sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,662
Toka asubuhi nimeona taarifa za hamasa za kumpokea Tundu Lissu. Ni katika kuhamasisha mipango ya ndani ya CHADEMA kumtengenezea ukubwa Tundu Lissu, lakini nasikitika kusema CHADEMA wamefeli kwanzia planning, na execution ya Jambo la Lissu.
Nitaelezea siku nyingine hapo kwenye planning ila kwa haraka haraka, tayari walishajua kuna msiba wa kiongozi (former President) Mh Mkapa ni tukio zito katika level ya Taifa.
Alikuwa na nyadhifa mbalimbali, Rais, Mwenyekiti wa CCM na pia Amekuwa Amiri Jeshi mkuu. Attention ya taifa ni huko, Lissu anakuja kama mtu ambae anajinadi anataka kuongoza nchi, ile ni nafasi kubwa inabidi ajiweke (act as the one), kama mtu ambae atakuwa baba, mfariji na kiongozi wa wote.
Angekuja bila hyping au mbwembwe aelekee uwanja wa uhuru au nyumbani kwa Hayati Mkapa, ila kwa sababu CHADEMA hawana mipango na wao sio wanasiasa ni wanaharakati wanatafuta mob attention. Hakuna nchi inayoweza kuruhusu hilo. Msiba wa Rais (former), unatambulika kikatiba.
Ninachojua CHADEMA hawashauriki na wanapenda kushupaza shingo ila warudi wajiangalie upya.
Nitaelezea siku nyingine hapo kwenye planning ila kwa haraka haraka, tayari walishajua kuna msiba wa kiongozi (former President) Mh Mkapa ni tukio zito katika level ya Taifa.
Alikuwa na nyadhifa mbalimbali, Rais, Mwenyekiti wa CCM na pia Amekuwa Amiri Jeshi mkuu. Attention ya taifa ni huko, Lissu anakuja kama mtu ambae anajinadi anataka kuongoza nchi, ile ni nafasi kubwa inabidi ajiweke (act as the one), kama mtu ambae atakuwa baba, mfariji na kiongozi wa wote.
Angekuja bila hyping au mbwembwe aelekee uwanja wa uhuru au nyumbani kwa Hayati Mkapa, ila kwa sababu CHADEMA hawana mipango na wao sio wanasiasa ni wanaharakati wanatafuta mob attention. Hakuna nchi inayoweza kuruhusu hilo. Msiba wa Rais (former), unatambulika kikatiba.
Ninachojua CHADEMA hawashauriki na wanapenda kushupaza shingo ila warudi wajiangalie upya.