Uchaguzi 2020 Maajabu ya kampeni za CCM, Dkt. Magufuli atema cheche

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,846
35,851
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.

Kampeni zikiendelea, mgombea wa CCM ameonyesha alivyodhamiria kuiboresha nchi vilivyo hata kuwa na barabara bora kabisa:


Hata hivyo barabara hii ilikuwapo pia katika ahadi za 2015. Si haba, "chelewa ufike" japo waswahili pia husema "ng'ombe hanenepi siku ya mnada."

Kuhusiana na raslimali za taifa. Msomi mzamivu huyu mwenye shahada ya PhD, hakumung'unya maneno hata kidogo:




Maendeleo hayana chama.

Ninawasilisha.
 
IMG_20200924_214753.jpg
 
Sina muda wa kusikiliza ujinga mimi?
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.

Kampeni zikiendelea, mgombea wa CCM ameonyesha alivyodhamiria kuiboresha nchi vilivyo hata kuwa na barabara bora kabisa:


Hata hivyo barabara hii ilikuwapo pia katika ahadi za 2015. Si haba, "chelewa ufike" japo waswahili pia husema "ng'ombe hanenepi siku ya mnada."

Kuhusiana na raslimali za taifa. Msomi mzamivu huyu mwenye shahada ya PhD, hakumung'unya maneno hata kidogo:




Maendeleo hayana chama.

Ninawasilisha.
 
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.

Kampeni zikiendelea, mgombea wa CCM ameonyesha alivyodhamiria kuiboresha nchi vilivyo hata kuwa na barabara bora kabisa:


Hata hivyo barabara hii ilikuwapo pia katika ahadi za 2015. Si haba, "chelewa ufike" japo waswahili pia husema "ng'ombe hanenepi siku ya mnada."

Kuhusiana na raslimali za taifa. Msomi mzamivu huyu mwenye shahada ya PhD, hakumung'unya maneno hata kidogo:




Maendeleo hayana chama.

Ninawasilisha.

Hivi ile kofia yake ndio hiyo aliyovaa bodyguard au zipo nyingi na yeye kwa wakati huo alikuwa amevua?
 
Ispokuwa maneno mataamu ili ujisikie kama upo mahali Fulani hivi pazuuuri ukisubiri Moto wa Jehanam siyo?

Maneno matamu mtayasikia Sana, tegeni masikio msiklize kile mnapenda wakati huu, na mwisho wa maneno matupu ni 28 October, Baada ya hapo Bulldozer linaendelea na kazi kama kawaida

Baada ya kukwiba uchaguzi siyo?
 
Back
Top Bottom