Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Manara amekuwa anawafanyia waandishi wa habari vitendo vya kidhalilidhaji sana. Aliwatukana ni takataka na juzi kati kuna Clip anamfokea Prisca Kishamba kwa makelele.
Amekuwa na tabia hii mbaya kwa kujirudia lakini waandishi hawamchukulii hatua, na mbaya zaidi wengine walicheka kitendo alichofanyiwa Prisca.
Hawafahamu kwamba wao ndiyo wanampa Manara kazi. Japo yeye Manara anafikiri yeye ndiye anawapa waandishi kazi. Wakigoma kufanya naye kazi anakuwa Jobless.
Nawashauri wagome kufanya naye kazi hadi aombe msamaha au Simba watafute msemaji mwingine.
Amekuwa na tabia hii mbaya kwa kujirudia lakini waandishi hawamchukulii hatua, na mbaya zaidi wengine walicheka kitendo alichofanyiwa Prisca.
Hawafahamu kwamba wao ndiyo wanampa Manara kazi. Japo yeye Manara anafikiri yeye ndiye anawapa waandishi kazi. Wakigoma kufanya naye kazi anakuwa Jobless.
Nawashauri wagome kufanya naye kazi hadi aombe msamaha au Simba watafute msemaji mwingine.