Inasemwa kuwa hii picha ni ya leo huko nchini Ubelgiji.
Bwana Tundu Lissu alikuwa akiagana na Watanzania waishio huko. In
Kisiasa Tanzania, watu kama akina Lissu, CHADEMA, na wafuasi wao wengine ndo wanaonekana, au labda niseme wanapenda kuonekana wako ‘woke’.
Kama hujui maana ya ‘woke’...