Hello JF,
Nimeshangaa sioni website ya Chadema, ipo ama sio? Yaani kitu simple kama hiki kuonyesha duniani who you are and what you do mmekidharau?
Anyway, leo naomba tusaidiane mawazo ya kukipa chama nguvu kupambana 2025;
Mimi nadhani:
Kuwe na succession plan nzuri, hatuwezi kuona same...