jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Ni wazi wapinzani wa CCM watatumia fursa zote halali na haramu ili kuimaliza CCM ikiwa madarakani na ni haki yao kufanya hivyo.
CCM ilipoteza mvuto kipindi flani hadi kufanya zoezi la kuvua gamba japo gamba liliishia kiunoni.
Mwaka 2015 CCM ilipitia changamoto nzito sana baada ya mgawanyiko mkubwa ambao kidogo utoe fursa kwa wapinzani.
Hayati Dkt. John Pombe Magufuli alitokea au aliletwa kuokoa jahazi akiambatana na Rais Samia.
wawili hawa waliisimamia na kuitekeleza vyema ilani ya CCM na hatimaye 2020 upinzani ukapotezwa kabisa.
Ni bahati mbaya combination adimu ya Magufuli na Samia inapotea mwaka 2021 ghafla .
WITO:Kamwe tusikate tamaa au kuogopa au kuchonganishwa.
Wananchi wametekeleza nafasi yao yaani wamempa heshima Magufuli na CCM kwa kujitokeza na kuionesha dunia kuwa CCM ilikuwa sahihi kuwaleta wagombea Magufuli na Samia.
Ni mategemei ya wananchi wengi wanyonge na wapiga kura kuwa ilani ya CCM itatelelezwa hata kama mpendwa wao atakuwa ametangulia mbele ya haki.
Kipimo chao ni utekelezwaji wa Ilani ya CCM tena kwa kasi ile ile.
wananchi hao hawakuamini upinzani na propaganda au matakwa yao ya kibeberu bali walitaka zahanati na shule karibu yao,walitaka kufanya biashara zao ndogo ndogo bila bugudha,walitaka wasiwe sehemu ya mikopo ya chuma ulete inayofanywa na wafanyabiashara wanyonyaji,walisikitika kuona wanaojilimbikizia mali na kiwamwagia tope za V8VR barabarani,wslichukizwa na lugha za dharau za watoa huduma na baadhi ya wafanyabiashara wakubwa,walikasirika kuona wakinyimwa kuwinda swaka halafu twiga wanapanda ndege,walichukia kuonwa kama wajinga.
toka mwaka 2010 walitaka kuiadhibu CCM Lakini baada ya 2015 wameiamini CCM kwa asilimia 98% .
sasa CCM inayo kazi ya kuwaaminisha kuwa bado CCM itaendelea kuwa CCM adilifu.
yote yanawezekana iwapo CCM itatulia kwanza kwa kuendelea na maombolezo ya kumpoteza jemedari Magufuli.
CCM HUWA HAINA HARAKA KATIKA KUAMUA KWANI HUWA IMEJIPANGA.
WITO KWA VIJANA PUNGUZENI MIHEMUKO
CCM ilipoteza mvuto kipindi flani hadi kufanya zoezi la kuvua gamba japo gamba liliishia kiunoni.
Mwaka 2015 CCM ilipitia changamoto nzito sana baada ya mgawanyiko mkubwa ambao kidogo utoe fursa kwa wapinzani.
Hayati Dkt. John Pombe Magufuli alitokea au aliletwa kuokoa jahazi akiambatana na Rais Samia.
wawili hawa waliisimamia na kuitekeleza vyema ilani ya CCM na hatimaye 2020 upinzani ukapotezwa kabisa.
Ni bahati mbaya combination adimu ya Magufuli na Samia inapotea mwaka 2021 ghafla .
WITO:Kamwe tusikate tamaa au kuogopa au kuchonganishwa.
Wananchi wametekeleza nafasi yao yaani wamempa heshima Magufuli na CCM kwa kujitokeza na kuionesha dunia kuwa CCM ilikuwa sahihi kuwaleta wagombea Magufuli na Samia.
Ni mategemei ya wananchi wengi wanyonge na wapiga kura kuwa ilani ya CCM itatelelezwa hata kama mpendwa wao atakuwa ametangulia mbele ya haki.
Kipimo chao ni utekelezwaji wa Ilani ya CCM tena kwa kasi ile ile.
wananchi hao hawakuamini upinzani na propaganda au matakwa yao ya kibeberu bali walitaka zahanati na shule karibu yao,walitaka kufanya biashara zao ndogo ndogo bila bugudha,walitaka wasiwe sehemu ya mikopo ya chuma ulete inayofanywa na wafanyabiashara wanyonyaji,walisikitika kuona wanaojilimbikizia mali na kiwamwagia tope za V8VR barabarani,wslichukizwa na lugha za dharau za watoa huduma na baadhi ya wafanyabiashara wakubwa,walikasirika kuona wakinyimwa kuwinda swaka halafu twiga wanapanda ndege,walichukia kuonwa kama wajinga.
toka mwaka 2010 walitaka kuiadhibu CCM Lakini baada ya 2015 wameiamini CCM kwa asilimia 98% .
sasa CCM inayo kazi ya kuwaaminisha kuwa bado CCM itaendelea kuwa CCM adilifu.
yote yanawezekana iwapo CCM itatulia kwanza kwa kuendelea na maombolezo ya kumpoteza jemedari Magufuli.
CCM HUWA HAINA HARAKA KATIKA KUAMUA KWANI HUWA IMEJIPANGA.
WITO KWA VIJANA PUNGUZENI MIHEMUKO