Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,587
- 215,179
Wakati serikali ya CCM inatuamisha kuwa China ni rafiki zetu na kuwa tuna historia ya miaka mingi na nchi hiyo. Miradi ya maendeleo ya serikali ya watu wa China nchini Uganda inagusa maisha ya watu moja kwa moja. Mfano wa miradi hiyo ni Naguru Hospital yenye uwezo wa kuhudumia wagonjwa wa nje na vitanda 100 vya wagonjwa wa kulazwa.
Mkurugenzi wa hospitali alisema wana mlango wa Kipanya huduma kufikia vitanda 500 vya wagonjwa wa kulazwa. Huduma za kila siku katika hospitali hiyo huendeshwa kwa ushirikiano wa wataalamu wa China na Uganda.
Viongozi wetu tunaomba miradi kama hii hapa kwetu kama marafiki zetu wanaweza kuwekeza na sisi tunufaike na matunda ya urafiki huu.
Mkurugenzi wa hospitali alisema wana mlango wa Kipanya huduma kufikia vitanda 500 vya wagonjwa wa kulazwa. Huduma za kila siku katika hospitali hiyo huendeshwa kwa ushirikiano wa wataalamu wa China na Uganda.
Viongozi wetu tunaomba miradi kama hii hapa kwetu kama marafiki zetu wanaweza kuwekeza na sisi tunufaike na matunda ya urafiki huu.