chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. M

    TBT: Katambi ambaye kwa sasa ni Waziri wa mambo ya ndani akiwa Chadema

    Ni huyo wa kushoto Katambi ambaye kwa sasa ni Waziri wa mambo ya ndani akiwa Chadema
  2. Mkalukungone Mwamba

    CHADEMA inalaani kwa nguvu kufungia mtandao na majukwaa ya mawasiliano ya kidijitali kabla, wakati au baada ya uchaguzi Uganda

    Kuikosoa Kufungwa kwa Mtandao na Kufichwa kwa Taarifa CHADEMA inalaani kwa nguvu jaribio lolote la kufunga, kupunguza au kuchezea upatikanaji wa mtandao na majukwaa ya mawasiliano ya kidijitali kabla, wakati au baada ya uchaguzi. Katika dunia ya kisasa, upatikanaji wa mtandao siyo kipengele...
  3. Mkalukungone Mwamba

    CHADEMA: Tunalaani unyanyasaji na vitisho vinavyomkabili mgombea urais Robert Kyagulanyi (Bobi Wine)

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chama kikuu cha upinzani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kilichoundwa kwa misingi ya demokrasia, heshima ya binadamu, utekelezaji wa katiba na utawala wa sheria, kimekutana na kutoa Kauli ya Pan-Afrika hii kabla ya chaguzi za umma zilizopangwa...
  4. Q

    CHADEMA inapitia njia ya ANC ya Afrika Kusini, kiliwahi kuzuiwa kufanya siasa lakini ndicho chama tawala kwa sasa

    Mwaka 1960, ANC ilipigwa marufuku kufanya siasa nchini Afrika Kusini, viongozi wake kama Walter Sisulu na Nelson Mandela walikamatwa wengine wakakimbia nchi, Oliver Tambo akachukua jukumu la kukiongoza chama hicho akitokea Zambia. ANC iliendelea kufanya kazi katika mazingira magumu lkn...
  5. Just Pray

    Matata: Padre Kitima siyo mshauri wa CHADEMA, Mchange ana uwezo mdogo wa kufikiri mpuuzeni

    “Father Kitima siyo mshauri wa Chadema kama anavyosema Mchange, Uwezo wa Mchange wa kufikiri ni Mdogo hivyo mpuuzeni” Adv. Matata
  6. kavulata

    Njia nyepesi kwa CHADEMA ni kuomba radhi Watanzania, nothing else

    Watanzania sio wajinga, wanajua kuwa chadema ndio waliharibu mali, maisha na utaratibu wao mzima siku ya na baada ya uchaguzi. Wananchi sio wajinga wa kushindwa kujua kwamba no reforms no election ya chadema ndio chanzo cha wapendwa wao kufa, kuumia na mali zao kuharibiwa. Watanzania wa leo...
  7. Idugunde

    CCM haina watu makini ndio maana imechukiwa. Huwezi ukapambana na CHADEMA hii kwa propaganda za kipuuzi

    Utasikia makada uchwala wanaongea hadharani kuwa TEC wanaifadhili CHADEMA tena bila hata aibu huku wakijua upuuzi wanaousema hauwezi kukubalika na mtu yoyote. Mtu mpuuzi analipwa pesa na kufanya press conference kuwa Heche na Lissu wanateka watu bila kutumia akili. Upuuzi kama huu nani...
  8. B

    Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu; Mkurugenzi wa sheria, katiba na haki za binadamu CHADEMA anatoa ufafanuzi wa kilichotokea

    10 January 2026 MAZITO YAFAFANULIWA https://m.youtube.com/watch?v=sVw34Jl61eg Advocate Gaston Shundo Garubindi anajibu masuala mbalimbali ktk interview exclusive na Jambo TV yanayogusia ikiwemo kwa uchache ktk mengi Criminal case / kesi Jinai huwa hazitakiwi kusimama session zake hata kama...
  9. K

    PostGE2025 Mwabukusi: CHADEMA ndo chama pekee kinachozungumza hoja za mwananchi wa wakawaida

    CHADEMA wamekuwa wajanja, CHADEMA ndo chama pekee kinachozungumza hoja za mwananchi wa kawaida; Haki za binadamu, utawala bora, threats, kupigwa, enforced disapperance- Amesema Wakili Mwabukusi
  10. The Palm Beach

    Dkt. Slaa: Nimemlaani Odero Odero. Ndiye msaliti wa CHADEMA anayetumiwa kujihusisha na kinachoitwa "maridhiano!"

    https://youtu.be/tDVpmZ0SUe0?si=vTrRwFzHt2jxBNwL Hatimaye mshiriki wa usaliti kwa CHADEMA kwa mlango wa nyuma kujihusisha na kinachoitwa maridhiano ajulikana. Ni Odero, mgombea uenyekiti wa CHADEMA aliyeshindwa kupata hata kura 10 ktk uchaguzi mkuu mkuu wa chama uliofamyika January 21/1/2025 na...
  11. Tlaatlaah

    Baada ya Chadema kujimaliza yenyewe kisiasa, ni chama gani cha siasa kitafuata nyayo na kujichimbia kaburi la sahau kisiasa Tanzania?

