Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,791
- 50,339
Kitendo cha Azam FC kusema kuna upendeleo kwenye ligi ya Tanganyika hivyo wanaona ni bora kuhamisha timu yao na kuipeleka Zanzibar ama kwingineko, ni kama kuitikia wito wa CHADEMA kuhusu haki kwenye changuzi za Tanzania.
Sababu zilizotolewa na Azam FC kuhusu upendeleo kwenye ligi ya Tanganyika, zinalandana sawia na sababu kama hizo ambazo huwa zinatolewa na CHADEMA kuhusu chaguzi za Tanzania.
Nadhani Azam FC itakuwa rahisi kwao kuelewa ni nini CHADEMA hukipigania kwenye haki za kiuchaguzi na uhuru wa kufanya siasa Tanzania.
Sababu zilizotolewa na Azam FC kuhusu upendeleo kwenye ligi ya Tanganyika, zinalandana sawia na sababu kama hizo ambazo huwa zinatolewa na CHADEMA kuhusu chaguzi za Tanzania.
Nadhani Azam FC itakuwa rahisi kwao kuelewa ni nini CHADEMA hukipigania kwenye haki za kiuchaguzi na uhuru wa kufanya siasa Tanzania.