CCM ipo sana kwenye hatamu za uongozi wa Tanzania.
Kila baada ya muda flani, CCM hujutafakari na kujiunda upya. Hii ni sifa muhimu sana kwa chama cha siasa. Mnayoyaona yanatokea leo, hayatokei kwa bahati mbaya, ni mipango Mahususi kutoka kwa mabingwa wa siasa.
Tuliahidi kushikisha watu adabu...