaka 2021, ikiwa ni ongezeko la Watoto Milioni 2 ikilinganishwa na takwimu za mwaka 2020
Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Umoja wa Mataifa...
Julai 11 ilipitishwa na Umoja wa Afrika (AU) kuwa Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Barani humo. Kwa mwaka 2022, Maadhimisho yanafanyika Zanzibar leo Julai 12 yakiwa na Kaulimbiu "Mikakati na Mifumo ya Wazi ya Usimamizi ya Fedha za UVIKO-19"
Tangu kuanza kwa janga la COVID19 kumekuwa na taarifa...
Maambukizi ya Ugonjwa wa UVIKO-19 yanaendelea kushika kasi ungereza ambapo Ofisi ya Takwimu (ONS) imesema kuwa takribani watu milioni 2.7 wamepata maambukizi.
Maambukizi hayo yameongezeka kutokana na kusambaa kwa Virusi vya Omicron vinavyotambulika kitaalamu kwa majina ya BA.4 na BA.5.
Source...
Nimetafakari sana na kuona hizi kesi zinazoendelea ni kupoteza muda tu na zaidi ni vita vya ndani baina ya wanachama wenyewe wa Chadema ambao wengine wana matumaini ya kuchukua nafasi za hao COVID 19.
Ukiangalia vizuri lengo la wakati huo ilikuwa ni kutokutambua matokeo na ilihusu pia mbunge...
Tanzania avoided a recession in 2020, but the COVID-19 pandemic has significantly impacted lives and livelihoods across the country.
The emergency of the COVID-19 novel coronavirus plunged the global economy into a recession in 2020, and the pace of recovery remains uncertain among advanced and...
Maambukizi ya Virusi vya Corona yameongezeka kwa 30% Nchini Uingereza ndani ya wiki moja iliyopita
Takwimu zilizotolewa na Ofisi ya Takwimu ya Taifa ya Uingereza imeonesha zaidi ya watu milioni 3 walipata maambukizi ya vizuri hivyo vinavyosababisha COVID-19 huku idadi ya vifo ikipungua...
Mamlaka zinapambana kudhibiti mlipuko mkubwa zaidi wa CoronaVirus Jijini humo tangu janga hilo kuanza. Wakazi wote wametakiwa kupima kila siku na kukaa nyumbani mara nyingi iwezekanavyo
Ndani ya Wiki moja, upimaji kwa Wakazi zaidi ya 600,000 umeshafanyika mara tatu na watu wapatao 7,000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.