Nimekuwa nikifuatilia kampeni za CCM na CHADEMA, kuna utofauti mkubwa sana wa sera kati ya CHADEMA na CCM,
Sera za CCM imejikita kueleza yafuatayo kwa wananchi
1. Kujenga miundo mbinu wezeshi kumrahisishia mwananchi kufanya shughuli zake kwa urahisi mfano. barabara, ujenzi na upanuzi wa...