chakula

  1. Bar na migahawa tuwekeeni mabomba na masinki ya kunawa mikono kwa ajili ya chakula

    Mimi sio muumini wa kunawaishwa mikono na maji ya vikombe au majagi kwenye vibobo vilivyozoeleka sana sehemu nyingi hapa bongo, huwa napendelea zaidi kwenda kunawa mikono bombani kabisa na maji ya kijipimia mwenyewe, sasa inakera unafika Bar kubwa kabisa au mgahwa wa hadi halafu hakuna bomba za...
  2. C

    Wakuu sehemu nzuri Dar ya kuchill, kuangalìa mpira na chakula

    wakuu niko dar ni mgeni wa jiji naombeni mnambie sehemu nzuri kuchill kula na kuangalia mpira asanteni
  3. Unatumia mbinu gani kukwepa kula chakula ugenini pale unapokaribishwa?

    Wadau , tupeane mbinu za kukwepa kula chakula ugenini pale unapokaribishwa Pasipo kuzusha sintofahamu kwa wenyeji wako hadi wajisikie vibaya.. Na sababu za kutokula ugenini kunaweza changiwa na mambo mengi ; mazingira ya uandaaji chakula, kupikiwa chakula usichoendana nacho kiimani mfano pork...
  4. Tafadhali usile chakula kabla ya kumshukuru Mungu na kukiombea

    Kama ulikuwa hujui, kila kipande cha chakula tunachoweka mdomoni ni zawadi kutoka kwa Mungu. Maandiko yanatufundisha kwamba kila kitu kizuri hutoka kwa Baba wa nuru (Yakobo 1:17). Hizi hapa faida za kushukuru na kuombea chakula: 1. Ni njia ya kumheshimu Mungu Mtoaji – Unaposhukuru, unatambua...
  5. Mvulana mdogo, akiwa amebebeshwa gunia la unga na akiwa na kisu, anatembea mitaani si kutafuta chakula, bali kutetea

    Wanaukumbi. Mvulana mdogo, akiwa amebebeshwa gunia la unga na akiwa na kisu, anatembea mitaani si kutafuta chakula, bali kutetea. Huu ndio ukweli wa kikatili wa njaa iliyotengenezwa kwa Israeli. https://x.com/zohranmamdani/status/1954508053077713175?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
  6. Wakazi wa Gaza wawashukuru baadhi ya Watanzania waliowapatia misaada muhimu

    Wanaukumbi. Baadhi ya Watanzania wenye huruma ni utu wamakusanya misaada na kuipeleka GAZA, kama vile Chakula na mahitaji mengine muhimu kwa watoto. Tunawashukuru Watanzania waliojitolea kidogo walichokuwa nacho.
  7. German wagundua Hamas wanatengeneza video za kugombea chakula kwa sururia na mabakuri

    Shirika la Ujerumani lililotaka kuchunguza ili liiwekee vikwazo Israel kwa Kusababisha Njaa na Mateso kwa Wa gaza limegundua kuwa ni maigizo yanayoandaliwa a Hamas kuhadaa Dunia kampeni ambayo imefanikiwa kwa maigizo kama hayo kwa zaidi ya miaka miwili hadi mashirika yakaamua kuchunguza hiyo...
  8. B

    KERO Chakula kinachotolewa Shule ya msingi Olimpio, Upanga ni kibovu

    Chakula ni kichafu shule ya Olimpio watoto wanalalamika kuumwa matumbo, taarifa ni kwamba chakula kina wadudu.
  9. Netanyahu alisema Gaza hamna njaa leo analalimika Mateka wa Israel wanayimwa chakula

    Wanaukumbi. Abu Obaida: •Al-Qassam Brigades are ready to cooperate positively and respond to any request by the Red Cross to deliver food and medicine to enemy prisoners. •We condition this on the opening of humanitarian corridors in a regular and permanent manner to allow the passage of food...
  10. Waziri kombo awahamasisha vijana wa Tanzania kuchochea mabadiliko ya mifumo ya chakula duniani

    WAZIRI KOMBO AWAHAMASISHA VIJANA WA TANZANIA KUCHOCHEA MABADILIKO YA MIFUMO YA CHAKULA DUNIANI Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na vijana viongozi kutoka Tanzania wanaoshiriki katika mageuzi ya mifumo ya chakula kupitia...
  11. Tanzania yaunga mkono uhuru wa chakula katika mkutano wa unfss+4 jijini Addis Ababa

    TANZANIA YAUNGA MKONO UHURU WA CHAKULA KATIKA MKUTANO WA UNFSS+4 JIJINI ADDIS ABABA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa ngazi ya Mawaziri uliofanyika tarehe 29 Julai 2025, jijini Addis...
  12. Ni mimi tu huwa sipendezwi na chakula cha mgahawa na Hotelini?

