china

  1. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania 89% ya waliofariki na Corona wametoka bara la Ulaya, Marekani, China na Iran, huku 0.5% vikitoka Afrika na 0.2% weusi tii! Then why lockdown in Africa

    Ukifuatilia kwa umakini epidemiology ya ugonjwa huu haiziathiri ngozi nyeusi zilizokulia Africa zinazopambana na Virus wengi walioko kwenye Vumbi tunalokutana nalo pengine Vumbi hili lina particles ndogondgo ambazo hazitakiwi na mwili na hivyo basi kinga za miili yetu ziko stressed kuingia...
  2. Tz boy 4tino

    JamiiForums Tanzania DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao

    DR Congo 'prepared' to take part in vaccine testing: official The Democratic Republic of Congo is prepared to take part in testing of any future vaccine against the coronavirus, the head of the country's taskforce against the pandemic said on Friday. "We've been chosen to conduct these tests,"...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Internatinal Court to decide whether China used Corona Virus as Bioweapon to Attack the World

    A new lawsuit filed with the International Criminal Court (ICC) accuses China of using coronavirus as a bioweapon. Although the theory has already been debunked in the past, a new complaint filed against Beijing claims the deadly virus was engineered in a lab by Chinese scientists. The...
  4. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania China inaomboleza wahanga wa COVID-19 nchi nzima

    China leo imefanya maombolezo ya nchi nzima kuwakumbuka maelfu ya watu waliopoteza maisha kutokana na virusi vya corona. Bendera za taifa zimepepea nusu mlingoti nchi nzima pamoja na kusitisha shughuli zote za burudani. Siku hii ya maombolezo iliambatana na kuanza kwa sherehe za kila mwaka za...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Unafanyeje biashara kipindi hiki cha Corona?

    Habari za Kwako Mwana Jamii Mwenzangu! Natumaini upo poa na unaendelea kujikinga na Corona iliyokuja kwa kasi 2020, Natumaini Mungu atatuvusha! Wakati China wakiwa wamefunga milango yao na wamerudi makazini na shughuli zikiwa zinaendelea kama kawaida ( masks, sanitizers, kupimwa joto la mwili...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo China ilivyotengeneza COVID-19 kuangamiza watu ili kuidhibiti dunia kiuchumi

    December mwaka Jana 2019 ulilipuka ugonjwa wa Corona jijini Wuhan nchini China. Hapo hapo Wuhan ikawa Locked. Taharuki ikaanza duniani kote. Idadi ya wanaokufa ikaanza kutolewa ikiongozwa na China. Kwasababu ugonjwa umeanzia China, na ni nchi ya viwanda, definitely Test Kits za Corona zitaanza...
  7. impelle

    JamiiForums Tanzania Mtanzania afukuzwa China kwa kushindwa kuheshimu taratibu za kujinga na ugonjwa wa covid-19

    Maelezo ya mmoja wetu kuhusu hilo yako hivi:- “Naomba kushare na ninyi jambo moja linasikitisha kidogo. Jana kwenye mitandao ya kijamii hapa China kumeibuka habari ya kuchafua jina letu Tanzania. Kuna mtanzania mwenzetu ameripotiwa kufanya mambo ambayo ni kinyume kabisa na maelekezo tunayopewa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania (6)Six things you must know about artificial Sun China is busy building

    China is building an artificial Sun, which is capable of powering our entire planet. Here are the six things you must know about this gigantic project that would revolutionize the way we live; 1. The “artificial sun” was first announced by Chinese researchers last November, but the project has...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tukisema China ndiye aliyetengeneza virus vya CORONA tunamaanisha mambo kama haya

    Tazama kipande hiki Cha filamu iliyotengenezwa na kuingia sokoni mwaka 2018. Katika filamu hii virusi vya CORONA vimezungumziwa. Sasa hapo ndo utajua kuwa tamaa ya mchina ndo inayougharimu ulimwengu kwa sasa.
  10. babu M

    JamiiForums Tanzania Maombi ya talaka China yameongezeka kwa kiwango kikubwa wakati wa lockdown!

