CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Bwana weeee kumbe viti vinakuwa mambo flani tayari hadi ukiruka kiunzi cha ule mlango wa sehemu husika kombora linachapa kwa kocha siku ya mchezo na kabla unakuwa jitu la hovyohovyo
Basi ni jambo jema sana wekundu wa msimbazi kususia ile press na kesho msisahau kuruka yale mmadawa yalizyozindikwa na hao washirikina wa utopoloni
Mechi ya kesho ni muhimu wa kuwapasua ili wakawambane makofi vizuri pah pah pah
Basi ni jambo jema sana wekundu wa msimbazi kususia ile press na kesho msisahau kuruka yale mmadawa yalizyozindikwa na hao washirikina wa utopoloni
Mechi ya kesho ni muhimu wa kuwapasua ili wakawambane makofi vizuri pah pah pah