citizen

Citizenship is the status of a person recognized under the law of a country of belonging to thereof. In international law it is membership to a sovereign state (a country).Each state is free to determine the conditions under which it will recognize persons as its citizens, and the conditions under which that status will be withdrawn. Recognition by a state as a citizen generally carries with it recognition of civil, political, and social rights which are not afforded to non-citizens.
In general, the basic rights normally regarded as arising from citizenship are the right to a passport, the right to leave and return to the country/ies of citizenship, the right to live in that country and to work there.
Some countries permit their citizens to have multiple citizenships, while others insist on exclusive allegiance. A person who does not have citizenship of any state is said to be stateless, while one who lives on state borders whose territorial status is uncertain is a border-lander.

View More On Wikipedia.org
  1. Victor Mlaki

    Mtazamo wangu juu ya suala la Tanzania kujiandaa kuwafanya watu wake kuwa raia wa Dunia "Global citizen"

    Tanzania inatazamia kuhakikisha raia wake wanatoka nje ya boksi na kushiriki kikamilifu bila kujifungia mipaka juu ya ustawi wa Dunia, yaani Raia wa Dunia. Kupitia jukwaa hili nimetamani sana kutoa mtazamo wangu ambao unaweza pia kuwa ushauri. Lengo ni kuhakikisha ushiriki wetu kama Taifa...
  2. Analogia Malenga

    Ubalozi wa Marekani wasema wapo na JF kwenye kukuza Citizen Journalism

    Ubalozi wa Marekani ni wageni kwenye sherehe ya kutoa tuzo za Stories of Change, Balozi Battle ametoa hotuba nzuri.
  3. Burkinabe

    A Burkinabe President Capt Ibrahim Traolè is an iconic patriotic African leader who loves his citizen and country as well

    They call him Capt Ibrahim Traolè, the youngest African President. He is also the youngest President in the world currently. H.E Capt. Ibrahim Traole has become an iconic patriotic African leader comparing to other Presidents in the continent. Burkina Fasso is now developing very fast during...
  4. Replica

    Citizen: Shisha na 'e-ciggarates' zinasababisha upungufu nguvu za kiume & changammoto ya uzazi kwa wanawake

    Uvutaji wa shisha umekuwa kawaida nchini siku za karibuni na kukua kiasi kwamba wengine wameamua kuwa na shisha majumbani mwao. Pia siku hizi kuna sigara za kielektroniki, inatumia battery na inaunguza kimiminika kinachojumuisha nikotin, flavours na uraibu mwingine kuwa moshi ili mtu kuweza...
  5. G

    Serikali inayapangia Magazeti kitu cha kuandika? Tazama haya magazeti

    Leo nimeshtushwa na magazeti haya mawili katika kurasa zao za mbele kubwa na vichwa vya habari vinavyofanana. Kumekuwepo na tetesi kwamba serikali imekuwa ikiyapangia magazeti habari za kuandika. Kati ya magazeti ambayo yalikuwa yamebaki na uhuru kidogo ni haya ya Mwananchi Communication...
  6. GENTAMYCINE

    Gazeti la The CITIZEN kumpa Utajiri mwingine wa Maisha Tajiiri Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu

    Mahakama Kuu ya Tanzania imelitaka Gazeti la The CITIZEN linalomilikiwa na Kampuni ya MWANANCHI kumlipa Ndugu Nehemia Mchechu (sasa Msajili wa Hazina) kiasi cha Shilingi Billioni Mbili za Kitanzania kutokana na Kumchafua kuwa ni Fisadi na ametumbuliwa na Rais Dkt. Magufuli katika Toleo lao la...
  7. JanguKamaJangu

    Mahakama yaamuru Gazeti la The Citizen kumlipa aliyekuwa Bosi wa NHC, Nehemia Mchechu Bilioni 2

    Mahakama Kuu ya Tanzania imeliamuru gazeti The Citizen kumlipa fidia ya shilingi bilioni mbili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu kwa kuchapisha habari zilizomshushia hadhi. Hukumu hiyo imetolewa leo Mahakama Kuu, Masijala ya Dar es Salaam, ikielezwa kuwa...
  8. OLS

    Kesho yenye uwajibikaji inahitaji Citizen journalism (Uandishi wa Umma)

    Tasnia ya Habari imeonekana kama moja ya muhimili wa serikali hata hivyo tasnia ya habari imeonekana kupoteza uwezo wake wa kuibua mambo na kuleta uwajibikaji kwa mihimili mingine ya serikali. Waandishi huripoti matukio na press hali inayofanya stori ziwe hazina maajabu ya kutosha kwenye...
  9. Suzy Elias

    Nehemia Mchechu adai fidia Tsh. billioni 3 kwa kuchafuliwa na Gazeti la The Citizen

    Kesi hiyo ilianza kusikilizwa Ijumaa iliyopita jijini Dar es Salaam mbele ya Jaji Leila Mgonya wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Katika kesi hiyo, Mchechu anawakilishwa na mawakili wa kujitegemea Aliko Mwamanenge ma Vitalis Peter. Mchechu anadai kuwa gazeti hilo katika toleo lake la Machi...
  10. Analogia Malenga

    Akaunti ya twitter ya Citizen yadukuliwa

    Akaunti ya twitter ya Gazeti la Citizen imedukuliwa. Uongozi umewataka wateja wake kutoamini taarifa yoyote itakayotolewa na ukurusa huo kwa sasa Timu ya wataalamu wanaendelea kushughulikia namna ya kuirejesha.
  11. John Haramba

    Gazeti la The Citizen laomba radhi kwa habari ya 'kushadadia' vita ya Urusi Vs Ukaine

    Gazeti la The Citizen la Jumatano Machi 9, 2022 limeomba radhi kwa kile kilichoandikwa katika habari yao kubwa gazetini hapo ambayo ilitoka Jumatatu Machi 7, 2022. Katika The Citizen la Machi 7, ilitoa habari kubwa ambayo ilikuwa na kichwa cha habari kisemacho: “UKRAINE CONFLICT NOT ALL BAD...
  12. beth

    Hong Kong: Uhuru wa Habari waendelea kuzorota. Tovuti ya Citizen News yatangaza kufunga shughuli zake

    Tovuti ya Citizen News imetangaza kufunga shughuli zake kuanzia Januari 04, ikitaja kuzorota kwa mazingira ya Vyombo vya Habari kama sababu. Hatua hiyo imekuja baada ya Polisi kuvamia Kituo cha Stand News wiki iliyopita, ambapo watu kadhaa walikamatwa kwa tuhuma za uchochezi. Sheria mpya...
  13. fasiliteta

    Rais Samia umiza akili kuunda serikali yako mpya kabisa achana na hayo magenge

    Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma...
  14. Replica

    Dar: Serikali yakanusha kuachia Wafungwa wa Kisiasa, yasema Tanzania haina mfungwa wa kisiasa

    Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa amekana taarifa inayosambaa kwamba Rais Samia kawaachia huru Wafungwa 23 wa Kisiasa. Kadai Tanzania haina mfungwa wa kisiasa na kusema Rais hawezi kuingilia mchakato wowote wa Mahakama. Awali chombo cha habari cha Kenya kiliripoti Rais Samia kuachilia wafungwa...
Back
Top Bottom