Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Kwanza, Chanjo itakapoingia nchini lazima ikatiwe utepe au izinduliwe. Kazi ya uzinduzi siku zote ufanywa na mwanasiasa si mtu mwingine, na utepe wa chanjo nikuchanjwa.
Pili, Wanasiasa wapo wengi na wengine wengi wamekosa nafasi hivyo endapo chanjo itakuwa na madhara nchi haitaathirika tofauti nakuchanja wataalam wakiwemo Wataalamu wa afya.
Tatu, Wanasiasa wanawafuasi na kwa nchi za Afrika wanasiasa wamejipa uungu hivyo kila mtu anamwogopa mwanasiasa kwa nguvu ya madaraka aliyonayo. Hivyo akichanjwa watu watajitokeza kwa wingi.
Nne, wanasiasa wanaakili zao tofauti, wengi wao kuchanjwa ni agenda ya Kwanza kuepuka ushirikina hivyo tuanze nao maana Wana uzoefu.
Wataalamu watakuwa wa mwisho maana wakidhurika taifa litadhurika.
Pili, Wanasiasa wapo wengi na wengine wengi wamekosa nafasi hivyo endapo chanjo itakuwa na madhara nchi haitaathirika tofauti nakuchanja wataalam wakiwemo Wataalamu wa afya.
Tatu, Wanasiasa wanawafuasi na kwa nchi za Afrika wanasiasa wamejipa uungu hivyo kila mtu anamwogopa mwanasiasa kwa nguvu ya madaraka aliyonayo. Hivyo akichanjwa watu watajitokeza kwa wingi.
Nne, wanasiasa wanaakili zao tofauti, wengi wao kuchanjwa ni agenda ya Kwanza kuepuka ushirikina hivyo tuanze nao maana Wana uzoefu.
Wataalamu watakuwa wa mwisho maana wakidhurika taifa litadhurika.