ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Nyendo

    GE2020 Wagombea 460 wajitokeza kuutaka ubunge Kagera kupitia CCM, milango yafungwa

    Wagombea 460 wajitokeza kuchukua fomu za kugombea ubunge Kagera zoezi la uchukuaji fomu lafungwa. ========= Mchakato wa kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ulianza tarehe 14/07/2020 na kumalizika 17/07/2020 saa kumi jioni. Katika mkoa wa Kagera wagombea 460...
  2. M

    GE2020 Jimbo la Ukonga kuna shida, isiposhughulikiwa CCM tutampa tena mpinzani. Waliochukua fomu wengi ni mamluki wa tuliyemkataa 2015

    Ukonga ni miongoni mwa majimbo 3 ambayo yapo katika Wikaya ya Ilala. Wengi wa wakazi ni wa kipayo cha chini na wachache cha kati. Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi, kama kawaida mengi hujitokeza. CCM Ilala, DSM na taifa wasipotafakari 2020 jimbo tutaligawa kwa Upinzani tena. Zaidi ya wanachama...
  3. F

    Wasomi ni muhimu sana CCM

    Tumeona jinsi CCM ilivyoteswa na wasomi wa upinzani kiasi cha kutumia nguvu kuzima hoja zao. Angalizo sasa Chama cha Mapinduzi kitumie wasomi walioomba nafasi za Ubunge ili kujenga base yenye nguvu hata kimataifa. Tumeona pia Rais anavyoteseka kupata mawaziri mpaka analazimika kula matapishi...
  4. GENTAMYCINE

    GE2020 Kama ni kweli basi Kamati ya Roho Mbaya ya CCM hasa Jimbo la Kigamboni mkimaliza Kumlima Mtu mnione

    Sasa ni rasmi kuwa ' Hesabu ' za nyingi kwa ' Mpuuzi ' Mmoja ' Kumalizwa ' kabisa na Umaarufu wake unaenda ' Kuzimika ' ghafla ndani ya nchi ya Tanzania na kubakia Mtu wa Kawaida sana tena pengine hata Mimi ' Popoma ' GENTAMYCINE nitamzidi Umaarufu kwani ukiwa ' Maarufu ' tu JamiiForums hapa jua...
  5. PAZIA 3

    CCM msiudharau upinzani mwaka huu, huenda mkapoteza majimbo mengi zaidi

    Wasalaam, hii Ni alert kuwakumbusha CCM MWAKA HUU NI MGUMU SANA KWA CCM KULIKO CHAGUZI ZA MIAKA YA NYUMA KWAMBA, Kuna tofauti kubwa ya wanachama wa ccm na wananchi wapiga kura, ccm sehemu kubwa inashabikiwa na wanachama wa ccm walioko sehemu mbalimbali, ila wananchi wapiga kura wako zao kimya...
  6. Kibosho1

    GE2020 Watia nia wengi 2020 bomu jipya kwa CCM | wataiangusha CCM 2025

    Ukiona kunguru wengi sehem ujue kuna mzoga. Kwenye mada: Kwanza kabisa tunapaswa kukumbuka kuwa hii ni rekodi mpya kwa watia nia wa Ubunge. Katika tafiti za kawaida tu inaonyesha ukosefu wa ajira na kukimbilia maslahi makubwa bila kuwa na sera zenye tija,kweli wote watakuwa na nia ya...
  7. J

    Aliyekuwa mlinzi wa Mbowe achukua fomu kugombea Udiwani kupitia CCM

    Aliyekuwa mlinzi mkuu wa mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe amechukua fomu za kugombea Udiwani kupitia CCM katika kata ya Mbezi Juu. Source EATV!
  8. Michael Andrew Jr

    Wingi wa watia nia ya Ubunge, nini kilicho nyuma ya pazia?

    Wakuu kwema? Hivi mmejiuliza kama mimi huu utitiri wa kila anayejiona anafahamika na watu kutaka kua mbunge umetokana na nini? Waigizaji, waimba muziki, watangazaji na hata wadangaji maarufu nao wanataka kua wabunge. Je ni kweli wanautaka ubunge au wametumwa kwa malengo fulani fulani? Ikiwa...
  9. M-mbabe

    Upinzani muwe mnakusanya ushahidi wa CCM kukiuka sheria/maadili ya vyama vya siasa na wasilisheni kwenye mamlaka husika proactively kila yatokeapo

    Zitto John Mnyika CHADEMA ACT Wazalendo You guys know what I mean am sure, but we are here to swing the whip so that you stay up and walk the talk. Haijalishi mamlaka husika itayafanyia kazi mawasilisho yenu ama la. Just bloody do it! Na msiwe reactive - yaani msisubiri hadi ninyi mpigwe...
  10. K

    Ushauri kwa mamlaka ya uteuzi kuhusu atakayepeperusha bendera ya CCM jimbo la Rorya

