Asanteni Wajumbe wa Kigamboni, Kamati yangu ya 'Wasiojulikana' ya Roho Mbaya CCM Dar es Salaam na Kamati Kuu ya CCM Dodoma 'Mtu' kachinjwa rasmi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,869
Yaani GENTAMYCINE na Jopo langu la Watu wenye Roho Mbaya za Ukweli na wanaojua 'Ndumba' na 'Fitina' za kila namna 'tusiojulikana' ndani ya CCM tukuamulie Wewe 'Mpuuzi' Mmoja halafu upite kwa Kutushinda? Kama ni Kamati yangu hii hii iliweza Kufanya 'Kafara' Kubwa Segerea Siku Moja kabla ya Mechi ya Simba na Yanga na Yanga 'Kula' Goli zile Nne (4) Wewe ungetuweza wapi Sisi Mafia hasa?

Kama kuna Mtu ambaye alikuwa akininyima Usingizi na aliyefanya nihangaike katika 'Kummaliza' kwa kila namna ili tu 'asigombee' na wala 'asipitishwe' Jimbo la Kigamboni ni Wewe 'Mpuuzi' fulani. Nashukuru sana Kelele zetu Kamati ya Roho Mbaya ( isiyojulikana ) ndani ya CCM 'imemaliza' Kazi yake na 'Mpuuzi' pamoja na 'Kumsumbua' sana Mama Namba Mbili 'Kikatiba' lakini bado ametoswa

Nilikuonya na hukutaka Kunisikia pale nilipokuambia mapema tu kuwa hutabaki kuwa hivyo ulivyokuwa Milele na kwamba ipo Siku tu 'Upepo' utakugeuka na utakuwa Mtu wa Kawaida tu nchi hii na 'Kupotezwa' mazima Kisiasa na Kiumaarufu ukadhani GENTAMYCINE nilikuwa natania na sasa yamekuwa. Na ulichokisahau tu ni kwamba hata huyo 'Babaako' nae alishakuchoka Kitambo

Kuna Watu (Members) wa hapa hapa nakumbuka nilipoanza tu 'Mashambulizi' yangu nawe kuwa hutofanikiwa na wala hutopitshwa na 'Babaako' huko Dodoma iwe isiwe 'Wakanitukana' na 'Kunidhihaki' sana tu wakiongozwa na huyu YEHODAYA na wengineo kadhaa. Hatimaye Rais wa Kamati ya Roho Mbaya 'isiyojulikana' ndani ya CCM GENTAMYCINE nimekuwa Mshindi.

Ushauri wangu Kwako tu ni kwamba Wewe 'Mpuuzi' kuanzia sasa anza Kujiandaa 'Kisaokolojia' kwani Maisha yako yataenda kuwa mabaya na magumu mno hapa Mjini kama si nchini pia. Nakuomba Watafute wale wote uliowakosea wakiongozwa na Jaji Mstaafu Mzee Warioba kisha uende kwa Yusuph Manji na Yule Mzee wa Ofisi ya Kinondoni ambaye ulimtukana na kumnyanyasa.

Kwa wale ambao mtapenda Kuungana nami katika Sherehe hii ya 'Mpuuzi Kutoshwa Rasmi' msikae mbali nawapeni Ratiba ya eneo la Sherehe yetu.
 
Hongera mwenyekiti kwa kazi iliyotukuka,mjivuni bushstar chaliiii hadi raha
 
Magufuli ana nafasi 10 za kuteua wabunge kama ikitokea ameshinda urais, chochote kinaweza kutokea.
Ngoma bado mbichi sana.

Uwezo wako wa Kufikri ni mdogo mno na ndiyo maana mara kwa mara huwa 'nakudharau' sana hapa Jamvini ( JF ) Hivi Mbunge wa Kuteuliwa huwa anakuwa na Mvuto kama yule Mbunge aliyechaguliwa na Wananchi kwa Kumuamini na Mapenzi yao Kwake? Hata kama 'Babaake' sijui atamteua kama ambavyo Wewe unataka ila ukweli utabaki pale pale kuwa katika 'Mchakato' mzima kuanzia Kutia Nia Kwake na hadi kusubiria Matokeo rasmi huku Dodoma hakuaminiwa na ametoswa kama hivi.

