chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. R

    PostGE2025 CHADEMA: Tunaunga mkono Gen Z na Makundi yote yanayodai haki, Tunawapa pole watanzania wote

    Akizungumza na vyombo vya habari leo desemba 11, 2025 Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA0), John Heche amesema chama hicho kinaunga mkono madai ya makundi yote ya watanzania , vijana wa Tanzania Gen Z, viongozi wa dini, wanaharakati na makundi yote ya kijamii kuwa...
  2. K

    PostGE2025 CHADEMA: Tanzania iwekewe vikwazo vya kuuziwa silaha kwani zinatumika kuwaua wananchi wanaodai utawala wa misingi ya haki na kupinga utekaji

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo na vyombo vya habari Desemba 11, 2025 amesema chama hicho kinaomba Jumuiya za kimataifa kuiweea Tanzania vikwazo vya kuuziwa silaha kwa sababu silaha hizo zinatumika kuuwa wananchi wasio na silaha...
  3. DuaZaMama

    PostGE2025 CHADEMA: Tunataka serikali ya mpito isiyoongozwa na Samia

    "Chadema na watanzania tunataka serikali ya mpito isiyoongozwa na Samia itakayowekwa chini ya uangalizi wa taasisi huru za kimataifa kwa kuwa serikali haina uhalali wowote CHADEMA inataka kuanzishwa kwa serikali ya mpito " Mh. John Heche akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 11,2025...
  4. Allen Kilewella

    CHADEMA ya Jana na CCM ya Leo katika picha!!

    Kwenye maktaba ya picha zinazohusu siasa za nchi yetu nimeipata picha hii... Naomba tuitafakari kwa pamoja. Hii picha Ina wanachama wa CHADEMA na CCM ambao wote Kwa wakati huo walikuwa ni viongozi wakuu na waandamizi Kwa vyama vyao. Kutoka kushoto mstari wa Mbele ni Stephen Wassira, William...
  5. Fbn

    Tokea Lissu kuwa mwenyekiti CHADEMA, tumejua tabia watu wengi kumbe walikuwa vilaza ndani

    Kuna huyu Yeriko Nyerere unaweza kusema vile vitabu vyake anajua sana kumbe ni mtu wa kutumia akili mnemba kuchambua kabla tujastuka. Naomba ni mzungumzie huyu jamaa kwanza. Huyu jasusi la bamia ni kama vilaza wengine kwa kumuona maongezi yake. Ukimfata mjenge hoja au jasusi utajua kwa nini...
  6. CHADEMA

    PostGE2025 CHADEMA tunalaani kukamatwa na kuteswa kwa familia na majirani wa mwenyekiti wa CHADEMA Geita Vijijini, Neema Chozaile

    KUHUSU KUKAMATWA NA KUTESWA KWA FAMILIA NA MAJIRANI WA MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA VIJIJINI, BI. NEEMA CHOZAILE Sisi, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),tunalaani vikali kitendo cha kukamatwa kiholela, kuteswa na kushikiliwa kinyume cha sheria kwa watoto, wanafamilia na majirani wa Bi...
  7. kavulata

    Nilipoona mji mweupe D9 nikasema CHADEMA imekwisha habari yake

    Ili maandamano yawe maandamano yanahitaji watu wengi sana wayaunge mkono. Nguvu ya maandamano inategemea na idadi ya wananchi wanaojitokeza kuyaunga mkono. Maandamano ya chadema ya Oktoba 29 hayakuungwa mkono na wananchi, hivyo ilikuwa rahisi kuyadhibiti. Na yale ya December 09 wananchi...
  8. Nyankurungu2020

    PostGE2025 Makada wa CHADEMA wanaharibu maandamano ya ukombozi. Wapo ukimbizini nje wanapost uongo

    Ni huyu Rose Mayemba na genge lake huko ukimbizini Kenya. Wanapost video za Oktoba 29 kiasi cha kutoa morali ya wapenda mabadikiko. Inaonekana ni upuuzi. Hawako serious.
  9. T

    Toka Oct 29,2025 CHADEMA kama haipo kabisa na imekosa kusingiziwa

    Hii nchi hasa CCM ni kama haina wanamipango madhubuti. CHadema wamewazidi kistratejia, waliamua kuwa wapole, wakawatulia mzigo wananchi na gen Z. Hili lilipaswa kuonwa mapema sana. Ufedhuri wa CCM na serikali ukaleta hii grave mistake ya kuruhusu wananchi na Gen Z, kubeba ajenda. Leo CHADEMA...
  10. Pakome

