Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Tundu Lissu ni jeuri na ana kiburi cha kuzaliwa, na hicho kiburi ndicho kitakachoiangamiza CHADEMA kwani hawawezi kumzuia wala kumfunga gavana anafanya anachotaka, ni kama mtoto anayedekezwa na kupewa kila kitu anachotaka na wazazi wanaogopa hata kumfokea kwani anatishia kujiua kama wakililazimisha kufanya wanachotaka.
Nina Uhakika Viongozi wa CHADEMA wanalijua hili na wana wakati mgumu sana na Tundu Lisu, upande mmoja wanataka kumzuia kwa manufaa ya Chama upande mwingine wanaogopa tantrum atakayotoa kama asipopata anachotaka, mfano hili ya msiba wa Kitaifa Tundu Lissu analazimisha kujichanganya CHADEMA wanajua kabisa siyo sawa hata Mbowe analijua hilo lakini anaogopa kumuuzi golden child, sasa huo uoga unakwenda kuwamaliza kwani hakuna atakayewaelewa.
Nina Uhakika Viongozi wa CHADEMA wanalijua hili na wana wakati mgumu sana na Tundu Lisu, upande mmoja wanataka kumzuia kwa manufaa ya Chama upande mwingine wanaogopa tantrum atakayotoa kama asipopata anachotaka, mfano hili ya msiba wa Kitaifa Tundu Lissu analazimisha kujichanganya CHADEMA wanajua kabisa siyo sawa hata Mbowe analijua hilo lakini anaogopa kumuuzi golden child, sasa huo uoga unakwenda kuwamaliza kwani hakuna atakayewaelewa.