chanjo

Chanjo (kutoka kitenzi "kuchanja"; kwa Kiingereza "vaccine") ni dawa ya kibiolojia ambayo inajenga kingamwili dhidi ya ugonjwa fulani.

Dawa ya chanjo huwa na sehemu za vidubini vinavyosababisha ugonjwa fulani. Dawa hutolewa kutoka katika kidubini kilicho hai au kilichokuwa hai. Sehemu zinazotumiwa kwa dawa haziwezi kusababisha ugonjwa lakini zinatambuliwa na mmfumo wa kinga mwilini.

Mara dawa ya chanjo inaingizwa katika mwili, mfumo wa kinga unaanza kutegeneza fingomwili dhidi ya ugojwa huo.

Chanjo ni njia bora zaidi kuzuia magonjwa ya kuambukiza. Kinga inayoenea kutokana na chanjo kwa kiasi kikubwa inawezesha kuepukana na kifua kikuu duniani na kizuizi cha magonjwa kama vile polio, pepopunda, tetekuwanga kutoka duniani kote. Hata hivi karibuni kumekuwa na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19 kuna chanjo zilitengenezwa na kuukabili

Tunashauriwa na wataalamu wa afya na wanasayansi wa kimataifa kuwapa watoto wadogo chanjo ili iwakinge dhidi ya magonjwa na maradhi mabaya. Kinga ni bora kuliko tiba.
  1. Vita dhidi ya Corona: Rais Kagame atoa mfano kwa raia wake

    Wakati dunia ikapambana na janga la Corona mambo mengi yanatokea. Rais Paul Kagame wa Rwanda amekuwa kiongozi wa ukweli baada ya kujitikeza kupata chanjo ya corona ili kuwapa imani wananchi wake nao kupata hiyo chanjo. Hongereni sana ndugu zetu Wanyarwanda kwa kupata kiongozi wa kujivunia.
  2. J

    Profesa Makubi: Serikali imeunda Kamati ya wataalamu kufuatilia masuala ya Chanjo ya Corona

    Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona. Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la...
  3. Orodha ya nchi zilizositisha utoaji wa chanjo ya Astrazeneca

    Jumla ya nchi saba tayari zimesitisha utoaji wa chanjo💉 ya Astrazeneca: ✓ Denmark ✓ Iceland ✓ Austria ✓ Estonia ✓ Lithuania ✓ Luxembourg ✓ Latvia Sababu ya kusimamishwa kwa shughuli hii ni kesi nyingi za watu kurudi hospitali na kugundulika damu yao inaganda, hali ambayo imezua hofu. Je...
  4. Kama wanaweza kutengeneza Bombadia wanaweza pia kutengeneza chanjo ya Covid-19

    Ndugu zangu wanasiasa lazima tukubali kuwa wenzetu walianza zamani sana kwenye sayansi na teknolojia, wanatuzidi mbali sana. Kama tunaamini wanaweza kututengenea ndege kubwa na nzuri, computers, nguo, mkonga wa taifa, chanjo za surua na kifaduro LAZIMA tukubali kuwa wanaweza kutengeneza hata...
  5. B

    Tukubali chanjo, Covid-19 ipo na inaua

    Ni muhimu kwa watanzania na Serikali yake kukubali chanjo ya corona ili kuepusha vifo vingi vya watu ambavyo vingeweza kuzuiwa. Toka Janga la Corona lilivoikumba dunia, serikali ta Tanzania iliamua kutumia mbinu zenye kuhatarisha maisha, kama kuruhusu mikusanyiko ya watu, kutokupima watu corona...
  6. M

    Baraza la Maaskofu Katoliki Kenya laitaka Serikali kuruhusu chanjo zote za COVID

    Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Kenya limeitaka serikali ya Kenya kukubali na kuruhusu kuruhusu chanjo zote halali za COVID-19. Kwamba kanisa katoliki limeruhusu mtandao wa hospitali zake zote nchini Kenya kkutumika kama vituo vya chanjo za COVID-19 --- Catholic Bishops have now...
  7. K

    Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

    Nimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata...
  8. Lockdown ina ukweli kiasi gani?

    Mbona wenye lockdown bado wanafanya shughuli kama kawa? Marekani tokea corona ianze hawajaacha kutengeneza filamu, na filamu zina watu zaidi ya 100 on set. Hawakuacha kufanya kampeni, japo midahalo ilikua na virtual attendees lakini mikutano watu walikua wanajaa tena wengine bila barakoa...
  9. Rais wa Nigeria na Makamu wake wapatiwa chanjo ya Covid 19

    Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari na makamu wake Yemi Osibanjo wamekuwa watu wa kwanza kupatiwa chanjo ikiwa ni njia ya kuwahakikishia wananchi kuwa chanjo ndiyo kinga muafaka dhidi ya virusi vya corona. Nigeria wiki iliyopita ilipokea chanjo ya Covid 19 ikiwa ni mwanzoni mwa awamu ya pili ya...
  10. M

    Kuhusu chanjo ya COVID-19: Tuijue dhana ya "moving target"

    Wazungu wenyewe wanakiri kuwa corona virus is a moving target. Kwa maneno mengine ni kwamba kirusi cha corona ni shabaha inayotembea. Ili kuielewa dhana hii nitatumia mfano rahisi. Tufananishe kirusi cha corona kama nyoka mkubwa sana na mkali. Huyo nyoka ulimwona mahali fulani mwaka 2019, na...
  11. J

