Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.
Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.
Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.
Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
Hii sasa kali
Diwani wa Chadema wilayani Bunda aliyeamua kuachana na chama hicho amesema Chadema ni kama basi linalowaka moto na abiria wameamua kujisalimisha kwa kutokea madirishani.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CHADEMA na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CHADEMA wamehama na kwenda NCCR Mageuzi
Chanzo TBC ARIDHIO
Kuna wakati Zitto akiwa Chadema aliwaeleza madhara ya kuweka kanuni inayomfanya mwenyekiti wa Chadema kuwa KUB iwapo ni mbunge na chama kimepata ridhaa ya kuunda kambi rasmi ya upinzani.
Madhara yake ndio haya tunayoyashuhudia sasa. Binafsi sikumbuki kama kuna kikao halali iwe halmashauri kuu...
LWAKATALE, SILINDE NA WENZAO WAMEONEWA SANA NA KUDHALILISHWA SANA
Sitaki kujadili juu ya uhalalia ua kutokuwa halali kwenda au kutokwenda Bungeni hili lingeitimishwa na sheria na Miongozo ya CHADEMA kama ingefuatwa wakati wa kuhitimisha jambo lenyewe. Mimi nitajikita kwenye sheria na kanuni...
Binafsi nilitegemea Katibu mkuu wa CHADEMA mh Mnyika kabla ya kutujuza timua timua ya wabunge chamani angetupa taarifa ya kile kilichomtokea meya wa Ubungo mh Jacob.
Kutolipa uzito suala la meya kutimuliwa kazini tena kwa kisingizio cha kufutwa uanachana kunaacha maswali mengi kuliko majibu...
Niliona jamaa mmoja akimwambia mkuu wa nchi dikteta uchwara wakati huo huo wao hawapendi kukejeliwa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
Mbowe majuzi kati alitoa hotuba inayoitukana serikali maana alitaja neno ujinga zaidi ya Mara tano
Lakini pia hauwezi kumfunga speedgavana mtu mzima lazima...
NI MH TUNDU LISU AU CHADEMA WALIO KANYAGA SHERIA?
Na Elius Ndabila
0768239284
Leo John Munyika Katibu wa CHADEMA amewatangazia watanzania kuwa CHADEMA imewafutia Wabunge wanne uanachama. Wabunge hao ni Mh Silinde, Mh Selasini, Mh Komu na Mh Lwakatale huku Wabunge kadhaa wakiambiwa...
CHADEMA imeazimia kuyapuuzia maagizo ya Spika Job Ndugai, aliyewataka Wabunge wote wa chama hicho wasiohudhuria vikao vya Bunge kwa sasa kurudisha posho walizolipwa, ambapo kwa umoja wao wanadaiwa zaidi ya Tsh. Milioni 110
Chama hicho kimesema madai ya Spika kuwa Wabunge wake waliopewa fedha za...
Kikao cha kamati kuu ya Chadema kilichoongozwa na mwenyekiti wake mh Mbowe kwa njia ya mtandao kimefanya maamuzi magumu mno.
Taarifa ya maamuzi hayo inategemewa kutolewa leo na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh. John J. Mnyika.
—————
UPDATES
—————
Akitolea maamuzi hayo, Katibu Mkuu wa CHADEMA...
Kamati kuu ya CHADEMA leo May 10 2020, ikiwa ni siku ya pili mfululizo imeendelea na vikao vyake vya kidigitali ikiongonzwa na Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, ambapo inapokea taarifa na kujadili kwa kina agenda mbalimbali ikiwemo hali ya janga la corona na hali ya Siasa nchini.
"Kufanyika kwa...
Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.
Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na...
Nimeambiwa kuwa Wasafi FM Leo asubuhi wamenichafua saana na kusema kuwa mke wangu ni Mbunge kwa sababu tu nilimtaka Spika wa Bunge aache Propaganda.
Ndugu Maulid Kitenge aniombe radhi Ndani ya 24 hours as Sina mke Mbunge na sijawahi kuwa naye.
Asipofanya hivyo nitajiongeza! John Mrema
Mbunge wa zamani wa Ndanda, Cecil Mwambe amesema ameitwa jijini Dodoma na mh Spika Ndugai naye ameitikia wito. Mwambe amesema ataukaribisha kwa moyo mweupe ushauri au uamuzi utakaotolewa na Spika wa bunge.
Amesema sasa anarejea rasmi bungeni kumalizia muda wake wa ubunge kwa kipindi kilichobaki...
Wiki iliyopita Mwenyekiti wa Chadema, Mheshimiwa Freeman Mbowe, alilitangazia Taifa kuwa wabunge wa Chadema, hawataendelea tena na vikao vya Bunge na wameamua kujiweka karantini kwa siku 14, ili kuangalia afya zao kama wameambukizwa ugonjwa huu wa COVID 19 au laa
Ni uamuzi wa busara kabisa...
Jana mnamo majira ya saa 6 mchana, tulimsikia RC Makonda, akitoa amri kwa wabunge wa Chadema, ambao waliamua kutoendelea na vikao ya Bunge, kwa kile walichokiita kujiweka karantini kutokana na hofu ya ugonjwa wa COViD 19
Akawapa saa 24 wawe wamerejea kuendelea na vikao hivyo vya Bunge na kama...
Ni Sasa CHADEMA wameshafanya makosa makubwa ambayo yatawapa taabu sana huko mbeleni historia haitawaacha Salama.
Dunia Sasa iko kwenye vita kubwa ya covid19, hili ni tukio kubwa kihistoria vizazi na vizazi watajifunza hili Janga Kama ambavyo leo historia inazungumzia WW-I na WW-II au kuhusu...
Kuna anayefikiri kama mimi?
1. Walipoondoka bungeni spika alifurahi na kusema hata wasipokuwepo ccm wanatosha kupitisha mambo yao na cdm hawana madhara yoyote na hawajavunja sheria wala kanuni yoyote.
2. Akaja Rais Magufuli akaonyesha kuumia sana kwa wao kuondoka akatoa amri wasilipwe posho...
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujiandaa kulipa gharama za kesi iliyofunguliwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu.
Amesema amepewa nakala ya hukumu kutoka Mahakama Kuu iliyotupilia mbali rufaa yake namba 42 ya mwaka 2019...
Nimeona niandike juu ya CHADEMA na si kwa Upinzani kwa jumla kwa sababu ndio waliolengwa wafe.
Sijui kama ACT-Wazalendo nao wanatakiwa wafe, au wao watavumiliwa wawepo pamoja na usumbufu wanaowapa watawala.
CHADEMA sio kwamba wapo tu na wana - 'savaivu' bali wanatambuliwa kuwa ni tishio kubwa...
Najiuliza hili suali sababu projections za wataalamu was siasa wanaona kama Chadema imeshakufa. Na kwenye uchaguzi ujao huenda isipate hata 5% ya kura zote za uchaguzi ili wapate ruzuku hata kidogo.
Maana kila siku wanazidi kuumbuka na kukosa imani kwa wananchi. Hasa hii drama ya kutudanganya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.