    Hii ni mara ya kwanza kwa CHADEMA kuyumba baada ya kuingia kwenye mikono ya Lissu

    Kwa historia ya CHADEMA tangu inaanza haijawahi kuyumba kwa kiwango hiki cha sasa ni kama inataka kusambaratika Hii ni mara ya kwanza kwa CHADEMA kususia uchaguzi tangu isajili Chama chake Ni mara ya kwanza kwa CHADEMA kutokusimamisha mgombea wa Uraisi Hii ni mara ya kwanza kwa CHADEMA kukosa...
  11. stakehigh

    Siku hizi hakuna anayezungumzia Kuhusu Chadema.

    Siku hizi hakuna anayeiongelea CHADEMA?
  12. DuaZaMama

    PostGE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Songwe, Isakwisa Lupembe na Meya mstaafu wa Mji wa Tunduma, Ali Mwafongo wamevamiwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Songwe, Isakwisa Lupembe na Meya mstaafu wa Mji wa Tunduma, Ali Mwafongo walivamiwa usiku wa kuamkia leo na watu waliojitambulisha kuwa ni Polisi. Walisema ya kuwa wanawapeleka Polisi. Lakini hadi asubuhi hii hawapo katika vituo vya polisi na hivyo hadi sasa hatujui...
  13. curie

    Bila CHADEMA nchi haitawaliki

    Chadema ndicho chama kilikuwa kinatuliza hali ya hewa .. Upinzani wa sasa ndo Upinzani wa GEn Z
  14. Pakome

    Sio kweli kwamba Mh Mbowe alikuwa aking'ang'ania CHADEMA kwasababu ya Maslahi

    Baadhi ya Watanzania walifuata mihemko na tabia ya kumwekea Mh Mbowe maneno ya mdomoni kwamba alikuwa aking'ang'ania CHADEMA kwasababu ya maslahi yake binafsi pasipokufahamu ukweli Mh Mbowe sio wa kawaida kama mnavyodhani hasa linapokuja swala la kipato Mh Mbowe anamiliki mawe ya kutosha...
  15. aise

    PostGE2025 Mwenyekiti msaatafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe Yuko wapi?

    Mwenyekiti msaatafu wa Chama kikuu Cha Upinzani Freeman Mbowe yuko wapi? Anakaa vipi kimya kwenye hali mbaya ya kisasa kama hii kuwahi kutokea nchini? Carlos The Jackal
  16. Keynez

    PostGE2025 Samia anasema wapiga kura wa CHADEMA walimpigia yeye

    Sikusikiliza hotuba nzima ya jana kwa hiyo kila ninapopata vipande vipya napata mshangao mpya. Katika hotuba yake ya jana, Samia aliwakosoa watu wanaoshangaa na wanaosema 98% alizopata hawezi kuwa amezipata kwa sababu mwitikio wa wapiga kura ulikuwa mdogo sana. Akasema 98% ni ya kura...
  17. Nipe Maji

    SI KWELI Hii ni taarifa ya CHADEMA kulaani maandamano ya Desemba 09

  18. R

    PostGE2025 Rais Samia: Wananchi walishatoa uamuzi wao kwa CCM 97% CHADEMA na ACT hawakuwepo

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano uliofanyika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam tarehe 2 Desemba 2025, amekosoa vyama vya upinzani vinavyodai kuwa vinazungumza...
  19. Nyankurungu2020

    Hayati Magufuli aliwashinga nguvu CHADEMA kwa wanancho sababu alidhibiti ufisadi na kusimamia rasilimali za umma

    Ikumbukwe kuwa CHADEMA walishawahi kuwabana CCM juu ya kashifa nyingi za ufisadi kiasi kwamba watu wakaichukia CCM. CCM iliyokuwa chini ya Kikwete ilichukiwa kama mavi. Magufuli alipoingia madarakani akapambana na ufisadi. Akasimamia vyema rasilimali za umma wananchi wakampenda. Akaleta...
  20. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Magereza yajibu malalamiko ya CHADEMA kuzuiliwa kumuona Lissu gerezani

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema viongozi wake wamezuiwa kumwona mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu aliyepo katika Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam. Lissu yupo mahabusu kwa kesi ya uhaini inayomkabili kwa takriban miezi minane sasa, tangu alipokamatwa Aprili 2025...
Back
Top Bottom