Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.
Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.
Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.
Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
Suala la kukamata watu wa CHADEMA wasio tishio kivyovyote ni la kisiasa kwanini wameshusha na bendera inahusika vipi kuvunja sheria za nchi ?
Nimesikia hizi takataka zinasema heti wamekamatwa kwa kukusanyika kwahiyo kukusanyika ni kosa tangu lini na vipi mshushe na bendera ya chama ilikuwa...
Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ambaye ni kipenzi cha wanachama anatarajia kujitosa katika mbio za kuania uwenyekiti wa CHADEMA.
Uchaguzi huo unaitishwa baada ya Mwenyekiti wa sasa Tundu Lissu Kusota korokoroni kwa muda mrefu hivyo kuathiri shughuli za chama kwa muda...
Wanachama wa Chama cha CHADEMA mkoa wa Rukwa Wilaya ya Nkasi hii leo Januari 21, 2026 walijitokeza kupanda miche 1,600 ya miti mbali mbali katika wilaya hiyo katika kumbukizi ya miaka 33 ya kuanzishwa chama hicho.
Akizungumza na Wanahabari Mbunge mstaafu wa Nkasi Kaskazini na Mwenyekiti wa...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia Makamu Mwenyekiti wake Taifa, Mheshimiwa John Heche, kimezungumza na waandishi wa habari pamoja na wanachama wa chama hicho, na kueleza masikitiko makubwa kufuatia kifo cha Hayati Edwin Mtei, Mwasisi wa CHADEMA.
Akizungumza katika mkutano...
Ni kuwa Watanzania wana imani na CHADEMA ya sasa hivi kuliko kipindi Cha Mbowe.
Fikikiria huu uonevu unaofanyika kwa kufungwa jela mwenyekiti wao. Kufungiwa ofisi. Na kukamatwa na polisi kama wana kamata kuku wakati wafuasi wa Chadema sio waharifu.
Leo Tanzania nzima watu wanasheherekea miaka...
Hapa ndipo siasa za kishamba za CCM zilipofikia.
Uchunguzi wetu umebaini kwamba njama hizo za kishetani zimepangwa kwa kutumia zuio batili la akina Said Issa na mamluki wenzake wakishirikiana na Jaji duni wa Mahakama ya TANZANIA la kuzuia Chadema kufanya shughuli za kisiasa.
Swali letu ni...
Ni katika Yale maadhimisho ya miaka 33 ya Chadema, ambapo ofisi mpya ya chama hicho iliyojengwa Inyala ilikuwa inazinduliwa.
Unaambiwa Poliisi baada ya kuona mtiti wa Chadema wakavamia na kupora Bendera, Bado haijafahamika kama wanaenda kuitundika kwao polisi Au wanawapelekea CCM
Katika...
BARUA YA WAZI KATIKA SIKU YA KUZALIWA YA CHADEMA.
Kwa Viongozi, Wanachama, Wafuasi wa CHADEMA,
na Watanzania wote wanaojali demokrasia,
Leo, tunapoadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ninatumia fursa hii kutoa pongezi za dhati kwa chama kwa...
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka mkoani Tanga, Kazungu Bakari Kazungu, amewatolea uvivu vijana wanaojiita wanaharakati, Joseph Yona na Ahmed Kombo, kufuatia tuhuma zao nzito dhidi ya viongozi wa CHADEMA, akisema kuwa kauli zao hazikidhalilishi tu chama tawala bali pia zinaumiza familia...
Chadema imenajisiwa na akina Lissu, Heche na Mnyika. Chama cha waluteri kimeibiwa na wakatoliki na kikaratibu kuichoma nchi kama short cut ya kuipundua serikali; lakini wakashindwa vibaya sana. Butiku na Warioba wamejichimbia humohumo kupitisha ajenda zao. Chadema ya sasa ni kama chaka lenye...
Wakuu,
Heche kupitia mtandaoni ametangaza kifo cha mwasisi wa chama chao CHADEMA, Mzee Edwin Mtei baada ya familia kuthibitisha huku mipango ya mazishi ikiendelea nyumbani kwake Tengeru, Arusha.
=====
Baadhi ya mambo muhimu kuhusu Ediwin Mtei ambayo pengine ulikuwa hufahamu
Elimu,"Shahada...
Hili ni swali muhimu kwa wananchi hivi sasa.
Chadema ya sasa chini ya uwenyekiti wa LISSU imejikuta ikihangaika na vurugu na uhaini na usaliti tu kwa Tanzania.
Je mbowe anapasha misuli kurejea na kuirejesha Chadema iliyotekwa na Mange kwenye ulingo wa siasa?
Kimya kingi kina mshindo mkuu, Waswahili wanasema. Hivyo ndivyo mikakati inavyopangwa kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kurejeshwa kwenye chama hicho kwa mlango wa nyuma kwa ajenda ya maridhiano.
Hii inakuja kufuatia juhudi zakumshawishi Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho, Tundu...
Senegal wamegomea kubebwa kwa Moroco wakaamua kutoa team uwanjani.
Iwapo wangekubali kuendelea ndio ilikuwa imetoka hiyo. Chadema msimamo uwe huo huo hakuna kushiriki chaguzi za kuhuni hadi haki ifuatwe.
Kuna minog'ono inatolewa na WanaCCM wanaoionea wizvu CHADEMA ya Lissu na Heche kuwa inakwenda kufa kisa tu wana misimamo thabiti.
Kwa sababu hawataki kuwa kama Mbowe na kuwa wananunulika na CCM kuwasaliti Watanganyika.
Kijana Deogratius James Ottaru (37), mkazi wa Kijiji cha Kirima Kati, Kata ya Kibosho Kirima, wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amekutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake aliyokuwa akiishi peke yake.
Taarifa zinaeleza Drogratius (marehemu) alifariki takribani siku mbili kabla ya...
Ni kwasababu ya jinsi anavyo onekana?
Ni kwasababau ya matamko nonsense na uropokaji useless?
Au ni kwasababu za hali yake ya kiuchumi?
Wafuasi wa Chadema masalia wanamchukuliaje huyu muungwana ambae ni adict wa kubeti?
Mungu Ibariki Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.