    NIMR: Tunafanyia utafiti dawa 7 za Kitanzania kama zinatibu Covid 19, chanjo za Magharibi bado hazijathibitika kukinga

    Mkurugenzi mtendaji wa NIMR Prof Yunus Mgaya amesema taasisi yake inafanyia utafiti dawa 7 za Kitanzania zikiwemo 4 za kufukiza kama zinatibu Covid 19. Utafiti wa dawa hizo za asili ambazo zimetumika toka enzi za mababu zetu zinafanyiwa utafiti na wanasayansi wetu kupitia baadhi ya hospitali...
  12. Ijue sayansi ya chanjo hizi na chimbuko la wasiwasi wake. Hata Ulaya ni 5% tu ndiyo wamechanja katika miezi 3. Je, wanatusubiri sisi?

    Nitajaribu kuieleza sayansi hii kwa njia na lugha nyepesi ili jamii ipate mwanga suala hili ambalo kisayansi ni complex. Lengo ni kuelimishana ili kupunguza mihemuko na mivurugano tunayoishuhudia kwa sasa hasa kwa baadhi ya wanasiasa na viongozi mbali mbali wa kijamii na wenye taaluma ya habari...
  13. B

    Nashauri chanjo ianze na wanasiasa kwa sababu zifuatazo

    Kwanza, Chanjo itakapoingia nchini lazima ikatiwe utepe au izinduliwe. Kazi ya uzinduzi siku zote ufanywa na mwanasiasa si mtu mwingine, na utepe wa chanjo nikuchanjwa. Pili, Wanasiasa wapo wengi na wengine wengi wamekosa nafasi hivyo endapo chanjo itakuwa na madhara nchi haitaathirika tofauti...
  14. Je, chanjo ya COVID-19 hairuhusiwi kuingizwa hapa nchini na hospitali binafsi au famasia?

    Naomba kujua kama hospitali au pharmacy binafsi inaweza ikaruhusiwa kuingiza chanjo ya corona au Covid19 au ni swala lisilo hitaji kibali. Je, kuna uhitaji wa kibali maalum ili kuingiza chanjo hiyo hapa nchini, maana ni dawa kama dawa zingine au chanjo kama chanjo zingine. Ni sheria ipi...
  15. San Diego, Marekani: Sokwe kupewa chanjo dhidi ya COVID-19

    Tuendelee juwa na subra, kwenye bustani ya wanyama ya sandiego huko San Diego, nyani na sokwe ndiyo wanyama wa kwanza kupatiwa chanjo tofauti na binadamu kwa kupokea chanjo ya COVID-19. Habari hii inakuja baada ya masokwe wanane katika bustani hiyo ya wanyama waliopimwa na kujaribiwa kukutwa...
  16. S

    Corona haina kinga kwa maana ya Chanjo - Jikinge kwa hali na mali chukua tahadhari

    Ndugu wananchi wenzangu napenda kuwaambia tu na huko mitandaoni kumejaa habari na jipya,jamaa amepata chanjo za dozi mbili kasafiri amerudi kupimwa ameoneka positive almanusura azimie. Hizi chanjo zipo kwenye majaribio na safari hii zinapelekwa direct kwa binadamu, ndio ikasemwa haata...
  17. Chanjo au majaribio ya dawa ya COVID-19 (Clinical Trial )

    PFizer ni kampuni kubwa na maarufu ya tafiti ya madawa nchini Marekani na maarufu pia kufanya majaribio ya Dawa zake barani Afrika. Katika kutafuta Chanjo ya Korona 2020 wameshirikiana na Kampuni ya Ujerumani BioNTech (Pengine katika Kujikosha) huku wakidai Chanjo yao ina ufanisi wa 95% Na...
  18. Mafanikio ya chanjo za corona yaweza kurudi sifuri

    Imeelezwa kuwa mafanikio yaliyopatikana ya hivi karibuni dhidi ya corona covid 19 iliyoitesa dunia kwa zaidi ya mwaka yanweza yote kupotea. Sababu ya kwanza ni kutokana na watu wengi kulegeza tahadhari dhini ya ugonjwa huo na sababu ya pili ni kutokana na kuwa kile kirusi cha awali...
  19. Malawi waanza kupokea chanjo za Corona

    Nchi ya Malawi nayo leo imepokea Shehena ya Chanjo kwa ajili ya raia wake ili kujikinga na Ugonjwa hatari wa Corona . Natoa wito kwa serikali ya Malawi kuwahurumia watanzania wa mpakani ili nao wapewe fursa ya kuchanjwa wakitaka , hasa wale wa vijiji vya Njisi , Kasumulu , Isaki , Kabanga na...
  20. E

    Nchi karibu zote duniani sasa zinapigana kumbo kuagiza chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona

    Naam sasa nchi zimeamuka, nchi mbali mbali duniani zinapeleka oda zao kupata chanjo ya CORONA. teyari jirani zetu Kenya chanjo hiyo imetua nchini mwao kwa GULF air majuzi. Nchi zingine zimeenda mbali zaidi hazitoruhusu wageni kuingia nchini mwao pasi na kupata chanjo hiyo ya Corona Pia shirika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…