    Divorce rate spikes across China after 'couples spend too much time together during coronavirus home quarantine', officials claim Divorce rates in China have risen significantly because 'couples are spending too much time together at home' during coronavirus self-isolation, according to...
  11. V

    JamiiForums Tanzania China dampo medical equipment

    Spain na Uholanzi wamerudisha China vifaa vya kupambana na Corona virus Kama vile testing equipment , face mask na magauni ya kujikinga , Vifaa hivi vimerudishwa sababu viko chini ya viwango vya kimataifa. Taarifa hii ni muendelezo wa kashfa ya China katika mlipuko wa Corona.Tanzania imepokea...
  12. M

    JamiiForums Tanzania China owes the World an explanation: How comes they have the best COVID-19 recovery rate

    Let us take a quick look at the stats of the number of COVID-19 cases across the world, since the outbreak of this deadly pandemic. The USA has 123,000 cases with 3,000 recoveries which stands at 2%. Italy has 92,000 cases with 12,000 recoveries which stands at 13%. Spain's 16%, Germany's 14%...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Check what China is planning to do next

    According to the report, Chinese scientists are working on harvesting the energy of the Sun, but it's not solar energy. The country has developed its very own “artificial sun,” a nuclear fusion research device that is supposed to pave the way for clean energy -- similar to the real Sun. The...
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa

    Wanabodi, Kuna msemo wa Kiswahili usemao "Kufa Kufaana", wakati watu wanahangaika na janga la Corona, wengine wanaangazia namna ya kutumia changamoto kuzibadili kiwa fursa, yaani turning problems, obstacles, challenges or adversaries into opportunities. Tangu dunia na taifa letu kukumbwa na...
  15. M

    JamiiForums Tanzania See Some foods eaten in China that got more people talking

    Chinese people LOVE to eat. If eating is a sport, no other country will come close. I’ve never seen a nation having so much time for consuming anything that walks, crawls, flies swims, slithers or grows in my whole life until I traveled to China. Strange foods. I love eating therefore, most of...
  16. S

    JamiiForums Tanzania China: Wakazi wa Wuhan kuondolewa zuio la kusafiri Arpil 8

    Baada ya wakazi wa China kuwekewa vizuizi vya kusafiri kwa wiki kadhaa, hasa kuingia jimbo la Hubei (lenye mji wa Wuhan, kitovu cha corona) kwa karibu miezi 2 ili kuepusha kusambaa kwa korona, zuio hilo litaondolewa rasmi April 8. Wakazi wa Wuhan watakuwa huru kusafiri popote nchini kuanzia...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Recovered Corona Virus patients in China tests positive again!!!

    14 percent of the recovered patients in China test positive for the coronavirus for a second time. Doctors in China have revealed that patients that had fully recovered from Covid-19, have contracted the virus again. There is fear in China that there may be a second coronavirus outbreak in the...
  18. M

    JamiiForums Tanzania China ina dawa ya CORONA, kinachosubiriwa Ni ugonjwa huu kupamba Moto ulimwengu mzima ili apige pesa

    Kwa wenye akili kubwa watakubaliana na Mimi kuwa nchi ya China tayari in dawa ya ugonjwa wa CORONA, ila kwa kuwa hii ni Vita ya kiuchumi, wanasubiri nchi nyingi zikabwe barabara na ugonjwa huu Kisha wapige pesa kwa kuziuzia dawa. Time will tell.
  19. T

    JamiiForums Tanzania Marekani Waiomba China msaada

    CHINA YAKUBALI KUISAIDIA MAREKANI KUPAMBANA NA CORONA China imekubali kutoa msaada kwa Marekani ambayo imethibishwa kuwa na maambukizi mengi zaidi ya virusi vya corona kuliko nchi nyingine duniani, ikiwa na zaidi ya wagonjwa 85, 500 kwa mujibu wa chuo kikuu cha Johns Hopkins, Marekan Source...
  20. Miki123

    JamiiForums Tanzania Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi

    Kuna baadhi ya watu wanasema china anapika data kuhusu takwimu za corona lakini tweet ya leo trump ameomba ushauri wa kupambana na corona tena kwa lugha ya upole bila kuweka mbwembwe za kuita corona chinese virus.
Back
Top Bottom