Jina la bwana Jamal Tamim aliyeshinda kura za maoni za ubunge kupitia CCM jimbo la MUHAMBWE limekatwa,hivyo kuliacha jimbo hilo likiwa katika hati hati ya kuchukuliwa na wapinzani.
Bwana Jamal Tamim amekuwa akijitahidi sana katika shughuli za maendeleo na WANAMUHAMBWE wanalijua hilo, na amekuwa mvumilivu sana japo kuna genge la baadhi ya viongozi linaloonesha kumpiga vita.
karibu kila mara amekuwa akiongoza kwenye kura za maoni ( kasoro mwaka jana ambako waliopiga kura walikuwa wajumbe wachache tu tofauti na miaka yote ambapo waliokuwa wakipiga kura ni wanachama wa CCM).
Wananchi wamekuwa wakimpenda na kumsikiliza sana hata mwaka 2015 wakati jina lake lilipokatwa kidogo kutokee vurugu, ikabidi awaombe wananchi kuwa watulivu na wavumilivu na akamuunga mkono MAREHEMU NDITIYE na kumsaidia!
Na hata HAYATI JOHN POMBE MAGUFULI mwaka jana alimuambia BWANA JAMAL TAMIMU awe mvumilivu na kweli alisaidia kumpigia kampeni sana MAREHEMU NDITIYE na wala hakuonesha kukasirika.
Sasa mbunge NDITIYE kafariki, uchaguzi umefanywa na bwana JAMAL TAMIM aliombwa avumilie na MAREHEMU JOHN POMBE MAGUFULI.
sasa uchaguzi wa chama umefanyika na bwana JAMAL TAMIMU kashinda, kwa nini wanakata jina lake!? hawaoni watawawapa nafasi kina zitto aende kugombea MUHAMBWE na tupoteze jimbo!
Bwana Jamal Tamim amekuwa akijitahidi sana katika shughuli za maendeleo na WANAMUHAMBWE wanalijua hilo, na amekuwa mvumilivu sana japo kuna genge la baadhi ya viongozi linaloonesha kumpiga vita.
karibu kila mara amekuwa akiongoza kwenye kura za maoni ( kasoro mwaka jana ambako waliopiga kura walikuwa wajumbe wachache tu tofauti na miaka yote ambapo waliokuwa wakipiga kura ni wanachama wa CCM).
Wananchi wamekuwa wakimpenda na kumsikiliza sana hata mwaka 2015 wakati jina lake lilipokatwa kidogo kutokee vurugu, ikabidi awaombe wananchi kuwa watulivu na wavumilivu na akamuunga mkono MAREHEMU NDITIYE na kumsaidia!
Na hata HAYATI JOHN POMBE MAGUFULI mwaka jana alimuambia BWANA JAMAL TAMIMU awe mvumilivu na kweli alisaidia kumpigia kampeni sana MAREHEMU NDITIYE na wala hakuonesha kukasirika.
Sasa mbunge NDITIYE kafariki, uchaguzi umefanywa na bwana JAMAL TAMIM aliombwa avumilie na MAREHEMU JOHN POMBE MAGUFULI.
sasa uchaguzi wa chama umefanyika na bwana JAMAL TAMIMU kashinda, kwa nini wanakata jina lake!? hawaoni watawawapa nafasi kina zitto aende kugombea MUHAMBWE na tupoteze jimbo!