Hii huenda ndio ikawa hotuba bora ya Conference of Parties (COP 26 ) na huenda ikaacha historia kwa miaka mingi, Mungu Ibariki Tanzania
===
Baada ya jarida la Foreign Policy ( FP) ya Marekani kuitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi...
Kutokana na hukumu ya kesi ndogo iliyotolewa leo dhidi ya kesi ya kina Mbowe hawa jamaa inaonesha wamejipanga kufanya jambo ambalo litashangaza dunia nzima.
Katibu mkuu Mnyika itisha press leo leo ili kutoa muongozo kwa wapenda haki wote nchini.
Katika press yako njoo na approach nzuri...
Tunawakaribisha kwenye Press Conference Leo kama tangazo linavyoonyesha sisi Wamachinga tuliobomolewa vibanda vyetu, tunaomba mtuafuatilie tutakua online.
Pia tutampongeza Mheshimiwa Raisi kwa speed yake ya kutuwekea mazingira mazuri ya biashara.
Jiji limeanza kupendeza
PIA, SOMA:
-...
Bwana weeee kumbe viti vinakuwa mambo flani tayari hadi ukiruka kiunzi cha ule mlango wa sehemu husika kombora linachapa kwa kocha siku ya mchezo na kabla unakuwa jitu la hovyohovyo
Basi ni jambo jema sana wekundu wa msimbazi kususia ile press na kesho msisahau kuruka yale mmadawa...
Mtunisia kasema anahitaji miezi 2 hadi 3 ili team ipate muunganiko, vilevile kasema mechi ya kesho ni ngumu hawezi kuahidi ushindi sababu yeye siyo mtabiri
Kocha mkuu kuanzia tarehe 27 ni Kazelona sasa sisi wadau wa soka tunaomba apewe atleast miezi 6 ili apate muunganiko maana hawa wachezaji...
Africa-Shenzhen Economic & Trade Cooperation and Exchange Series
Conference – Dar es Salaam, Tanzania. 09 September, 2021.
In recent days the sixth phase government has been putting in place a great efforts in achieving the goal of realizing an industrialized economy country, this government's...
Saa kumi hiyo ishafika mabingwa wa nchi wanaanza Press conference bahati mbaya kuna jitu pori sijui linguruwe pori liko addicted sana na chochote kinachosemwa na mabingwa
Utasikia ohooooo alivyoona press yangu akajifanya kuitisha yake na kuweka billions 20 ili kuwatuliza, na leo utasikia...
Nataka IGP Sirro ajitokeze atueleze Haya yafuatayo
1. Wahusika waliomshambulia Lissu
2. Nani alimuua Alphonce Mawazo
3. Nani aliyempoteza Ben Saanane
4. Yuko wapi Azory Gwanda
5. Kuna taarifa za watu kipindi kile kukutwa kwenye viroba (tukaambiwa ni wakimbizi)
6. watu mbalimbali...
Nasikia unapanga kufanya Press Conference yako ya Kutapika Nyongo yako dhidi ya Simba SC hasa Watendaji wake kati ya Jumatatu au Jumanne ijayo.
Nami pia nakuonya mapema sana just ya hili kwani ukitekeleza hii adhma yako utakuwa umekaribisha Mashambulizi hatari ya Kiyahudi dhidi yako.
Wakati...
Dodoma, Tanzania
the 2021 Professionals’ Diversity Conference & Exhibition from Monday 26th to 31st July 2021 at Royal Village Hotel in Dodoma.
Kuelekea Kongamano la Anuai za Kitaaluma Dodoma kuanzia target 26 Julai mpaka 31 Julai 2021
Kulipa kodi, kuuziana nyumba, miamala ya gesi na...
Manara amekuwa anawafanyia waandishi wa habari vitendo vya kidhalilidhaji sana. Aliwatukana ni takataka na juzi kati kuna Clip anamfokea Prisca Kishamba kwa makelele.
Amekuwa na tabia hii mbaya kwa kujirudia lakini waandishi hawamchukulii hatua, na mbaya zaidi wengine walicheka kitendo...
Mkutano na waandishi wa habari utaanza saa 8 mchana kutokea ofisi ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba
==========
UPDATES:
Humphrey Polepole:
Chama cha Mapinduzi kinatoa aarifa rasmi ya kifo cha ndugu yetu na mpendwa wetu, John Pombe Joseph Magufuli, ambaye amekuwa Mwenyekiti wetu wa Chama...
Habari wana jf, maalim seif ameongea na waandishi wa habari na kuzungumzia suala la Membe huku akimtolea maneno makali sana.
Nimeshindwa kushangaa, leo hii maalim seif unasema Membe katumwa? Mbona siku ya kumpitisha pale chamani kuwa mgombea uraisi ulimsifia sana? Membe unalo la kujifunza, pole...
Nimesikiliza clip ya Lissu akijibu maswali ya wanahabari kwenye mkutano wao jana jijini Mwanza. Kwa jinsi alivyoweza kujibu kwa hoja nzito maswali yote aliyoulizwa na waandishi, nimemuona Lissu kama Nerere mwingine katika uwezo wa kujenga, kujibu na kutetea hoja. Sidhani kama katika miaka ya...
Habari wakuu,
Ninaomba kwa mwenye kujua kama inawezekana kufanya Conference call ya watu 15 na kuendelea.Nimejaribu inaishia watu 5 tu, Msaada tafadhali.
Mgombea Urais kupitia CHADEMA jana Jumatano alifanya "Press conference" na Vyombo vya Habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na...
Kauli Mbiu Kuu Ya Kongamano Hilo.
Wanawake Wanaweza,Waliweza Na Wanaendelea Kuweza.
Mwezeshaji:Ndg.Humphrey Polepole
Hakika Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimepata Katibu Wa NEC Itikadi Na Uenezi Mwenye Uwezo Mkubwa Mno Katika Kujieleza,Kuelezea,Kufafanua...
Leo Tena Bunge limepata msiba wa 3 ndani ya wiki mbili tu. Hii si hali ya kawaida tangu Tanzania ipate Uhuru kwa Bunge kupoteza Wabunge 3 kwa vifo vya kutatanisha.
Wabunge wa Upinzani CHADEMA na ACT-Wazalendo pamoja na Watanzania wenye busara walishauri Bunge lisifanyike kwasababu ya kuwepo kwa...
Wanachama na wapenzi wa CCM duniani kote na wandishi wa habari macho na masikio leo yapo Dodoma ambapo katika hotel ya St. Gasper bwana Selasini atakuwa na mkutano KUELEZEA JINSI CHADEMA WALIVYOKATAA KUMUUNGA GROUP LA WHATSAPP.
Mkutano huo ni wa muhimu sana haswa UKICHUKULIA INTELEJENSIA YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.