Uhumbwe
Member
- Apr 22, 2024
- 44
- 68
1. Mara nyingi huwa najiuliza hivi kweli chadema wanajua wanataka nini? Mara nyingi wamekuwa wanachagua njia yenye miba sana kwa wafuasi wao ili wakijichoma wao wapige kelele
2. Kwanza lazima wakubali Nchi ina Uongozi kwahiyo kuheshimu mamlaka ni lazima sio hiyari..... maana mwisho wanaoteseka ni vifaranga wao...
3. Ukiangalia hoja za maandamano na kususia uchaguzi hazina mashiko kwa kipindi hiki ambacho kwao ni kama njia ya kufanya taifa lisiendelee je hiyo ni hoja?
4. Wanaharakati mtajibwao mkubwa ni watu wajinga na wengi wamewapata Ufipani. Lazima wabadilike kwa asilimia 200 vingine hakuna dalilo ya mwanga
2. Kwanza lazima wakubali Nchi ina Uongozi kwahiyo kuheshimu mamlaka ni lazima sio hiyari..... maana mwisho wanaoteseka ni vifaranga wao...
3. Ukiangalia hoja za maandamano na kususia uchaguzi hazina mashiko kwa kipindi hiki ambacho kwao ni kama njia ya kufanya taifa lisiendelee je hiyo ni hoja?
4. Wanaharakati mtajibwao mkubwa ni watu wajinga na wengi wamewapata Ufipani. Lazima wabadilike kwa asilimia 200 vingine hakuna dalilo ya mwanga