ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Uthibitisho rasmi wa CCM kuitawala nchi ya Asali na maziwa daima huu, Hapa

    Baada yakufanya tathmini isiyo rasmi...nimegundua sehemu ...ambayo CCM wamewekeza mtaji wao mkubwa ni vijijini. Hapa CCM wanachofanya sio..Miujiza ni njia kama za Akina late Mugabe , Mseven na wazee wengineo ambao wako ..radhi wafie madarakani lakin ..sio kuwapa kijiti wapinzani. Kwa upande wa...
  2. M

    Ushauri kwa vyama vya upinzani: Msirudie Makosa, atakayekatwa CCM asipewe nafasi yoyote ya kugombea upinzani

    Bila Shaka mtakuwa mmejifunza kutokana na makosa. Mwaka 2015 mliwapokea wanaccm wengi waliokatwa kwenye kinyanganyiro Cha Urais, ubunge na udiwani na wengi wao walifanikiwa kushinda kwenye uchaguzi. Cha kushangaza karibia wote Hawa wamerudi Chama cha Mapinduzi. Napenda kuvishauri vyama vya...
  3. Wassira: CHADEMA kufa ni Ngumu

    Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta. Source Gazeti Jamuhuri
  4. GE2020 Bunda Mjini kumekucha viongozi wa CCM Wilaya waanza kushikana uchawi kwa sababu ya rushwa za Mwanza huduma

    "Mmoja amlima barua mwenzake ili makao makuu waingilie kati" barua imeambatanishwa. Hali inazidi kuwa tete Wilaya ya Bunda baada ya Viongozi wa CCM wilaya kushutumiana kula rushwa za Mtia Nia Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma. Viongozi hao wamefikia hatua mbaya ya kushutumiana na kuomba...
  5. Mbunge wa Moshi Vijijini, Anthony Komu (CHADEMA) kuhamia NCCR-Mageuzi

    Mbunge wa Moshi Vijijini (CHADEMA) Anthony Komu amesema kipindi chake kitakapomalizika, ataondoka katika Chama hicho na kugombea Ubunge kwa tiketi ya NCCR- Mageuzi Mbunge huyo amesema CHADEMA imejaa tuhuma za ndani ya Chama na imepoteza mwelekeo wa kuwapigania Wananchi Amesisitiza kuwa bado...
  6. M

    Iko wapi Tanzania yangu? Ipo wapi CCM yangu; wapo wapi wazee wangu wenye dhamana ya chama na nchi yangu?

    IKO WAPI TANZANIA YANGU; IKO WAPI CCM YANGU: WAKO WAPI WAZEE WANGU WENYE DHAMANA YA CHAMA NA NCHI YANGU. Ndugu Watanzania na wanajamvi, nawaombea kila la kheri wakati huu mgumu. Mola atatupa neema zake na tutavuka hili janga tukiwa salama wa afya. Ninaleta uzi huu nikiwa na majonzi na wasiwasi...
  7. Meya wa Iringa ang’olewa madarakani

    Iringa. Wajumbe wa Baraza maalumu la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa nchini Tanzania wamemuondoa madarakani meya wa manispaa hiyo, Alex Kimbe. Kimbe ambaye anatokana na chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema ameng’olewa madarakani leo Jumamosi Machi 28, 2020 katika...
  8. J

    Kwanini Jumuiya za CCM zimekubuhu kwa unyang'au na Ufisadi? Kila ripoti ya CAG ni lazima watajwe wao

    Hizi jumuiya za CCM yaani UWT, UVCCM na Wazazi zimekuwa zikihusishwa na ufisadi unaokichafua chama mara kwa mara. Last year ilikuwa UVCCM ambapo CAG Prof Assad alifoka sana leo ten Jumuiya ya wazazi imerudia yale yale na kukemewa vikali na Kichere. Kama vipi hizi Jumuiya zivunjiliwe mbali ili...
  9. N

    Mwita Waitara afikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM mkoa wa Mara

    Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za serikali za mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mwita Waitara amefika mbele ya kamati ya Maadili ya chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mara kuitikia wito wa Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Mara Samweli Kiboye kujibu tuhuma mbalimbali zinazomkabili. Zikiwemo za...
  10. Makonda ni mpuuzi kama wapuuzi wengine tu na hatupaswi kumpuuza kwa upuuzi wake hata kama anatumwa

    Nchi hii ipo siku viongozi wa dini nyie wasaka sadaka mtakuja kujuta, hivi kweli mmeshindwa kumkemea huyu kijana kwa tabia zake za kudhalilisha utu wa watu wengine na kumuacha tu atukane? Hebu fikirieni angekuwa ni mpinzani ndio kayatamka hayo kwa mh. Magufuli si angekuwa anatafutwa na magari...
  11. S

    Nimeshitushwa sana na kauli ya CCM ikionyesha kuwa South Africa au Namibia wasingekuwa huru hadi leo, tungeanzisha uhusiano wa kibalozi na Makaburu!