    Zaidi ya wana CCM 40 wametia nia na kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi wa Oktoba, 2020. Mmojawapo wa watia nia na aliyechukua fomu leo ni Ndugu Lameck Okambo Airo ambaye mwaka jana alielezea umma kuwa hatagombea tena katika uchaguzi unaokuja mwaka huu...
  11. Subira the princess

    Natabiri anguko la CCM Octoba 25/2020

    Wasalaam, kufuatia ujio wa kachero Benard membe ktk chama cha ACT ni wazi ccm wanaenda kung'oka rasmi madarakani kwa aibu. Hili litakamili endapo vyama vyote vya upinzani ukitoa CUF vitasimamisha mgombea mmoja na kumuunga mkono, ikubukwe 2015 ccm ilibebwa na vyimbo vya dola ikanusurika...
  12. Kipenzi Changu

    Nipo safarini Kahama, ofisi za CCM zipo wapi nikachukue fomu nigombee hapa

    Kichwa cha habari kinaeleweka vizuri tu. Wenyeji wa wilaya hii mnisaidie kujua ilipo ofisi ya chama hapa mjini Japo mimi ni mpita njia tu nipo kikazi hapa Kahama kwenu lakini sio mbaya nikitia nia halafu nikapita zangu wiki ijayo. Fomu mnatoa shilingi ngapi hapa, hela ya maji ya mweshimiwa...
  13. E

    Baada ya CHADEMA kubweteka, Tanzania hatuna chama mbadala cha kuwasumbua CCM

    CCM chini ya JPM tunaomba iendelee na moto huu huu katika kuisimamia serikali. Ni wazi kuwa nchi hii ilikuwa imeharibika sana kiasi cha kufanya kila mwenye pesa alikuwa na uwezo wa kumfaya maskini chochote. CHADEMA walisaidia sana kelele na kauli mbiu yao ya VUA GAMBA UVAE GWANDA, ni kweli...
  14. Suley2019

    GE2020 Hamis Shimye amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya CCM

    Mwandishi wa Habari Uhuru Media Group (UMG) Hamis Shimye amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
  15. Erythrocyte

    GE2020 Harrison Mwakyembe hali tete Kyela, wagombea zaidi ya 30 wa CCM wachukua fomu kumpinga

    Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi. Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo...
  16. Japhet Karibu

    CCM kuweni makini kwenye uteuzi, mkiharibu watia nia ni wengi watatawanyikia upinzani kutia nia

    Kiukweli watia nia ni wengi sana kupitia Chama cha Mapinduzi hivyo mnatakiwa kuwa makini sana kwenye kuwapitisha wagombea wenu kukiwakilisha chama, la sivyo mkichaguana kwa upendeleo na huku mkifurahia kwa watia nia walio wengi kupitia chama chenu na ni hao hao watawahama na kwenda kutia nia...
  17. A

    Serikali ya CCM inahofia nini ACT Wazalendo?

    Tarehe 14 Julai, siku moja baada ya picha za Bernard Membe kuwa na viongozi wakuu wa ACT Wazalendo kusambaa mitandaoni, msajili wa vyama vya siasa aliwaandiki barua viongozi wa chama kukusudia kukichulia hachua chama hiko kwa kile msajili anachokiita ukiukwaji wa sheria ya vyama vya siasa...
  18. T

    Kama mtumishi wa umma simpigii kura Magufuli kwa kutoboresha maslahi yangu, wewe kwanini hutamchagua?

    Inawahusu wasiomchagua JPM tu. Mimi Kama mtumishi wa umma hajaongeza mshahara wangu kwa miaka yote 5, ananikata 15% badala ya 8% kama mkataba wangu na Loan Board unavyosema. Kwa sababu hizo kura yangu hapati. Wewe serikali yake katika sekta yako kwa nini hapati kura yako?
  19. Pdidy

    CCM msikosee kurudisha hawa wazee wasioridhika, mtalia

    Chama changu CCM, kama hàmjajua, wapinzani wako macho wana hamu kuona mnachagua nani. Naomba niwajuze; msikosee kurudisha wale wazee wasioridhika. Kuna wazee wamekaa jimboni miaka 10-15-25 kama vile bunge ni lao, hakuna mwingine wa kuwapokea. Naomba tusikosee kwa hili. Nawatakia uteuzi mwema...
  20. Zanzibar-ASP

    Dalili zinaonyesha hakuna msaliti wa upinzani atakayepenya kwenye kura za maoni ndani ya CCM

    Kuna kila dalili kuwa hakuna mwanasiasa kutoka upinzani ambaye alihamia CCM ili kuunga mkono juhudi (maarufu kama wasaliti) mwenye nafasi ya kupenya katika kinyang'anyiro kinachoendelea sasa cha kura za maoni ndani ya CCM kwenye ngazi yoyote ile, iwe ubunge, udiwani au viti maalum. Wasaliti wote...
Back
Top Bottom