Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Uchaguzi wa mwaka huu umekosa mvuto tofauti na uchaguzi wa mwaka 2015 ukipita mitaani na vijiwe vya kahawa hapa Dar unaweza kuzani hakuna uchaguzi watu wengi wanapiga stori za Simba na Yanga tu.
Vijana wapo wengi kuliko wazee na wamama wa nyumbani vijana hawa ndio mitaji yenu CHADEMA vijana wanaipenda CHADEMA wanahitaji ukombozi lakini nimeona kuna kila dalili uchaguzi huu vijana wengi kutopiga kura.
Nimekuwa nafatilia mikutano ya mgombea wa CHADEMA nashauri viongozi wa chadema na mgombea mwenyewe wa urais Lissu kipindi watarudi kuendelea na kampeni wahamasishe vijana wajitokeze kwa wingi kupigia kura rais, wabunge na madiwani.
Pia watumie media na mitandao ilikuwafikia watu wengi siku ya mwisho watu wajitokeze kuwapigia kura.
Ni jambo jema tukapata wabunge wengi wa mpinzani ambao wataenda kusemea matatizo ya wananchi na sio kupata wabunge watakaoenda kuunga mkono juhudi.
Vijana wapo wengi kuliko wazee na wamama wa nyumbani vijana hawa ndio mitaji yenu CHADEMA vijana wanaipenda CHADEMA wanahitaji ukombozi lakini nimeona kuna kila dalili uchaguzi huu vijana wengi kutopiga kura.
Nimekuwa nafatilia mikutano ya mgombea wa CHADEMA nashauri viongozi wa chadema na mgombea mwenyewe wa urais Lissu kipindi watarudi kuendelea na kampeni wahamasishe vijana wajitokeze kwa wingi kupigia kura rais, wabunge na madiwani.
Pia watumie media na mitandao ilikuwafikia watu wengi siku ya mwisho watu wajitokeze kuwapigia kura.
Ni jambo jema tukapata wabunge wengi wa mpinzani ambao wataenda kusemea matatizo ya wananchi na sio kupata wabunge watakaoenda kuunga mkono juhudi.