Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Wana JF,
Janga la Covid-19 lilianzia nchini China katika mji wa Wuhan-Hubei Province mwezi Desemba 2019!
Mpaka leo Taifa la China halijaweka hadharani nini hasa kilitokea kwenye Maabara za WUHAN Institute of Vilorogy(WIV) hadi kupelekea mlipuko huu wa Covid-19.
China imeshakiri kuwa kabla ya mlipuko kulikuwa na Utafiti wa Virusi ulikuwa ukifanyika kwene Chuo hicho cha WUHAN (WIV) na inasemekana kuwa Virusi walivokuwa wanavifanyia uchunguzi ni pamoja na SARS-COV-2 vinavofanana na COVID-19! Mpaka hivi sasa kuna dhana(speculations) nyingi zinasemwa kuhusiana na mlipuko huu:
Lakini pia mara tu baada ya China kuhakikisha kuwa Kirusi Cha Covic-19 kimesambaa na kimefika nchi za Ulaya na Marekani, Wachina wakatangaza kuidhibiti Covid-19 nchini kwao na mpaka sasa HAKUNA MAAMBUKIZI WALA VIFO vya Covid-19 nchini China!!!Hapa iko namna!!
Kwa hesabu za maambukizi pamoja na vifo nchini China ilifikia takribani vifo 3400 tu(not confirmed, it can be less than that) Lakini ukija kuangalia nchi ambazo zimeambukizwa(pelekewa Virusi vya Covid-19, vifo ni kwa makumi maelfu! Marekani mpaka sasa Kuna vifo 24,000, Italy-Vifo12,000; Spain 14,000; etc.
Wachina ndiyo waloanzisha mfumo wa Lockdown nchini kwao wakijua kabisa mfumo huo utakwenda kutumika kwa nchi zote na kuvuruga Uchumi wa Dunia nzima na hasa Wapinzani wso Kiuchumi nchi ya Marekani na zingine za Ulaya!
Marekani tayari kesha mlalamikia China na W.H.O kwa UZEMBE huu! Inavoonekana Kuna uhusiano fulani wa Serikali ya China na Shirika la Afya Duniani(W.H.O) kwa KUSHINDWA kuisimamia China kuzuia maambukizi haya kwa muda mwafaka.
Hata baada ya Marekani kujiondoa kwene ufadhili wa WHO kwa kiasi Cha 100m+ USD, China haraka Sana ime inject kiasi Cha 30m USD!!
Nihitimishe kwa kusema kwamba ni wakti wa nchi na Jumuia zote za Kimataifa, Kikanda na Kijamii kupiga kelele,kuhoji kuchunguza na kupata su kupewa majibu sahihi kuhusu Nini kilitokea WUHAN. Iwapo China haitatoa majibu sahihi ya kueleweka basi Umoja wa Mataifa(UN)kupitia Baraza la Usalama la iunde Tume kwenda kuchunguza nchini China chini ya kipengele Cha Nchi yeyote kujihusisha na SILAHA ZA MAANGAMIZI IKIWEMO SILAHA ZA KIBAILOJIA.
Tujadili.Chinese Scientist Says Covid Came From Government Lab In Wuhan: Report
Janga la Covid-19 lilianzia nchini China katika mji wa Wuhan-Hubei Province mwezi Desemba 2019!
Mpaka leo Taifa la China halijaweka hadharani nini hasa kilitokea kwenye Maabara za WUHAN Institute of Vilorogy(WIV) hadi kupelekea mlipuko huu wa Covid-19.
China imeshakiri kuwa kabla ya mlipuko kulikuwa na Utafiti wa Virusi ulikuwa ukifanyika kwene Chuo hicho cha WUHAN (WIV) na inasemekana kuwa Virusi walivokuwa wanavifanyia uchunguzi ni pamoja na SARS-COV-2 vinavofanana na COVID-19! Mpaka hivi sasa kuna dhana(speculations) nyingi zinasemwa kuhusiana na mlipuko huu:
- Kirusi Cha Covid-19 kilitokea na tabia ya Wachina kula soup ya Popo(Chinese Bat Soup).
- Kwamba katika uchunguzwa wa SARS-COV-2 inawezekana Kuna UZEMBE ulifanyika na kupelekea kirusi hiki kikatoka kwa Popo,nyoka au ngiruwe na kuingia kwa binadamu.
- Kwamba kwa maksudi Wataalamu wa WIV kwa kutumia Genetic engineering walikifanyia utaalamu kirusi Cha SARS-Cov-2 na kutengeneza Covid-19 kama silaha ya Kibailojia (Biological weapons) kwa Mataifa mengine hasidi Kiuchumi na kijeshi.
Lakini pia mara tu baada ya China kuhakikisha kuwa Kirusi Cha Covic-19 kimesambaa na kimefika nchi za Ulaya na Marekani, Wachina wakatangaza kuidhibiti Covid-19 nchini kwao na mpaka sasa HAKUNA MAAMBUKIZI WALA VIFO vya Covid-19 nchini China!!!Hapa iko namna!!
Kwa hesabu za maambukizi pamoja na vifo nchini China ilifikia takribani vifo 3400 tu(not confirmed, it can be less than that) Lakini ukija kuangalia nchi ambazo zimeambukizwa(pelekewa Virusi vya Covid-19, vifo ni kwa makumi maelfu! Marekani mpaka sasa Kuna vifo 24,000, Italy-Vifo12,000; Spain 14,000; etc.
Wachina ndiyo waloanzisha mfumo wa Lockdown nchini kwao wakijua kabisa mfumo huo utakwenda kutumika kwa nchi zote na kuvuruga Uchumi wa Dunia nzima na hasa Wapinzani wso Kiuchumi nchi ya Marekani na zingine za Ulaya!
Marekani tayari kesha mlalamikia China na W.H.O kwa UZEMBE huu! Inavoonekana Kuna uhusiano fulani wa Serikali ya China na Shirika la Afya Duniani(W.H.O) kwa KUSHINDWA kuisimamia China kuzuia maambukizi haya kwa muda mwafaka.
Hata baada ya Marekani kujiondoa kwene ufadhili wa WHO kwa kiasi Cha 100m+ USD, China haraka Sana ime inject kiasi Cha 30m USD!!
Nihitimishe kwa kusema kwamba ni wakti wa nchi na Jumuia zote za Kimataifa, Kikanda na Kijamii kupiga kelele,kuhoji kuchunguza na kupata su kupewa majibu sahihi kuhusu Nini kilitokea WUHAN. Iwapo China haitatoa majibu sahihi ya kueleweka basi Umoja wa Mataifa(UN)kupitia Baraza la Usalama la iunde Tume kwenda kuchunguza nchini China chini ya kipengele Cha Nchi yeyote kujihusisha na SILAHA ZA MAANGAMIZI IKIWEMO SILAHA ZA KIBAILOJIA.
Tujadili.Chinese Scientist Says Covid Came From Government Lab In Wuhan: Report