🤣🤣🤣Maokoto yameisha wamekuja na upuuzi mwingine
Ruto na Samia ni wazuri sana kuhemea ughaibuni😁Kwa nini tusiseme haya ndiyo matokeo ya ziara kibao za Dkt. Ruto ng'ambo?
Je, wakoloni wamempa mbinu mpya za ^kujikwamua^ na aibu ya shutuma dhidi ya serikali yake kuhusu umaskini na hali mbaya kimaisha?