    Wakuu sijawahi kula nikasema hiki chakula kitamu na kinazidi na chakula cha nyumbani. Niseme ukweli chakula cha nyumbani kwetu hata kama kimepikwa na mama yangu mwenye umri wa miaka 74 bado huwa nakiona kitamu na kila ladha asili kuliko chakula chochote cha hotelini. Nimeenda kwenye hoteli...
  13. Watu na heshima zao wadhalilishwa kwa chakula kiasi hiki ambacho kipo karibu yao

    Hii ni aibu kwa dunia na unyama uliopitiliza mipaka.
  14. Waziri Kombo ataka mikakati endelevu ya kisekta kuimarisha mifumo ya chakula kimataifa

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amesisitiza umuhimu wa kuchukua hatua madhubuti na za pamoja katika kuimarisha mifumo ya chakula ili kuhakikisha ushiriki endelevu wa Tanzania katika ajenda za maendeleo ya kimataifa. Waziri...
  15. N

    Wanandoa wazoefu, Niendelee kurudi nyumbani kula chakula cha mchana au nianze kununua chakula ?

    Nyumbani ni mwendo wa dakika 20, kwahiyo kwenda na kurudi nikijumuisha na kupumzika ni kama saa 1 na nusu. Nikifika wife ananipakulia na kuniandalia meza nile, ni mke wa nyumbani. Kazini kuna restaurant wanayokwenda wenzangu wengi inayouza chakula, gharama sio tatizo Siku pekee ambazo sina...
  16. Ushauri: Ni kiasi gani cha chakula kitawatosha hawa kwa mwezi?

    Kuna watu wanne Mtu wa kwanza Mtu mzima miaka 28 Mtu wa pili miaka 11. Mtu wa Tatu miaka 6 Mtu wa Nne miaka 4 Kwa hawa watu, ni kiasi gani cha chakula (Mchele na unga) utawatosha kwa mwezi mzima, naomba wenye kujua makadilio wanisaidie katika hili? Maana naitaji kujua unga utakua kiasi...
  17. Mwakani nitaanza kuishi na wadogo zangu naomba bajeti ya chakula

    Naitwa Diana ni msichana ambaye Kwa Sasa Naishi mwenyewe ,lakini mwakani nitaanza kuishi na wadogo zangu watatu JUMLA tutakuwa wanne,nimejaribu kuandaa budget ya chakula, hii itakua kama stock na nitatengeneza kabati special kwaajili ya stock iyo tu, nitanunua vitu kiujumla kama nilivyo...
  18. RECORD: Umasikini wa chakula umepungua kutoka 21.6% hadi 8.0%hii inamaanisha kwenye kila watanzania 100 ni 8 tu ndio wanashida ya mlokamili

    Umasikini wa chakula umepungua kutoka 21.6% hadi 8.0%hii inamaanisha kwenye kila watanzania 100 ni 8 tu ndio wanashida ya mlokamili tunaposema CCM na Rais Samia wanachapa kazi muwe mnatuelewa,Benki ya Dunia sio CCM. Hata kama mnapiga kelele ila mfahamu umasikini wa msosi Tanzania kwa mujibu wa...
  19. U

    Pichani Chakula bora kabisa cha askari wa Kiyahudi

    Shalom
  20. Nitashangaa sana kuona vijana wanazani kuwa mabadiliko ya katiba ndiyo yatamletea Chakula Mezani

    Hakuna kitu rahisi katika ulimwengu haya mabadiliko tunayotaka ni namna nzuri ya ukoloni kudhibiti akili za wafuasi dhidi Nguvu kubwa inayotawala,siwezi kukataa kuwa maendeleo kwa namna fulani yanahitaji uwazi na uwajibukaji(sheria) ila sheria siku zote ipo upande wa Msimamiaji. Inshu ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…