Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Ubalozi wa Marekani ni wageni kwenye sherehe ya kutoa tuzo za Stories of Change, Balozi Battle ametoa hotuba nzuri.
Wao pia huwa wana muda wa kupoteza kutuombea Baraka Sisi Miafrika tukuka?Mungu wabariki Wazungu
Baraka huombewa watenda mema , nyie kutwa kulogana nani awaombee baraka ?Wao pia huwa wana muda wa kupoteza kutuombea Baraka Sisi Miafrika tukuka?
Leo hii au unamanisha nnHao wanataka kupenyeza ushoga tu hakuna lingine. Hata rais wao alwahi kututukana kuwa sisi ni watu wa nchi za shit hole
Kweli hawa watu bado wana dharau
Hao wanataka kupenyeza ushoga tu hakuna lingine. Hata rais wao alwahi kututukana kuwa sisi ni watu wa nchi za shit hole
Kweli hawa watu bado wana dharau
Wameona wajipenyeze humu ili wapate kupitisha kilaani ili agenda yao LGBT plus .Haya twende kaziii.Anayeleta hoja za ushoga pasipo husika huwa ana element za ushoga.