Na ili ujione kuwa kweli huna Akili ( yaani ni Mpumbavu Mwandamizi ) hapa Jamvini sasa kama kumbe huyo 'Mpuuzi' wako alijua kuwa 'Babaake' iwe isiwe katika zile nafasi zake Kumi ( 10 ) atamteua ilikuwaje akatia nia? Kwanini asingeendelea tu na Nafasi aliyokuwa nayo ili asubirie huko Kuteuliwa? Na kama alijua kuwa anaweza kuja 'Kuteuliwa' imekuwaje ametumia Pesa nyingi sana 'Kuhonga' Wajumbe huko Kigamboni?

Labda nimalizie tu kwa Kukuuliza Swali je, umeshajiuliza ni kwanini hivi sasa huyo 'Mpuuzi' ameanza 'Kukonda' na hata 'Nuru' yake inaanza Kupotea? Sikutaka Kukuambia hili ila sasa nakuambia kwamba hata 'Babaake' amefurahi Yeye 'Kuanguka' kwani 'alishamchoka' Kitambo sana na alikuwa anatafuta tu sababu Kumuondoa. Kuanzia sasa Tega Sikio kuna 'Mashtaka' dhidi yake yatatolewa ili 'Kummaliza' mazima kabisa.
 
huyu mpuuzi anaelekea kuishi kama shetani laana ni mbaya sana hii ni sherehe kwasisi roho mbaya

Japo Mimi ni mwana Simba SC kama Yeye ( Mpuuzi ), ila hakuna Jambo lililoniuma kama la kwenda Sea View Kuzoa Bilioni Tatu za Yusuph Manji.
 
Uwezo wako wa Kufikri ni mdogo mno na ndiyo maana mara kwa mara huwa 'nakudharau' sana hapa Jamvini ( JF ) Hivi Mbunge wa Kuteuliwa huwa anakuwa na Mvuto kama yule Mbunge aliyechaguliwa na Wananchi kwa Kumuamini na Mapenzi yao Kwake? Hata kama 'Babaake' sijui atamteua kama ambavyo Wewe unataka ila ukweli utabaki pale pale kuwa katika 'Mchakato' mzima kuanzia Kutia Nia Kwake na hadi kusubiria Matokeo rasmi huku Dodoma hakuaminiwa na ametoswa kama hivi.

Na ili ujione kuwa kweli huna Akili ( yaani ni Mpumbavu Mwandamizi ) hapa Jamvini sasa kama kumbe huyo 'Mpuuzi' wako alijua kuwa 'Babaake' iwe isiwe katika zile nafasi zake Kumi ( 10 ) atamteua ilikuwaje akatia nia? Kwanini asingeendelea tu na Nafasi aliyokuwa nayo ili asubirie huko Kuteuliwa? Na kama alijua kuwa anaweza kuja 'Kuteuliwa' imekuwaje ametumia Pesa nyingi sana 'Kuhonga' Wajumbe huko Kigamboni?

Labda nimalizie tu kwa Kukuuliza Swali je, umeshajiuliza ni kwanini hivi sasa huyo 'Mpuuzi' ameanza 'Kukonda' na hata 'Nuru' yake inaanza Kupotea? Sikutaka Kukuambia hili ila sasa nakuambia kwamba hata 'Babaake' amefurahi Yeye 'Kuanguka' kwani 'alishamchoka' Kitambo sana na alikuwa anatafuta tu sababu Kumuondoa. Kuanzia sasa Tega Sikio kuna 'Mashtaka' dhidi yake yatatolewa ili 'Kummaliza' mazima kabisa.
Mkuu nasubiria hili kwa hamu
 
Back
Top Bottom