    Kuna msemo kwamba mtu anaweza kutenda au kufanya kitu ambacho kitamfanya hadi mtu aliyekufa na kuzikwa kaburini ageuke. Ndivyo nilivyohisi Nyerere akifanya kufuatia kauli ya Kanali Ngemela Lubinga juu ya msimamo wa sasa wa CCM katika suala zima la uchumi wa kidiplomasia. Akihojiwa na mwandishi...
  12. W

    Maalim Seif: Lowassa amerudi CCM kwa shinikizo la familia na Chadema kutotendea vyema

    Ndugu zangu, Karma inafanya yale unayomfanyia mwenzio, taabu wanazopata Chadema huenda ni malipo ya mabaya waliyofanyia waliowainua. ======== Mwenyekiti wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad ametoa mtazamo wake kuhusu uamuzi wa aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama Cha...
  13. Hizi kauli za viongozi wa CCM hazijengi umoja na mshikamano wa wananchi

    Ccm hii ya sasa ni sawa na Chama cha National party (NP) cha makaburu wa Afrika kusini chini ya kina P W Botha, John Vorster na wengine hawa waliamini watu weusi sio binadamu na hapaswi kuwa na sauti wala kuheshimika, waliamini mawazo ya mtu mweusi yanapaswa kupuuzwa na mtu mweusi anapaswa...
  14. GE2020 Mwanza Huduma adaiwa kumwaga pesa kama Njugu Bunda Mjini akisindikizwa na Viongozi wa CCM Wilaya

    Katika hali ya kushangaza Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma Mfanyabiashara wa Jijini Mwanza ameonekana Bunda Mjini akigawa pesa hadharani. Huku akiwa na mabaunsa, wapambe na wanakwaya wakimsindikiza Mwanza Huduma amepita Vijiwe vya Kahawa na Maegesho ya Magari na kugawa kati ya shilingi...
  15. K

    CCM acheni kuwaumiza watu! Mtangulizeni Dr. Slaa katika vita ya kuiangamiza CHADEMA

    Nianze kwa kuwatoa hofu dhidi ya corona virus ila niwasihi kufwata maagizo ya wataalam wa afya Wakuu juzi nilibahatika kukutana na mmoja kati ya wakubwa wa chama cha mapinduzi mkoani Arusha katika stori mbili tatu alinambia kuwa moja ya kazi ngumu ambayo CCM na serikali inakaribia kutushinda...
  16. Kwanini viongozi wengine wa CCM hawaendi kumuona Mzee Mangula hospitali?

    Tumeona kwa macho Mh Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa ccm akimjulia hali Mzee Mangula ambaye alilazwa ICU baada ya kuanguka ghafla kwenye vikao vya ccm , na baadaye kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum Mtukufu Mambosasa akajitokeza kuitangazia dunia kwamba Mzee Mangula amelishwa sumu Hoja yangu...
  17. Pamoja na baya haya, bado watu wanasema CCM Oyee!

    CCM OYEE! 1.Ajira kwa vijana hakuna...CCM OYEE 2. Wafanyakazi hakuna kuongeza mishahara...CCM OYEE 3. Wakulima wa korosho hawalipwa ...CCM OYEE 4. Watu mtaani ni kuombana ombana pesa tu ...CCM OYEE 5. Baadhi ya watu ni miungu watu...CCM OYEE 6. Watu kubomolewa nyumba na kufa kwa presha...CCM...
  18. CCM Mwisho wake kuwepo kama chama tawala ni 2020

    Sitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi CCM haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda...
  19. S

    Ubaya na hatari ya kauli ya Polepole haiko sana katika kuwaita wpinzani Corona, bali ni iwapo Corona itakuwa janga katika nchi yetu

    Kauli ya Polepole kuwaita wapinzani Corona ni kauli ya hovyo na ambayo haikupaswa kutolewa hadharani na kiongozi wa ngazi aliyonayo hasa katika kipindi hiki ambapo duniani inapambana na ugonjwa huu. Wakati watu wengi wakiguswa na kauli ya kuwafananisha wapinzani na corona,mimi naona hatari...
  20. W

    Busara janga la Corona: Wakati CCM wakiahirisha mikutano, CHADEMA wang'ang'ania kufanya mikutano

    Ndugu zangu, Ili kupambana na janga la ugonjwa wa Corona CCM wametangaza kupitia Katibu wa Itikadi na Uenezi leo Ndg. Humphrey Polepole kuahirisha mikutano na mikusanyo yote inayoratibiwa na CCM. ''Ajizi nyumba ya njaa''; Mwenyekiti wa CHADEMA Ndg. Freeman Mbowe bado kakomaa kuhamasisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…