Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 994
Wapinzani wa CCM wakijipanga vizuri huu ndiyo wakati wa kuchukua nchi kwa mafungu mafungu. ACT ZNZ wamemaliza na bado Kwa Mpango wakitangaza wakaulize na wengine watakaotemwa.
Wajipange kuongea na jamii waondoe kidogo kidogo wala wasianze papara mara wamemtukana huyu na yule.
Kwasasa ikiwa chama tawala hakijajipanga kwa yaliyotokea ni muda wa kufanya kikao wapinzani vyenye tija na pia kuwa na vikao vya kimkakati
Wajipange kuongea na jamii waondoe kidogo kidogo wala wasianze papara mara wamemtukana huyu na yule.
Kwasasa ikiwa chama tawala hakijajipanga kwa yaliyotokea ni muda wa kufanya kikao wapinzani vyenye tija na pia kuwa na vikao vya kimkakati