    Maana kwasasa, Kimebaki kama kituo cha mamaluki wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, kikijikita zaidi katika kuchakata porojo na uzushi ambao hauwasaidii bali kuwapoteza zaidi, na kosa kubwa zaidi ni kufanya makao makuu yao kua Nairobi chini ya yule mdada mkuu wa vibaraka aliewahi...
  12. Samia atosha tukutane2030

    Kwa matakwa ya CHADEMA, Mange na wapinzani sasa hivi nchi hii ingekuwa chini ya utawala wa Kijeshi. Asante CDF, hukuwa mroho wa madaraka

    Kuanzia Agosti mpaka October 29 2025 CHADEMA na upinzani baada ya kususia uchaguzi na kuona kuwa mbinu hiyo haitaleta tija kwao wakaja na mbinu ya kuhamasisha vurugu kali. Waliorganize vizuri tena kwa muda mwingi. Uharibifu uliofanyika tarehe 29 na tarehe 30 haukuwa bahati mbaya. Huwezi...
  13. kavulata

    PostGE2025 CHADEMA walitoa sadaka ya kujimaliza Oktoba 29, hawainuki tena

    Waliaandaa mpango ambao walikuwa na uhakika nao kuwa utaua vijana wengi wasio na hatia. Vijana walipewa pesa na ahadi lukuki kama watakubali kujitoa mhanga kuiangusha serikali. Waliwadanganya vijana kuwa jeshi litakuwa nao bega kwa bega huku wakijua kuwa wanawalaghai vijana. Vijana walikufa...
  14. Kinoamiguu

    Waziri Mkuu Nchemba, hazungumzi na watanzania, anazungumza na CHADEMA

    Kila nikimsikiliza akiwa jukwaani nakuja kufahamu kwamba Waziri Mkuu anahutubia kwa mipasho mikali sana huku akiwajibu CHADEMA, ni kama vile haelewi madai ya CHADEMA au anafanya makusudi. Kama ilivyo kawaida yake tangu huko alipotoka. Huyu ni MUHAFIDHINA. Wakati nchi imevimba kwa yaliyotokea ya...
  15. Allen Kilewella

    Inayowindwa ni CHADEMA siyo Fr Kitima

    Kuna watu wanashangazwa na harakati za baadhi ya wana CCM kutumia wanaojiita waumini wa Dhehebu la kikatoliki, kupambana na Padri. Charles Kitima. Kilichoko nyuma ya harakati hizo si vita dhidi ya Kitima bali ni vita dhidi ya CHADEMA. CCM kwa sasa ni heri wabakie na wanyonya damu kuliko...
  16. R

    Watu wàandamane kwenda ubalozi wa Saudia uone kama watapiga hatua mbili. Inteligensia itafanya kazi barabara,lakini kwa "Wakatoliki" fake imekufa

    Tuko pabaya, kama kweli serikali itawanyamazia hawa wahuni, kuna vita ya dini inapikwa! Simbachawene , IGP na Mulilo, wajibikeni kukemea hili
  17. kavulata

    CHADEMA hawakusoma alama za nyakati wakati wa kuliandaa jambo lao

    Haki za wanawake: Dunia inafanya majaribio (pilot study) kuhusu wanawake (women empowerment) kushika nafasi kubwa duniani. Dunia nzima inawaona chadema (wanaume) kama vile wanachukua advantage kwa Rais kuwa mwanamke wakidhani kuwa wanawake ni dhaifu kuliko wanaume. Walitumia watu dhaifu sana...
  18. U

    Msimamo wa CHADEMA kutoshiriki kinachoitwa "maridhiano" ni aidha unapotoshwa makusudi au ni hawa wajiitao wachambuzi uchwara kutoelewa maudhui yake

    Mfano ni huyu kwenye YouTube audio video clip hii hapa Chini ya video hiyo, kwenye comment section, mdau mmoja aka komenti hivi, nikaipenda comment yake na nikaamua kushea nanyi kwa ajili ya mjadala mpana ============================================= "Taarifa yako ni potofu, unawapotosha...
  19. Troll JF

    CHADEMA hatarini kufutwa na kusambaratika kabisa

    Ndani ya Chama Cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA hali si shwari baada ya baadhi ya wanachama kutaka kuingia kwenye Uchaguzi ili kumchagua Mwenyekiti baada ya Tundu Lissu kusota Rumande kwa mda mrefu ambapo kijana Makini John Mnyika huenda akashika wadhifa huo kwani anaungwa mkono nje ya Chama...
  20. Waufukweni

    PostGE2025 Ahmed Kombo: CHADEMA hawana haki ya kulalamikia Uchaguzi, wapunguze muwasho watulie

    Wakuu, Nimekutana na video ya huyu wakuitwa mwanaharakati huru, Ahmed Kombo, akimjibu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche. Kombo amesema kuwa Heche hana haki ya kulalamikia uchaguzi, akisisitiza kuwa mwanachama yeyote wa CHADEMA hana haki hiyo kwa sababu hawakutaka kushiriki uchaguzi...
Back
Top Bottom