MwajabuOmary
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 236
- 209
Wakati wa mchakato wa kuwapata wagombea na hasa wa Ubunge, viongozi wa ngazi za juu kabisa za chama walijinadi kwamba wana CCM wote waliokua katika nafasi za kuteuliwa na Mkuu majina yao yatakatwa.
Makatazo haya yalikua yakirudiwa mara kwa mara na hata kuwatia uoga baadhi ya wana CCM waliokua na sifa za kugombea kuogopa kwenda kugombea.
Cha kushangaza ni kwamba mambo yamekua kinyume, yupo bwana:-
Godwin Kunambi
Patrobas Katambi
Christopher Ole Sendeka
Kitila Mkumbo
Mrisho Gambo
Kwa matamko yale ya awali, ni nini ambacho mlikua mnakiwakilisha?
Makatazo haya yalikua yakirudiwa mara kwa mara na hata kuwatia uoga baadhi ya wana CCM waliokua na sifa za kugombea kuogopa kwenda kugombea.
Cha kushangaza ni kwamba mambo yamekua kinyume, yupo bwana:-
Godwin Kunambi
Patrobas Katambi
Christopher Ole Sendeka
Kitila Mkumbo
Mrisho Gambo
Kwa matamko yale ya awali, ni nini ambacho mlikua mnakiwakilisha?