Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Kampeni zikiendelea, mgombea wa CCM ameonyesha alivyodhamiria kuiboresha nchi vilivyo hata kuwa na barabara bora kabisa:
Hata hivyo barabara hii ilikuwapo pia katika ahadi za 2015. Si haba, "chelewa ufike" japo waswahili pia husema "ng'ombe hanenepi siku ya mnada."
Kuhusiana na raslimali za taifa. Msomi mzamivu huyu mwenye shahada ya PhD, hakumung'unya maneno hata kidogo:
Maendeleo hayana chama.
Ninawasilisha.
Kampeni zikiendelea, mgombea wa CCM ameonyesha alivyodhamiria kuiboresha nchi vilivyo hata kuwa na barabara bora kabisa:
Hata hivyo barabara hii ilikuwapo pia katika ahadi za 2015. Si haba, "chelewa ufike" japo waswahili pia husema "ng'ombe hanenepi siku ya mnada."
Kuhusiana na raslimali za taifa. Msomi mzamivu huyu mwenye shahada ya PhD, hakumung'unya maneno hata kidogo:
Maendeleo hayana chama.
Ninawasilisha.